secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Ulishawahi fikiri kwamba it was a big lie....Wengine haya tuliyajua mapema tu kwani wahusika wanajulikana.
ni uzushi wa mitandaoni tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishawahi fikiri kwamba it was a big lie....Wengine haya tuliyajua mapema tu kwani wahusika wanajulikana.
Tangazo la UCHUNGUZI LILITOLEWA HADHARANI KWANINI RIPOTI IWE SIRI?Ndugu Rais,
Ukifunika ripoti hii unatupa wasiwasi sisi wananchi kuwa unalinda upigaji na ufisadi, na hili litakuandama kisiasa kwa muda mrefu sana.
Ndugu Rais, uchunguzi wa hizi pesa uliuagiza hadharani, wananchi tukishuhudia, tukisikia, na kwa hiyo tuna haki ya kujua je pesa zetu zilo salama, kama zilitumika zilitumika kwa kufuata misingi ya sheria? Maadamu uliiunda uliagiza uchunguzi wa suala hili hadharani, wananchi tunataka kujua yaliyojiri katika hili suala, kinyime cha hapo ni kulindanalindana tu ambako sisi wananchi hatutaki.
Ndugu Rais, hizi pesa ni mali yetu wananchi, ni kodi zetu, kama ni za mkopo basi tutalipa sisi na pengine watoto wetu, kwa hiyo tunaomba hiyo ripoti iwekwe wazi tujue kinachojiri katika hizo pesa.
Ndugu Rais, Uliunda tume ya ushauri juu ya masuala ya korona na ndani ya miezi miwili tu imekupa majibu na imetoa mrejesho wa mapendekezo yake hadharani, Sasa hiki kigugumizi kuhusu ripoti ya PESA zetu cha nini?
Ndugu Rais, tunaomba utupe imani kuwa Unapambana na Ufisadi kwa Vitendo, Unapambana na Ubadhirifu wa pesa ya umma kwa Vitendo na ili uweze kutupa imani hiyo TUNATAKA RIPOTI YA MIAMALA YA FEDHA ZETU KUANZIA Mwezi January hadi March Mwaka huu tuione na tujue kiluchojiri, Kinyume cha hapo sisj tutajua ni Kulindana tu kwenye mambo ya Upigaji.
Ndugu Rais,
Ukifunika ripoti hii unatupa wasiwasi sisi wananchi kuwa unalinda upigaji na ufisadi, na hili litakuandama kisiasa kwa muda mrefu sana.
Ndugu Rais, uchunguzi wa hizi pesa uliuagiza hadharani, wananchi tukishuhudia, tukisikia, na kwa hiyo tuna haki ya kujua je pesa zetu zilo salama, kama zilitumika zilitumika kwa kufuata misingi ya sheria? Maadamu uliiunda uliagiza uchunguzi wa suala hili hadharani, wananchi tunataka kujua yaliyojiri katika hili suala, kinyime cha hapo ni kulindanalindana tu ambako sisi wananchi hatutaki.
Ndugu Rais, hizi pesa ni mali yetu wananchi, ni kodi zetu, kama ni za mkopo basi tutalipa sisi na pengine watoto wetu, kwa hiyo tunaomba hiyo ripoti iwekwe wazi tujue kinachojiri katika hizo pesa.
Ndugu Rais, Uliunda tume ya ushauri juu ya masuala ya korona na ndani ya miezi miwili tu imekupa majibu na imetoa mrejesho wa mapendekezo yake hadharani, Sasa hiki kigugumizi kuhusu ripoti ya PESA zetu cha nini?
Ndugu Rais, tunaomba utupe imani kuwa Unapambana na Ufisadi kwa Vitendo, Unapambana na Ubadhirifu wa pesa ya umma kwa Vitendo na ili uweze kutupa imani hiyo TUNATAKA RIPOTI YA MIAMALA YA FEDHA ZETU KUANZIA Mwezi January hadi March Mwaka huu tuione na tujue kiluchojiri, Kinyume cha hapo sisj tutajua ni Kulindana tu kwenye mambo ya Upigaji.
Ndugu Rais, hizi pesa ni mali yetu wananchi, ni kodi zetu, kama ni za mkopo basi tutalipa sisi na pengine watoto wetu, kwa hiyo tunaomba hiyo ripoti iwekwe wazi tujue kinachojiri katika hizo pesa.
Kwa hiyo mama analinda uhuni kwa ajili ya manufaa ya CCM? —Basi atakuwa ni dissapointment akifanya hivyoYawezekana Mama kaamua tusijue kilichomo ndani labda kinaweza kuwa na madhara makubwa hasa kwa CCM.
Hawezi ! Kuna SAIDO NTIBANZOKINZA😂😂🤣🤣....anachungulia! anaona MAJI marefu !!🤣🤣🤣🤣Ndugu Rais,
Ukifunika ripoti hii unatupa wasiwasi sisi wananchi kuwa unalinda upigaji na ufisadi, na hili litakuandama kisiasa kwa muda mrefu sana.
Ndugu Rais, uchunguzi wa hizi pesa uliuagiza hadharani, wananchi tukishuhudia, tukisikia, na kwa hiyo tuna haki ya kujua je pesa zetu zilo salama, kama zilitumika zilitumika kwa kufuata misingi ya sheria? Maadamu uliiunda uliagiza uchunguzi wa suala hili hadharani, wananchi tunataka kujua yaliyojiri katika hili suala, kinyime cha hapo ni kulindanalindana tu ambako sisi wananchi hatutaki.
