Rais Samia: Wamesahau Misukosuko Waliyoipata Hapo Nyuma Mpaka wakaikimbia Nchi na Mimi Kuwarejesha kwa 4R Zangu

Rais Samia: Wamesahau Misukosuko Waliyoipata Hapo Nyuma Mpaka wakaikimbia Nchi na Mimi Kuwarejesha kwa 4R Zangu

Lissu aliwaonya mapema sana kwamba msimshangilie huyu mama anaweza kuwa katili kuliko hata Jiwe.

Naona sasa watu wameona picha halisi. Maandamanonya 23rd ndiyo yatatoa hatma ya nini kitafuata.
Lissu kama amechoka na kulewa amani ya Nchi hii aondoke haraka sana hapa Nchini.
 
Lucas Mwashambwa ni mipango gani ya CDM kwa rejea zako imewahi kuwa tishio? Au hata yale maandamano ya kipindi kile yalikuwa na hatarishi ipi ya amani? Watu waliandamana walipomaliza maisha yakaendelea. Watanzania waoga sio kama nchi za wenzetu hatujafikia huko.​
Nilipoona tu samiamustgo nikabubujikwa na huzuni maana tafsiri yake inafahamika.
 
😎
 

Attachments

  • IMG_5563.jpeg
    IMG_5563.jpeg
    128.8 KB · Views: 2
Uwe na adabu na uache mara moja uropokaji wako.
Lissu kamtukana vipi Mama yako???
Kwani kuambiwa anazuza mali za Tanganyika ni matusi ?

Usiwe na wewe ni Kipofu kwa sababu ya Mapenzi yako kwa Mama Samia. Sote tunampenda na kumheshimu lakini Wewe imezidisha mahaba ya kinafiki hivi kuna binadamu asiyekosea? Ifikie wakati usimtukuze na kumwabudu mtu as if yeye amekamilika kwa kila kitu.
 
Misukosuko Gani waliyoipata?kipindi chake Cha awamu ya sita ndiyo Kuna misukosuko mingi haijawahi kutokea toka Nchi upate uhuru.watu wanatekwa Kila kukicha.TLS walitoa orodha ya waliotekwa kipindi chake wanafika zaidi ya miambili
 
Waliotekwa wanaendelea kutafutwa na uchunguzi wa kina unaendelea kufanyika.lakini hata wewe kama una taarifa zozote zinazoweza kusaidia uchunguzi au kupatikana kwa wahusika unaweza kusaidia kwa kutoa taarifa kwa jeshi la polisi.

Uache uropokaji wako.
Sativa kamtambua Mafwele Faustine kafanywa nini huyo Mwafwele??
Kwanini unaufanya ubongo wako kuwa kama sponji???🤣🤣🤣
Mambo yakienda vibaya lazima mkuu wa nchi watu wampigie kelele. Hata wewe nyumbani kwako ikitokea shida Watoto au mkeo watakulilia. Mauaji yanayotokea na kupotea kwa Wananchi hivi wewe hili jambo unalichukuliaje?
 
Waliotekwa wanaendelea kutafutwa na uchunguzi wa kina unaendelea kufanyika.lakini hata wewe kama una taarifa zozote zinazoweza kusaidia uchunguzi au kupatikana kwa wahusika unaweza kusaidia kwa kutoa taarifa kwa jeshi la polisi.

Uache uropokaji wako.
Angalau leo tumejua kwanini watekaji wapo juu ya sheria....
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Samia Suluhu Hasssan,ameongea kwa uchungu sana,kwa maumivu makali sana na kwa hisia kali sana zilizogusa mioyo ya watu wengi sana. Pale alipoelezea juhudi zake kubwa za kuliunganisha Taifa na kuwaleta pamoja watanzania tangia pale alipokula kiapo cha Urais wa Taifa letu.

Ameeleza namna alivyokuja na 4R katika kujenga kuaminiana na kuliunganisha Taifa ambalo lilikuwa limegawanyika kutokana na itikadi za kisiasa ,mpaka kupelekea watu wengine kukimbia nchi.na hapa mnaweza kukumbuka Lissu na Lema walivyokimbilia uhamishoni.

Rais wetu mpendwa amesema ni katika hali hiyo aliamua kuja na mpango wa 4R ili watu wote tuishi kama Taifa na tujenge Taifa letu kwa pamoja.amesema lakini kwa bahati mbaya sana kuna watu wamesahau ni wapi tulikotoka,ni wapi na mangapi na magumu mangapi wameyapitia katika maisha yao.lakini leo wameyasahau yote na kuanza kuleta vurugu,lugha za kichochezi, uchonganishi,uzushi na uongo na kupanga mipango ovu.

