Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hakika CCM ni wezi wa kudumu.Aliwaruhusu wale kwa urefu wa kamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika CCM ni wezi wa kudumu.Aliwaruhusu wale kwa urefu wa kamba
Noma na NusuThe thieves have enough cash to overthrow the government this is a tragedy
Hahahahahah ila naamini hao thieves wana nguvu awamu hii tu maana awamu iliopita hawakuwapo kwa kiwango hichi cha sasa.The thieves have enough cash to overthrow the government this is a tragedy
Kwa nini serikali haiwajui??au ni ndugu zao??Kusaidia wezi? Mwizi anajua hilo la kusaidia wezi yeye si anaiba tu anajenga majumba, mahotel, malodge, ananunua MAGARI mazuri, pesa zingine anaficha bank, mwizi hajali km ulaya watatoa misaada au hawatatoa yeye dili likiingia tu anaiba anatumia anatulia, anasikilizia upepo unavyoenda anasikilizia dili lingine likiingia anachora ramani ya upigaji anapiga anatumia anatulia anasikilizia upepo, kuna wezi wa kimataifa hao kazi yao ni kuiba tu na Serikalini wapo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio maana wengine Mungu hakupenda tuwe Viongozi...hakika kwa mtu kama mimi Leo kungekuwa na Maturubai sehemu nyingi sana.
CCM ni wezi wanalindanaMama nae upole umezidi khaa!
Kuna siku hata misaada ya kutoka Ulaya itakoma kwani watu ulaya wanachoka kusaidia wezi
Kaka hii nchi ukishindwa kuwa na maisha bora ni tatizo lako!.Mtu kapiga 115 billions halafu commander in chief anasema anaomba lifanyiwe kazi dah
Imeishaa hiyo 😅"Watupishe" ndo maneno ya mwisho hayo
Kasema kuwa mabadiliko yamekuwa generated Tanzania na Watanzania na sio nje ya Tanzania au BoeingBusara ni kusikia na upande wa pili pia.
Mkataba una kipengele cha ‘determination of transaction price’ zipo sababu kadhaa.
Moja ya determinant kwenye transaction price ni ‘variable consideration’ hiko kipengele kina adjust inflation kama contract ya muda mrefu, kuna fines za kuchelewesha malipo na mambo luluki ya kutazama.
Ni hela nyingi sana chances kuna ufisadi, ila busara ni kusikiliza na upande wa pili pia kwanini invoice imekuwa kubwa. Lakini kudhani transaction price lazima iwe fixed ni dhana potofu, things change with time.
Unakuta Presida nae ana mgao wake ila wanatufanyia sanaa. 🤣🤣🤣Waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba, hili litaisha kimya kimya.
Please explain what you mean about this photo are this the culprit’s??Kazi iendelee!View attachment 2570207
Anasema watupishe wapungue wanataka kula nyingi hawa wameongeza urefu wa kamba sasa, 36 mpaka 87 hii kamba mboni kamba ndefu sana hii? Ameshtuka kamba imerefuka ghaflaMtu kapiga 115 billions halafu commander in chief anasema anaomba lifanyiwe kazi dah
Hahahahah sawa mkuu, nakubali ila shida ni kuipata hio nafasi ya kuiba 110 billions sio rahisi.Kaka hii nchi ukishindwa kuwa na maisha bira ni tatizo lako!.
Takukuru ndio wezi wenyeweNa alitakiwa kuelekeza takukuru kushuhulika na wahusika upesi sana sio kulalamika kama raiya wa kawaida kabisa wa huko Pawaga.
Aiseeh nacheka Kama mazuri🤣🤣🤣hakika kazi iendelee 🤔Kazi iendelee!View attachment 2570207
10% mgao waPlease explain what you mean about this photo are this the culprit’s??
Inaweza kuwa kweli kuwa miaka yote alyokuwemo serikalini hadi kuwa VP miaka 6 hakuwahi kulielewa hili hadi alielewe sasa?Naona Rais anaanza kuelewa kwamba Watanzania bila kupelekea kama punda Huwa hawaelewi ni wezi kuliko unavyodhani..