butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Hii invoice ata Shetwani akiiona lazima akasirike.Huyo alieongeza gharama za ndege ya mizigo Toka 37 million USd mpaka 87 million.
Stupid yake kabisa.
Kuweni wazalendo japo kidogo jamani.
Huu wizi hata shetani haibi namna hii.