Rais Samia: Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka

Rais Samia: Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Wakuu wa wilaya nchini wameacha kufanya kazi kwa hofu ya kuondolewa au kuhamishwa vituo vya kazi.

“Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi hao ndiyo wangu.”

“Kutoa mkeka ni kazi yangu na nitautoa wakati muafaka, wakuu wa mkoa nataka ripoti za wakuu wenu wa wilaya.”

Ameyasema hayo wakati akishiriki hafla utiaji saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe leo tarehe 30 Septemba, katika Jengo la Kitega Uchumi jijini Dodoma
Rais imefika wakati mpeni mzee Pascal Mayalla hata ukuu wa wilaya, maana anakipigania Sana chama mtandaoni kwakweli, ubunge wa Jimbo mmemnyima huyu ccm mwenzetu, na ubunge wa bunge la East Africa pia katoswa, tuwe na utu Ccm
 
MaDC wa kike waliochini ya maRC wa kiume wanaingia matatani


Sio wakuu wa Wilaya wa kike pekee hata wa Kiume wapo matatani kupokea vitisho mbali mbali wasichukue hatua ikitokea shida inayouusu ndugu wa vigogo na wao wakati amri kwa kuogopa kutumbuliwa wanakua sio wafanisi
 
Hizi sio tetesi, Wala Nini Wana jamvi,mwanangu mmoja aliyekarbu na Rais anadai VIMEMO vya wakubwa ndani ya ccm,wenye chama Chao vinamchanganya Bi Mdashi mpaka anashindwa kufanya uteuzi.

Mchizi moxa anaenda mbali anadai, wazee wakongwe waliopo ndania ya chama Chao wanataka majina Yao yarudi, mama anapokea vimemo ila Sasa nae roho inamuuma anadai yeye hakufika hapo kwa njia ya kimemo so far hataki kuwateua wakuu WA Wilaya wa vimemo.

Mchizi moxa anasema wanapoelekea nguvu ya. Wazee itashinda soon mama atatandaza mkeka maana Kuna baadhi ya wakuu WA wilaya wameisha jijua yakuwa safi hijayo hawapo kabisa so wammeamua kuanza kujipanga dhidi ya uchaguzi ujao kabsa wengine wanajiandaa kuwa wakulima
Za chini chini ni yakuwa wakuu WA wilaya VIMEMO soon watashinda na watatangazwa maana naskia mama kafatwa na mtu na kuambiwa ''hata wewe hasingekuwa Mzee wa msoga usingekuwa hapo,pitisha hayo majina yetu sisi wazee tupate wa kututunza

Uwezi amini eti Kuna mwamba kajigeuza OLe sabaya anachukua pesa za vijana wa umoja wa vijana ccm akiwaidi kuwapigania wapate nafasi jaman
Mchizi moxa yupo hapa kale jaman hizi ni za chini chini.
Ni zamu ya bwana Pascal Mayalla nae apewe U-dc
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Wakuu wa wilaya nchini wameacha kufanya kazi kwa hofu ya kuondolewa au kuhamishwa vituo vya kazi.

“Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi hao ndiyo wangu.”

“Kutoa mkeka ni kazi yangu na nitautoa wakati muafaka, wakuu wa mkoa nataka ripoti za wakuu wenu wa wilaya.”

Ameyasema hayo wakati akishiriki hafla utiaji saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe leo tarehe 30 Septemba, katika Jengo la Kitega Uchumi jijini Dodoma
Hizo ndio kauli za kimamlaka !!
 
Hizi position tulishasema ni redundant.... Mkurugenzi na Mbunge wanatosha kabisa kumwakilisha Rais katika ngazi ya jimbo same as Mkuu wa Mkoa... Afisa tawala wa Mkoa anatosha kumwakilisha Rais.

Watoe hawa kupunguza matumizi ya Serikali kwa walau 12%. hence tupumue na tozo.
 
