Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Hii nchi si tu ina vijana hovyo pia ina Wazee na viongozi wa hovyo hovyo hovyo kabisaa.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema nchi ilikuwa imefungwa sasa imefunguliwaHawa ndo waliobaniwa na magu sasa wanakomaa mpaka kieleweke huku wakimtukuza mama kwa nyimbo na mpambio
Hadi uwe kwenye mfumo sasaKaka hii nchi ukishindwa kuwa na maisha bora ni tatizo lako!.
Hii nchi si tu ina vijana hovyo pia ina Wazee na viongozi wa hovyo hovyo hovyo kabisaa.......
Nchi ya kitu kidogo, nchi ya watu wadogo.Daah mama Tanzania.......
Wanaanza kuwaelewa wabongo !!Walivyoanza kujiita chawa wa mama ina maana hamkuelewa tu maana yake?
Bado kidogo tutasahau tofauti zetu na kuanza kuimba wimbo mmoja !Kweli hakuna gharama za hivyo hata kama ni covid 19,Hawa watu Fukuza na wapande Kizimbani..
Watanzania sio watu wa kuchekea Mimi nawafahamu vizuri..
Mwendazake aliwajua isipokuwa alikosea kwenye uchumi na siasa.
TAKUKURU wanapaswa kujua na kupitia mikataba ya manunuzi ya serikali regular before and after purchasing ili waweze kujilizisha kama hakuna mazingira ya rushwaCAG ndio whistle blower anaewaamsha hao wengine kuwapa taarifa wakafanye uchunguzi na hatua zichukuliwe ili kuujua ukweli halisi, I'm not layman like you amka huko usingizini unataka waingilie majukumu yasiyowahusu yaan hakuna taarifa ya rushwa TAKUKURU wakaweke mtego ili kukamata Wala rushwa umerogwa au?
Hadi washtuliwe/watonywe ndio maana kuna majalada we unafikiri wanaenda enda tu kichwa kichwa, wanaambiwa pale ule mradi wa SGR Kadogosa kula pesa anakula anaikung'uta ndio jamaa wanaenda kuchimba, kuchimbua na kuchambua hadi wamnase Kadogosa, unafikiri wanaenda enda tu ?TAKUKURU wanapaswa kujua na kupitia mikataba ya manunuzi ya serikali regular before and after purchasing ili waweze kujilizisha kama hakuna mazingira ya rushwa
Acha tuNchi ya kitu kidogo, nchi ya watu wadogo.
Si wanamdanganya kwa kuwa mama hajui na ni mbumbu wa mambo mengi .mkataba upo unasema utengenezaji ni shilingi 50 ghafla bin vuu unakuja na invoice inayosema bidhaa x miliyokubaliana ni shili ngi 70Biashara yeyote ya product hizi ambazo huendi kununua showroom bali unasubiri kutengenezewa ukishapewa bei na wewe kukubaliana na kulipa upfront money na production ikaanza hapo hakuna ongezeko tena na kama kuna issue ambayo iko nje ya pande zote lazima mkae kikao then mkubaliane.... HUO NI WIZI STRAIGHT MAMA..
WAZIRI, NAIBU, KATIBU WA WIZARA NA KILA ANAYEJUA WALIPASWA KUWA NJE YA KAZI USIKU HUU NA VYOMBO VYA USALAMA VIWE KAZINI DHIDI YAO..
KUENDELEA KUDEKEZANA NI KUENDELEZA UOZO NA UJINGA.
Unafikiri anamaanisha basi mama ni soft kuliko tishu ."Watupishe" ndo maneno ya mwisho hayo
Pumbavu kabisa.Stupid!