Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #61
Lissu kama amechoka na kulewa amani ya Nchi hii aondoke haraka sana hapa Nchini.Lissu aliwaonya mapema sana kwamba msimshangilie huyu mama anaweza kuwa katili kuliko hata Jiwe.
Naona sasa watu wameona picha halisi. Maandamanonya 23rd ndiyo yatatoa hatma ya nini kitafuata.
Nilipoona tu samiamustgo nikabubujikwa na huzuni maana tafsiri yake inafahamika.Lucas Mwashambwa ni mipango gani ya CDM kwa rejea zako imewahi kuwa tishio? Au hata yale maandamano ya kipindi kile yalikuwa na hatarishi ipi ya amani? Watu waliandamana walipomaliza maisha yakaendelea. Watanzania waoga sio kama nchi za wenzetu hatujafikia huko.
Lissu kamtukana vipi Mama yako???Uwe na adabu na uache mara moja uropokaji wako.
Aliwarescue baada ya magufuli kuwataka kuwaua.Huyu bibi huwa anaona hii nchi ni mali yake binafsi na sisi wengine tunaishi kwa hisani yake
😃😃😃😃 We jamaa hopelessUache uropokaji wako kabla hatua kali hazijachukuliwa dhidi yako.
Sativa kamtambua Mafwele Faustine kafanywa nini huyo Mwafwele??Waliotekwa wanaendelea kutafutwa na uchunguzi wa kina unaendelea kufanyika.lakini hata wewe kama una taarifa zozote zinazoweza kusaidia uchunguzi au kupatikana kwa wahusika unaweza kusaidia kwa kutoa taarifa kwa jeshi la polisi.
Uache uropokaji wako.
Angalau leo tumejua kwanini watekaji wapo juu ya sheria....Waliotekwa wanaendelea kutafutwa na uchunguzi wa kina unaendelea kufanyika.lakini hata wewe kama una taarifa zozote zinazoweza kusaidia uchunguzi au kupatikana kwa wahusika unaweza kusaidia kwa kutoa taarifa kwa jeshi la polisi.
Uache uropokaji wako.
Hii nchi sio mali yake, na hakuna mtanzania anaishi hapa kwa hisani yake labda nyie chawa wake. Hao akina Lisu walikimbia kulinda uhai wao chini ya utawala wa dhalimu Magufuli. Na hawakukimbia kama wahalifu, bali mahasimu wa kisiasa wa utawala wa kidhalimu wa Magufuli.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Samia Suluhu Hasssan,ameongea kwa uchungu sana,kwa maumivu makali sana na kwa hisia kali sana zilizogusa mioyo ya watu wengi sana. Pale alipoelezea juhudi zake kubwa za kuliunganisha Taifa na kuwaleta pamoja watanzania tangia pale alipokula kiapo cha Urais wa Taifa letu.
Ameeleza namna alivyokuja na 4R katika kujenga kuaminiana na kuliunganisha Taifa ambalo lilikuwa limegawanyika kutokana na itikadi za kisiasa ,mpaka kupelekea watu wengine kukimbia nchi.na hapa mnaweza kukumbuka Lissu na Lema walivyokimbilia uhamishoni.
Rais wetu mpendwa amesema ni katika hali hiyo aliamua kuja na mpango wa 4R ili watu wote tuishi kama Taifa na tujenge Taifa letu kwa pamoja.amesema lakini kwa bahati mbaya sana kuna watu wamesahau ni wapi tulikotoka,ni wapi na mangapi na magumu mangapi wameyapitia katika maisha yao.lakini leo wameyasahau yote na kuanza kuleta vurugu,lugha za kichochezi, uchonganishi,uzushi na uongo na kupanga mipango ovu.
Amesema hata hivyo haishangazi kwa sababu kuna watu wenyewe hawapendi kuishi katika amani au kuona Taifa na nchi ikiwa katika Amani.ndio maana watu wa aina yao muda wote wanataka mavurugu vurugu tu.amesema hata hivyo hata sita kuwachukulia hatua kali za kisheria watakao jaribu kuchezea amani ya Taifa letu.Na kwamba 4R ni katika kutuungaisha na kutuleta pamoja watanzania na siyo kwa ajili ya kuvunja sheria .amesema sheria zipo palepale na zitatumika kama inavyotakiwa kwa mujibu wa katiba.
