Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

Huyo alieongeza gharama za ndege ya mizigo Toka 37 million USd mpaka 87 million.

Stupid yake kabisa.

Kuweni wazalendo japo kidogo jamani.

Huu wizi hata shetani haibi namna hii.
Na yeye atuambie B7 za royal tour ni nini..!??

CCM ni makupee.
 
Huyo alieongeza gharama za ndege ya mizigo Toka 37 million USd mpaka 87 million.

Stupid yake kabisa.

Kuweni wazalendo japo kidogo jamani.

Huu wizi hata shetani haibi namna hii.
😁😁😁😁🤣🤣🤣 Sasa ukiwaita stupid ndio umechukua hatua tayari? Si ulisema wale kwa kujipimia na wakukune vizuri 🙄😀😀😀😀😀😀. Inasikitisha sana, ila ndio somo hilo. Wale chawa wa kusifu na kuabudu kazi iendelee.
 
 
Maana yake Invoice imejidouble 🤣🤣🤣

Ongezeko la $ 49 Million. Zaidi ya Billion 112 za Kitanzania.

Kuwaondoa kazini ni kuwapa nafasi ya kuzitumia hela zao kwa uwazi na uhuru. Hakuna mtumishi wa Umma atastaafu na ukwasi wa walau Billion 3.

Kama Mh Rais ana nia basi waondolewe na moja kwa moja mahakamani.
hata kama kuiba huku kumezidi sasa yaani iliyopigwa ni kubwa kuliko gharama halisi ya mradi😂
 
Mzee alimwachia watendaji wazuri, yeye akawafukuza, hao watamla hela mpaka basi, kufikia 2025, kapu halina kitu.

Sijui nani alimshauri kufuta wale watendaji. Mbaya zaidi Waziri Mkuu Majaliwa ni kama kafumbwa macho na mdomo.

Hatari sana
 
Kuna jengo moja la kiwanja cha ndege lilikuwa liishe ndani ya miezi sita, pesa zikapigwa sasa hivi ni mwaka wa tatu halijaaisha, dana dana zinaendelea. Hatua ziwe zinachukuliwa haraka vita vya kiuchumi na ulinzi wa raslimali ni ngumu vinataka ujasiri na uthubutu bila kujali hali.
 
Hadi uwe kwenye mfumo sasa
Na sisi walimu tunafaidika vipi
Wewe tayari upo kwenye mfumo nani mwalimu hila haujui kama upo kwenye mfumo, unategemea walio front watakufumbua macho?.
 
View attachment 2570297

Kuna watu wameongeza 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo. Nadhani Sasa Mh. Rais ameanza kuwafahamu Watanzania. Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.

Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome. Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta.

Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.

==============

Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.

Leo namuona yule mnafiki wa ACT Ayatollah Zitto Kabwe anakazania eti iundwe tume ya Kijaji kuchunguza pesa za Plea Bargaining wakati TRC tumepigwa parefu sana!
 
Wewe tayari upo kwenye mfumo nani mwalimu hila haujui kama upo kwenye mfumo, unategemea walio front watakufumbua macho?.
Nifundishe jinsi ya kupata hiyo mi billion na mimi
 
Back
Top Bottom