Rais Samia: Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka

Rais Samia: Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka

Hizi sio tetesi, Wala Nini Wana jamvi,mwanangu mmoja aliyekarbu na Rais anadai VIMEMO vya wakubwa ndani ya ccm,wenye chama Chao vinamchanganya Bi Mdashi mpaka anashindwa kufanya uteuzi.

Mchizi moxa anaenda mbali anadai, wazee wakongwe waliopo ndania ya chama Chao wanataka majina Yao yarudi, mama anapokea vimemo ila Sasa nae roho inamuuma anadai yeye hakufika hapo kwa njia ya kimemo so far hataki kuwateua wakuu WA Wilaya wa vimemo.

Mchizi moxa anasema wanapoelekea nguvu ya. Wazee itashinda soon mama atatandaza mkeka maana Kuna baadhi ya wakuu WA wilaya wameisha jijua yakuwa safi hijayo hawapo kabisa so wammeamua kuanza kujipanga dhidi ya uchaguzi ujao kabsa wengine wanajiandaa kuwa wakulima
Za chini chini ni yakuwa wakuu WA wilaya VIMEMO soon watashinda na watatangazwa maana naskia mama kafatwa na mtu na kuambiwa ''hata wewe hasingekuwa Mzee wa msoga usingekuwa hapo,pitisha hayo majina yetu sisi wazee tupate wa kututunza

Uwezi amini eti Kuna mwamba kajigeuza OLe sabaya anachukua pesa za vijana wa umoja wa vijana ccm akiwaidi kuwapigania wapate nafasi jaman
Mchizi moxa yupo hapa kale jaman hizi ni za chini chini.
Muda wa kuwaza maendeleo ya kisayansi, elimu na mapinduzi ya kilimo tunautumia kwenye vita vya madaraka as if hayo madaraka yana impact kwa issues za kitaifa.

Waendelee kusheherekea teuzi na kupanga safu za wakuwatunza lakini wajue kwamba Kids are growing na wataujua ukweli watakuja kuchukua hatua
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Wakuu wa wilaya nchini wameacha kufanya kazi kwa hofu ya kuondolewa au kuhamishwa vituo vya kazi.

“Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi hao ndiyo wangu.”

“Kutoa mkeka ni kazi yangu na nitautoa wakati muafaka, wakuu wa mkoa nataka ripoti za wakuu wenu wa wilaya.”

Ameyasema hayo wakati akishiriki hafla utiaji saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe leo tarehe 30 Septemba, katika Jengo la Kitega Uchumi jijini Dodoma
Kweli hapa KAZI Tu na KAZI iendelee inawaumiza watanzania
 
Wafanye kaz gan wakat hamna cha kufanya? Hivi vyeo vya rc na dc havina mana yan mkoa mmoja unakuta una wabunge zaid ya wa3, dc,rc,ras,das na wote wanalipwa kupitia kodi na tozo za wananch
Sio wabunge watatu pekee mfano morogoro kuna wabunge zaidi ya 10

Majimbo..
Morogoro mijini
moro vijijini
kilosa
mikumi
Turiani
Kilombero
Mlimba
Malinyi
Ulanga
Gairo

Wilaya
ifakara mji
Kilombero
Malinyi
Ulanga
Kilosa
Gairo
Moro vijijini
Moro mjini
Mvomero
 
Back
Top Bottom