Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

Leo kaongea kwa hasira sana na matusi kibao hhaaa wabongo bila nguvu hawaeleweki

USSR
Nyie Machawa na Viroboto wa CCM tangu enzi ya Mwendazake mmekuwa watetezi wakubwa wa wezi wa mali za umma. Unscruplous individuals within CCM circles are the best Swindlers and Embezzlers of Public Funds for personal financial gains. Yet you treat them as Heros. Phweeeeh
 
Naona Rais anaanza kuelewa kwamba Watanzania bila kupelekea kama punda Huwa hawaelewi ni wezi kuliko unavyodhani..
Nani kati yenu anajua bei za zile Ndege za awali? Bei zake zilikuwa confidential utadhani ni siri za usalama wa nchi. Hongera Rai's SSH kwa kuwa muwazi, walau tunaendelea kuthibitisha awamu ile ilichezea hela ya wananchi kwa manunuzi ya ajabuajabu kwa maslahi ya wachache.
 
Highly unlikely wakati Radar tu ilipigiwa hela. Huo ununuzi sio wa nyanya mzee. Thats billions of money ambazo ni USD millions karibia 50. Mzungu gani hataki kuwa sehemu ya hio pesa 🤣?
Sakata la Radar sio wizi per se wa kwenye invoice.

Issue ilikuwa kuna watu walitoa hongo ili kuiuzia nchi RADAR mbovu kitu ambacho wanadhani sio sahihi kwa nchi maskini na ilikuwa aikihitaji.

Kutoa hongo kupata contract is common practice, hasa kwenye maswala ya ununuzi wa silaha za kivita; hiyo ni BAE system culture.

Lakini uwezi toza invoice ya $82 million halafu uandike anything else kwenye ledger it doesn’t work that way, besides hiyo hela utalipa kwenye account ya Boeing itafanyiwa conciliation na department nyingine. Huo mfumo una watu wengi wa kuchunguza ni vigumu hiyo hela kuitoa ikishaingia kwenye system yao kama income.

Hiko kitu ni highly unlikely system zao of control ni imara hao watu, sio Tanzania kila kitu possible.
 
Usitufanye sisi wajinga, kauli ya kwanza alisema anajua kwamba wanakula lakini akahoji mbona wanakula sana? Watavimbiwa.
Sahizi unataka u edit kauli za mtu ambaye video zake zipo.
 
Hahahahah jamaa anatuona wendawazimu🤣
 
Wakuu nujuzeni, nani anasemwa hapo?
 
We ni mandazi kweli kweli.
 
Hivi kutoka dola milion 37 mpaka dola milion 86 ni 10% ? Haya tuoneni wajinga tu.
 
Usitetee wizi, hiyo siyo ndege ya kwanza kuundwa duniani.
Kuna zilizotengenezwa kama hizo in thousands.
 
Sasa akifukuza wote si mtasema Mama nae ni Dikteta Kama Mwendazake!!? Watanzania mnatuchanganya sana,na hata sijui mnataka nini!? Mkipewa Jua mnataka Mvua, na mkipewa Mvua mnataka Jua!! Mnatuvuruga kabisa!!
Watanzania naona wafeerwe tu maana hakuna namna ingine. Ni wanafiki wa kiwango cha kutukuka.
 
Ndio maana wengine Mungu hakupenda tuwe Viongozi...hakika kwa mtu kama mimi Leo kungekuwa na Maturubai sehemu nyingi sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]ungefanya nn mkuu?
 
Mtu kapiga 115 billions halafu commander in chief anasema anaomba lifanyiwe kazi dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…