Amesema hata hivyo haishangazi kwa sababu kuna watu wenyewe hawapendi kuishi katika amani au kuona Taifa na nchi ikiwa katika Amani.ndio maana watu wa aina yao muda wote wanataka mavurugu vurugu tu.amesema hata hivyo hata sita kuwachukulia hatua kali za kisheria watakao jaribu kuchezea amani ya Taifa letu.Na kwamba 4R ni katika kutuungaisha na kutuleta pamoja watanzania na siyo kwa ajili ya kuvunja sheria .amesema sheria zipo palepale na zitatumika kama inavyotakiwa kwa mujibu wa katiba.

Nami Mwashambwa Lucas namuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa.Embu fikiria ndugu zangu Mtu kama lissu hivi anaanzia wapi kumtukana,kumbagua ,kumtweza na kumtolea lugha za kumshushia heshima Mheshimiwa Rais wetu? Anaanzia wapi kumdharau Rais Samia ndugu zangu?anaanzia wapi kuona Rais Samia hafai? Anaanzia wapi kuona na kusema Rais Samia ni Dikteta? Lissu anawafahamu madikteta? Anawafahamu viongozi makatili?

Hivi Lissu angeanzia wapi kukanyaga katika ardhi ya Tanzania akiwa hai kama siyo Rais Samia? Angeanzia wapi kuja kupanda katika majukwaa yaliyo katika ardhi ya Tanzania na kutia matusi yake na bado akaachwa tu? Angeanzia wapi kuja hapa Nchini mpaka kupata nafasi ya kuchangiwa pesa za gari ikiwepo kutoka CCM? Angeanzia wapi Lissu kuja kuvuta oksijeni ya Tanzania? Angepata wapi nafasi ya kwenda hadi kusalimia ndugu zake kijijini kwake , kuhudhuria kanisani ,kuonana na rafiki zake ,kushiriki moja kwa moja mikutano ya chama chake?

Angepata wapi nafasi hiyo lissu kama siyo Mama yetu Mpendwa Rais Samia? Nani aliyemrejesha Nchini Kama siyo Rais Samia? Nani aliye mfuata hadi ulaya na kumhakikishia usalama akirejea Nchini kama siyo Rais Samia? Amesahau haya yote? Alikuwa na kesi ngapi mahakamani? Amefunguliwa kesi gani mahakamani wakati huu wa Rais Samia licha ya Lissu kutukana mimatusi yake na kutoa lugha zake za kibaguzi na kichochezi?

Kwanini anakosa shukurani na kutambua mchango na nguvu ya Rais Samia katika kuimarisha demokrasia, utulivu,amani na umoja wa kitaifa? Nani alimtembelea hospitalini kama siyo Rais Samia?

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hii nchi sio mali yake, na hakuna mtanzania anaishi hapa kwa hisani yake labda nyie chawa wake. Hao akina Lisu walikimbia kulinda uhai wao chini ya utawala wa dhalimu Magufuli. Na hawakukimbia kama wahalifu, bali mahasimu wa kisiasa wa utawala wa kidhalimu wa Magufuli.

Wamerudi baada ya Magufuli kufariki, na yeye alitumia urejeo wao kihudaa umma kuwa ana roho nzuri. Yeye ndio alifaidika na ujio wao kwani alijichukiulia marks kuwa ni rais mpenda demokarasia. Hapa wamerudi kwenye nchi yao, sio kwenye nchi ya rais Samia kama mali binafsi. Asitegemee na yeye akifanya kama dhalimu Magufuli ,basi hao waliorejea nchini watapaswa kukaa kimya kisa wamerudi akiwa rais yeye.
 
Waliotekwa wanaendelea kutafutwa na uchunguzi wa kina unaendelea kufanyika.lakini hata wewe kama una taarifa zozote zinazoweza kusaidia uchunguzi au kupatikana kwa wahusika unaweza kusaidia kwa kutoa taarifa kwa jeshi la polisi.

Uache uropokaji wako.
Angalau leo tumejua kwanini watekaji wapo juu ya sheria....
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Samia Suluhu Hasssan,ameongea kwa uchungu sana,kwa maumivu makali sana na kwa hisia kali sana zilizogusa mioyo ya watu wengi sana. Pale alipoelezea juhudi zake kubwa za kuliunganisha Taifa na kuwaleta pamoja watanzania tangia pale alipokula kiapo cha Urais wa Taifa letu.

Ameeleza namna alivyokuja na 4R katika kujenga kuaminiana na kuliunganisha Taifa ambalo lilikuwa limegawanyika kutokana na itikadi za kisiasa ,mpaka kupelekea watu wengine kukimbia nchi.na hapa mnaweza kukumbuka Lissu na Lema walivyokimbilia uhamishoni.

Rais wetu mpendwa amesema ni katika hali hiyo aliamua kuja na mpango wa 4R ili watu wote tuishi kama Taifa na tujenge Taifa letu kwa pamoja.amesema lakini kwa bahati mbaya sana kuna watu wamesahau ni wapi tulikotoka,ni wapi na mangapi na magumu mangapi wameyapitia katika maisha yao.lakini leo wameyasahau yote na kuanza kuleta vurugu,lugha za kichochezi, uchonganishi,uzushi na uongo na kupanga mipango ovu.

