Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Unaongelea vitu viwili tofauti hapo.Na DED ndio DAS?
DED amekuja baada ya mambo ya serikali za mitaa. DED ni executive officer in local gvt
DAS yupo serikali kuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongelea vitu viwili tofauti hapo.Na DED ndio DAS?
Sasa huo ni mdgo mkuu au wewe unapata 12M kwa wiki?Umasikini tu.
Mshahara was RC/DC ni 3M
Muda wa kuwaza maendeleo ya kisayansi, elimu na mapinduzi ya kilimo tunautumia kwenye vita vya madaraka as if hayo madaraka yana impact kwa issues za kitaifa.Hizi sio tetesi, Wala Nini Wana jamvi,mwanangu mmoja aliyekarbu na Rais anadai VIMEMO vya wakubwa ndani ya ccm,wenye chama Chao vinamchanganya Bi Mdashi mpaka anashindwa kufanya uteuzi.
Mchizi moxa anaenda mbali anadai, wazee wakongwe waliopo ndania ya chama Chao wanataka majina Yao yarudi, mama anapokea vimemo ila Sasa nae roho inamuuma anadai yeye hakufika hapo kwa njia ya kimemo so far hataki kuwateua wakuu WA Wilaya wa vimemo.
Mchizi moxa anasema wanapoelekea nguvu ya. Wazee itashinda soon mama atatandaza mkeka maana Kuna baadhi ya wakuu WA wilaya wameisha jijua yakuwa safi hijayo hawapo kabisa so wammeamua kuanza kujipanga dhidi ya uchaguzi ujao kabsa wengine wanajiandaa kuwa wakulima
Za chini chini ni yakuwa wakuu WA wilaya VIMEMO soon watashinda na watatangazwa maana naskia mama kafatwa na mtu na kuambiwa ''hata wewe hasingekuwa Mzee wa msoga usingekuwa hapo,pitisha hayo majina yetu sisi wazee tupate wa kututunza
Uwezi amini eti Kuna mwamba kajigeuza OLe sabaya anachukua pesa za vijana wa umoja wa vijana ccm akiwaidi kuwapigania wapate nafasi jaman
Mchizi moxa yupo hapa kale jaman hizi ni za chini chini.
Creche at work...Unaweza kukuta hata Mbowe katuma kimemo
Kwa kuanzia na jina lako tu OTIENO, tutaanza kuhoji uraia wako.Mlio karibu na mama pelekeni cv yangu, Naweza kumsaidia vizuri wilaya au mkoa wowote hasa kanda ya ziwa, mkeka huo nisikose wazee
Sehemu gani ya katiba imetaja ukomo wa umri wa kuteuliwa mkuu wa wilaya?Unajua umri wake?
Kweli hapa KAZI Tu na KAZI iendelee inawaumiza watanzaniaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Wakuu wa wilaya nchini wameacha kufanya kazi kwa hofu ya kuondolewa au kuhamishwa vituo vya kazi.
“Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi hao ndiyo wangu.”
“Kutoa mkeka ni kazi yangu na nitautoa wakati muafaka, wakuu wa mkoa nataka ripoti za wakuu wenu wa wilaya.”
Ameyasema hayo wakati akishiriki hafla utiaji saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe leo tarehe 30 Septemba, katika Jengo la Kitega Uchumi jijini Dodoma
Sio wabunge watatu pekee mfano morogoro kuna wabunge zaidi ya 10Wafanye kaz gan wakat hamna cha kufanya? Hivi vyeo vya rc na dc havina mana yan mkoa mmoja unakuta una wabunge zaid ya wa3, dc,rc,ras,das na wote wanalipwa kupitia kodi na tozo za wananch
Unawashwa sana wewe, bado tu hujaolewa?Countrywide mama zuri ulikua umerelax sana mkeka mpya wa madc upo pale-pale
Mimi sio mtu wa kihivyo! Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!Anajiuliza Pascal Mayalla ampange wilaya gani?
Kwa kuwa alikuacha? Tafuta bwana mwingineNick wa pili atapotezwa aisee
Nick wa pili atapotezwa aiseeKwa kuwa alikuacha? Tafuta bwana mwingine
Ni mshahara mkubwa kwa mlalahoiSasa huo ni mdgo mkuu au wewe unapata 12M kwa wiki?
Tafuta mwingine, sio lazima uoelewe na huyoNick wa pili atapotezwa aisee
Mbowe sio Mjinga kama wewe sema Baba yako atakuwa katumaUnaweza kukuta hata Mbowe katuma kimemo
RAS na DAS wapo serikali kuu wewe point yako ni nini?Kwahiyo RAS na DAS walikuja kwa nyakati tofauti?