Nami Mwashambwa Lucas namuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa.Embu fikiria ndugu zangu Mtu kama lissu hivi anaanzia wapi kumtukana,kumbagua ,kumtweza na kumtolea lugha za kumshushia heshima Mheshimiwa Rais wetu? Anaanzia wapi kumdharau Rais Samia ndugu zangu?anaanzia wapi kuona Rais Samia hafai? Anaanzia wapi kuona na kusema Rais Samia ni Dikteta? Lissu anawafahamu madikteta? Anawafahamu viongozi makatili?
Hivi Lissu angeanzia wapi kukanyaga katika ardhi ya Tanzania akiwa hai kama siyo Rais Samia? Angeanzia wapi kuja kupanda katika majukwaa yaliyo katika ardhi ya Tanzania na kutia matusi yake na bado akaachwa tu? Angeanzia wapi kuja hapa Nchini mpaka kupata nafasi ya kuchangiwa pesa za gari ikiwepo kutoka CCM? Angeanzia wapi Lissu kuja kuvuta oksijeni ya Tanzania? Angepata wapi nafasi ya kwenda hadi kusalimia ndugu zake kijijini kwake , kuhudhuria kanisani ,kuonana na rafiki zake ,kushiriki moja kwa moja mikutano ya chama chake?
Angepata wapi nafasi hiyo lissu kama siyo Mama yetu Mpendwa Rais Samia? Nani aliyemrejesha Nchini Kama siyo Rais Samia? Nani aliye mfuata hadi ulaya na kumhakikishia usalama akirejea Nchini kama siyo Rais Samia? Amesahau haya yote? Alikuwa na kesi ngapi mahakamani? Amefunguliwa kesi gani mahakamani wakati huu wa Rais Samia licha ya Lissu kutukana mimatusi yake na kutoa lugha zake za kibaguzi na kichochezi?
Kwanini anakosa shukurani na kutambua mchango na nguvu ya Rais Samia katika kuimarisha demokrasia, utulivu,amani na umoja wa kitaifa? Nani alimtembelea hospitalini kama siyo Rais Samia?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa hotuba ya leo ya Samia ni ushahidi huu utekaji na mauji yana mkono wake.Uache uropokaji wako kabla hatua kali hazijachukuliwa dhidi yako.
Angalau leo tumejua kwanini watekaji wapo juu ya sheria....Waliotekwa wanaendelea kutafutwa na uchunguzi wa kina unaendelea kufanyika.lakini hata wewe kama una taarifa zozote zinazoweza kusaidia uchunguzi au kupatikana kwa wahusika unaweza kusaidia kwa kutoa taarifa kwa jeshi la polisi.
Uache uropokaji wako.
Watanzania hatutaki ujinga wa mtu kupandikiza chuki na ubaguzi katika Nchi yetu kama wafanyavyo wapinzani.Tunasimama na Rais wetu na tunamuunga mkonoTuna kazi nzito kama taifa.
Mkono upi? Tena kama wewe usiongee kitu kabisa.maana wewe ni mropokaji sana na mwenye nia ovu na Taifa letuKwa hotuba ya leo ya Samia ni ushahidi huu utekaji na mauji yana mkono wake.
Wewe upstairs uwezo mdogo sana na akili hauna...leo nimejua tunaongozwa na mtu mwenye uwezo mdogo wa akili ambae hajitambui,diploma ya maarifa ua jamii ndio iongoze akili kubwa uliona wapiNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Samia Suluhu Hasssan,ameongea kwa uchungu sana,kwa maumivu makali sana na kwa hisia kali sana zilizogusa mioyo ya watu wengi sana. Pale alipoelezea juhudi zake kubwa za kuliunganisha Taifa na kuwaleta pamoja watanzania tangia pale alipokula kiapo cha Urais wa Taifa letu.
Ameeleza namna alivyokuja na 4R katika kujenga kuaminiana na kuliunganisha Taifa ambalo lilikuwa limegawanyika kutokana na itikadi za kisiasa ,mpaka kupelekea watu wengine kukimbia nchi.na hapa mnaweza kukumbuka Lissu na Lema walivyokimbilia uhamishoni.
Rais wetu mpendwa amesema ni katika hali hiyo aliamua kuja na mpango wa 4R ili watu wote tuishi kama Taifa na tujenge Taifa letu kwa pamoja.amesema lakini kwa bahati mbaya sana kuna watu wamesahau ni wapi tulikotoka,ni wapi na mangapi na magumu mangapi wameyapitia katika maisha yao.lakini leo wameyasahau yote na kuanza kuleta vurugu,lugha za kichochezi, uchonganishi,uzushi na uongo na kupanga mipango ovu.