Amesema hata hivyo haishangazi kwa sababu kuna watu wenyewe hawapendi kuishi katika amani au kuona Taifa na nchi ikiwa katika Amani.ndio maana watu wa aina yao muda wote wanataka mavurugu vurugu tu.amesema hata hivyo hata sita kuwachukulia hatua kali za kisheria watakao jaribu kuchezea amani ya Taifa letu.Na kwamba 4R ni katika kutuungaisha na kutuleta pamoja watanzania na siyo kwa ajili ya kuvunja sheria .amesema sheria zipo palepale na zitatumika kama inavyotakiwa kwa mujibu wa katiba.

Nami Mwashambwa Lucas namuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa.Embu fikiria ndugu zangu Mtu kama lissu hivi anaanzia wapi kumtukana,kumbagua ,kumtweza na kumtolea lugha za kumshushia heshima Mheshimiwa Rais wetu? Anaanzia wapi kumdharau Rais Samia ndugu zangu?anaanzia wapi kuona Rais Samia hafai? Anaanzia wapi kuona na kusema Rais Samia ni Dikteta? Lissu anawafahamu madikteta? Anawafahamu viongozi makatili?

Hivi Lissu angeanzia wapi kukanyaga katika ardhi ya Tanzania akiwa hai kama siyo Rais Samia? Angeanzia wapi kuja kupanda katika majukwaa yaliyo katika ardhi ya Tanzania na kutia matusi yake na bado akaachwa tu? Angeanzia wapi kuja hapa Nchini mpaka kupata nafasi ya kuchangiwa pesa za gari ikiwepo kutoka CCM? Angeanzia wapi Lissu kuja kuvuta oksijeni ya Tanzania? Angepata wapi nafasi ya kwenda hadi kusalimia ndugu zake kijijini kwake , kuhudhuria kanisani ,kuonana na rafiki zake ,kushiriki moja kwa moja mikutano ya chama chake?

Angepata wapi nafasi hiyo lissu kama siyo Mama yetu Mpendwa Rais Samia? Nani aliyemrejesha Nchini Kama siyo Rais Samia? Nani aliye mfuata hadi ulaya na kumhakikishia usalama akirejea Nchini kama siyo Rais Samia? Amesahau haya yote? Alikuwa na kesi ngapi mahakamani? Amefunguliwa kesi gani mahakamani wakati huu wa Rais Samia licha ya Lissu kutukana mimatusi yake na kutoa lugha zake za kibaguzi na kichochezi?

Kwanini anakosa shukurani na kutambua mchango na nguvu ya Rais Samia katika kuimarisha demokrasia, utulivu,amani na umoja wa kitaifa? Nani alimtembelea hospitalini kama siyo Rais Samia?

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe upstairs uwezo mdogo sana na akili hauna...leo nimejua tunaongozwa na mtu mwenye uwezo mdogo wa akili ambae hajitambui,diploma ya maarifa ua jamii ndio iongoze akili kubwa uliona wapi
 
Sativa kamtambua Mafwele Faustine kafanywa nini huyo Mwafwele??
Kwanini unaufanya ubongo wako kuwa kama sponji???🤣🤣🤣
Mambo yakienda vibaya lazima mkuu wa nchi watu wampigie kelele. Hata wewe nyumbani kwako ikitokea shida Watoto au mkeo watakulilia. Mauaji yanayotokea na kupotea kwa Wananchi hivi wewe hili jambo unalichukuliaje?
Kumtambua bila ushahidi inawezekana vipi ukamuamini mtu wa aina hiyo?
 
Familia yake ni watanzania na ndio maana anahangaika usiku na mchana kutuhangaikia.ili kila mtanzania apate huduma bora na karibu yake kabisa .lakini pia ili kuhakikisha kuwa kila mtanzania anapata milo mitatu iliyo bora na kwa wakati.
Shukuru, kama anaihangaikia familia yako. Lakini familia ya Ally, Soka, and et al, hawatausahau utawala huu uliowatenganisha na wapendwa wao. Ukiwa na Roho wa Mungu, hivi hata Mwashambwa ukiniambia sina akili, ninakuwa nimepungukiwa na nini, hata nione kwa sababu umenitamkia hayo nisiyoyataka, basi uuawe?

Hakika nasema, kiongozi yeyote ambaye utawala wake unaua, hana upendo wala uzuri wowote kwa mtu yeyote, wala Taifa, huyo ni mtumishi wa shetani anayelenga kuliharibu Taifa. Tunaomba Mungu awajalie hekima wananchi, hekima ya kuuvaa ujasiri, ili hekima ya Mungu, kwa kupitia watu wake, atuletee mtawala atakayeusimamisha ushetani unaoendelea sasa nchini mwetu. Tuvipokee kwa moyo wa subira na imani vifo vya jamaa zetu tusivyo na uwezo wa kuvizuia, lakini tukatae kazi ya shetani kupitia mamlaka za serikali zinazoondoa uhai wa binadamu wenzetu.
 
Back
Top Bottom