Hata mm ningekuwa ni mkuu wa wilaya nisingefanya kazi. Tatizo ni mhe rais mwenyewe kuamua kuwaweka roho juu wakuu wa wilaya kwa kusema utatoa mkeka mpya.
Mimi nadhani nikisikia mkeka unakuja kitu nitakachokifanya ni kuchapa kazi kweri kweri ili mkuu apate habari zangu ! Na akisikia anaweza kunipa hata promoshen. ! Au sio bandugu ??!!
 
Hizi position tulishasema ni redundant.... Mkurugenzi na Mbunge wanatosha kabisa kumwakilisha Rais katika ngazi ya jimbo same as Mkuu wa Mkoa... Afisa tawala wa Mkoa anatosha kumwakilisha Rais.

Watoe hawa kupunguza matumizi ya Serikali kwa walau 12%. hence tupumue na tozo.
Plus Mavieite !!
 
Vyeo vinavyotuumiza tu hata bila wao kazi itaenda
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Wakuu wa wilaya nchini wameacha kufanya kazi kwa hofu ya kuondolewa au kuhamishwa vituo vya kazi.

“Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi hao ndiyo wangu.”

“Kutoa mkeka ni kazi yangu na nitautoa wakati muafaka, wakuu wa mkoa nataka ripoti za wakuu wenu wa wilaya.”

Ameyasema hayo wakati akishiriki hafla utiaji saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe leo tarehe 30 Septemba, katika Jengo la Kitega Uchumi jijini Dodoma
Rais Samia Suluhu anautendea haki uongozi wake aisee hataki mchezo kazini ukizingua anakuchania mkeka
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Wakuu wa wilaya nchini wameacha kufanya kazi kwa hofu ya kuondolewa au kuhamishwa vituo vya kazi.

“Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi hao ndiyo wangu.”

“Kutoa mkeka ni kazi yangu na nitautoa wakati muafaka, wakuu wa mkoa nataka ripoti za wakuu wenu wa wilaya.”

Ameyasema hayo wakati akishiriki hafla utiaji saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe leo tarehe 30 Septemba, katika Jengo la Kitega Uchumi jijini Dodoma
Mama mpendwa fanya vitendo..Fukuza wazembe..Usiwachekee Hao.
 
Rais Samia amewaonya wakuu wa wilaya nchini ambao wameacha kufanya kazi wakisubiri ‘mkeka’ uteuzi wake.

Rais Samia ametoa onyo hilo leo Ijumaa Septemba 30,2022 wakati wa halfa ya utiaji saini shughuli za lishe.

Amesema amesikia hawafanyi kazi wanasubiri mkeka na kwamba amekuwa akipata ujumbe mfupi wa maneno (sms) kuwa amalizie kazi kwasababu wakuu wa wilaya hawafanyi kazi.

“Nikute mtu amepigwa ganzi nilishasema tulichokifanya ni performance (tathimini) ya utendaji wenu, sikusema kwamba nitawabadilisha leo na kesho. Nimesema tumefanya performance, tumejua nani mzuri, nani mbaya aliyesema anataka kuwabadilisha ni nani?”amehoji.

Amehoji kama wabaya anataka kuwapa mafunzo lakini amekuwa anasikia kuwa wapo waliopigwa ganzi, hawafanyi kazi.

Amesema kazi ya kufanya uteuzi ni ya kutoa mkeka ni ya kwake na hivyo ataifanya wakati atakapoona muafaka na kuwataka waende kufanya kazi.



"sasa wakuu wa Mikoa ni nataka ripoti za wakuu wenu wa Wilaya, aliyepigwa nusu kaputi, nani aliyepigwa ganzi ni nani. Ehh kama hawawezi tuwatoeni, tuweke wengine nataka ripoti ya wakuu wenu wa Wilaya na hilo tutalizungumza jioni,

“Wakuu wa mikoa nimewaona, sitaki niwaache nawataka wote saa 11.00 jioni tukutane pale kwangu Chamwino kuna mambo ya kushikana masikio, tuje tuyafanye kwa mmoja mmoja,”amesema.
 
Back
Top Bottom