Amesema hata hivyo haishangazi kwa sababu kuna watu wenyewe hawapendi kuishi katika amani au kuona Taifa na nchi ikiwa katika Amani.ndio maana watu wa aina yao muda wote wanataka mavurugu vurugu tu.amesema hata hivyo hata sita kuwachukulia hatua kali za kisheria watakao jaribu kuchezea amani ya Taifa letu.Na kwamba 4R ni katika kutuungaisha na kutuleta pamoja watanzania na siyo kwa ajili ya kuvunja sheria .amesema sheria zipo palepale na zitatumika kama inavyotakiwa kwa mujibu wa katiba.
Nami Mwashambwa Lucas namuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa.Embu fikiria ndugu zangu Mtu kama lissu hivi anaanzia wapi kumtukana,kumbagua ,kumtweza na kumtolea lugha za kumshushia heshima Mheshimiwa Rais wetu? Anaanzia wapi kumdharau Rais Samia ndugu zangu?anaanzia wapi kuona Rais Samia hafai? Anaanzia wapi kuona na kusema Rais Samia ni Dikteta? Lissu anawafahamu madikteta? Anawafahamu viongozi makatili?
Hivi Lissu angeanzia wapi kukanyaga katika ardhi ya Tanzania akiwa hai kama siyo Rais Samia? Angeanzia wapi kuja kupanda katika majukwaa yaliyo katika ardhi ya Tanzania na kutia matusi yake na bado akaachwa tu? Angeanzia wapi kuja hapa Nchini mpaka kupata nafasi ya kuchangiwa pesa za gari ikiwepo kutoka CCM? Angeanzia wapi Lissu kuja kuvuta oksijeni ya Tanzania? Angepata wapi nafasi ya kwenda hadi kusalimia ndugu zake kijijini kwake , kuhudhuria kanisani ,kuonana na rafiki zake ,kushiriki moja kwa moja mikutano ya chama chake?
Angepata wapi nafasi hiyo lissu kama siyo Mama yetu Mpendwa Rais Samia? Nani aliyemrejesha Nchini Kama siyo Rais Samia? Nani aliye mfuata hadi ulaya na kumhakikishia usalama akirejea Nchini kama siyo Rais Samia? Amesahau haya yote? Alikuwa na kesi ngapi mahakamani? Amefunguliwa kesi gani mahakamani wakati huu wa Rais Samia licha ya Lissu kutukana mimatusi yake na kutoa lugha zake za kibaguzi na kichochezi?
Kwanini anakosa shukurani na kutambua mchango na nguvu ya Rais Samia katika kuimarisha demokrasia, utulivu,amani na umoja wa kitaifa? Nani alimtembelea hospitalini kama siyo Rais Samia?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kumtambua bila ushahidi inawezekana vipi ukamuamini mtu wa aina hiyo?Sativa kamtambua Mafwele Faustine kafanywa nini huyo Mwafwele??
Kwanini unaufanya ubongo wako kuwa kama sponji???🤣🤣🤣
Mambo yakienda vibaya lazima mkuu wa nchi watu wampigie kelele. Hata wewe nyumbani kwako ikitokea shida Watoto au mkeo watakulilia. Mauaji yanayotokea na kupotea kwa Wananchi hivi wewe hili jambo unalichukuliaje?
Shida ni uwezo mdogo wa akili,pia upstairs hana tofauti na deo kisanduHuyu bibi huwa anaona hii nchi ni mali yake binafsi na sisi wengine tunaishi kwa hisani yake
Shukuru, kama anaihangaikia familia yako. Lakini familia ya Ally, Soka, and et al, hawatausahau utawala huu uliowatenganisha na wapendwa wao. Ukiwa na Roho wa Mungu, hivi hata Mwashambwa ukiniambia sina akili, ninakuwa nimepungukiwa na nini, hata nione kwa sababu umenitamkia hayo nisiyoyataka, basi uuawe?Familia yake ni watanzania na ndio maana anahangaika usiku na mchana kutuhangaikia.ili kila mtanzania apate huduma bora na karibu yake kabisa .lakini pia ili kuhakikisha kuwa kila mtanzania anapata milo mitatu iliyo bora na kwa wakati.