Ndugu Rais, hizi pesa ni mali yetu wananchi, ni kodi zetu, kama ni za mkopo basi tutalipa sisi na pengine watoto wetu, kwa hiyo tunaomba hiyo ripoti iwekwe wazi tujue kinachojiri katika hizo pesa.
Ndugu Rais, Uliunda tume ya ushauri juu ya masuala ya korona na ndani ya miezi miwili tu imekupa majibu na imetoa mrejesho wa mapendekezo yake hadharani, Sasa hiki kigugumizi kuhusu ripoti ya PESA zetu cha nini?
Ndugu Rais, tunaomba utupe imani kuwa Unapambana na Ufisadi kwa Vitendo, Unapambana na Ubadhirifu wa pesa ya umma kwa Vitendo na ili uweze kutupa imani hiyo TUNATAKA RIPOTI YA MIAMALA YA FEDHA ZETU KUANZIA Mwezi January hadi March Mwaka huu tuione na tujue kiluchojiri, Kinyume cha hapo sisj tutajua ni Kulindana tu kwenye mambo ya Upigaji.
Kama yapi? Wewe unayajua? Kama unayajua shida iko wapi kutujuza?Yapo mambo yanatokea,
Pengine, my foot! Kwa nini alitangaza hadharani? Si uchunguzi nao ungeweza kuendeshwa kimya kimya bila kututangazia hadharani?wahusika pengine wanakiri na kuomba radhi
Wewe sasa unakuwa mpiga ramli! Kuna shida gani kutupa taarifa? Kumbuka sisi ndio waajiri wake na hela ni zetu. Au umetumwa?na pengine kurejesha fedha husika
Kama huoni ilipo shida iko wapi hata ukiambiwa itakuwa kazi bure. Je wahusika ni ndugu zako?shida inakuwepo wapi?
NIMEPIKA RAMLI IMEONYESHA HIVYO...KIOO CHANGU KIKALI SANA QUI QUI QUI (JOKES).Kama yapi? Wewe unayajua? Kama unayajua shida iko wapi kutujuza?
Pengine, my foot! Kwa nini alitangaza hadharani? Si uchunguzi nao ungeweza kuendeshwa kimya kimya bila kututangazia hadharani?
Wewe sasa unakuwa mpiga ramli! Kuna shida gani kutupa taarifa? Kumbuka sisi ndio waajiri wake na hela ni zetu. Au umetumwa?
Kama huoni ilipo shida iko wapi hata ukiambiwa itakuwa kazi bure. Je wahusika ni ndugu zako?
Nimekupata kwenye Katelephone endowment!
Ntibazonkiza nimetoka hola hapo [emoji2]
Labda hawataki kufukua makaburiNdugu Rais,
Ukifunika ripoti hii unatupa wasiwasi sisi wananchi kuwa unalinda upigaji na ufisadi, na hili litakuandama kisiasa kwa muda mrefu sana.
Ndugu Rais, uchunguzi wa hizi pesa uliuagiza hadharani, wananchi tukishuhudia, tukisikia, na kwa hiyo tuna haki ya kujua je pesa zetu zilo salama, kama zilitumika zilitumika kwa kufuata misingi ya sheria? Maadamu uliiunda uliagiza uchunguzi wa suala hili hadharani, wananchi tunataka kujua yaliyojiri katika hili suala, kinyime cha hapo ni kulindanalindana tu ambako sisi wananchi hatutaki.
Ndugu Rais, hizi pesa ni mali yetu wananchi, ni kodi zetu, kama ni za mkopo basi tutalipa sisi na pengine watoto wetu, kwa hiyo tunaomba hiyo ripoti iwekwe wazi tujue kinachojiri katika hizo pesa.
Ndugu Rais, Uliunda tume ya ushauri juu ya masuala ya korona na ndani ya miezi miwili tu imekupa majibu na imetoa mrejesho wa mapendekezo yake hadharani, Sasa hiki kigugumizi kuhusu ripoti ya PESA zetu cha nini?
Ndugu Rais, tunaomba utupe imani kuwa Unapambana na Ufisadi kwa Vitendo, Unapambana na Ubadhirifu wa pesa ya umma kwa Vitendo na ili uweze kutupa imani hiyo TUNATAKA RIPOTI YA MIAMALA YA FEDHA ZETU KUANZIA Mwezi January hadi March Mwaka huu tuione na tujue kiluchojiri, Kinyume cha hapo sisj tutajua ni Kulindana tu kwenye mambo ya Upigaji.
Kasimu kasogo si ndiyo katelephone?Hebu nisaidie ndugu huyo katelefon ni nan????mana kote hapo nmetoka kapa
Wapo wachangiaji watapiga kimya kama vile hawaioni hii mada, wapo watakaojaribu kutuhamisha kwenye mada na wapo watakaotetea wakidai Mh. SSH hulazimiki kuitoa hiyo ripoti hadharani.
Naomba nikutahadharishe Mh Rais kwamba ahadi ni deni. Njia pekee itakayokulindia heshima yako ni moja tu…itoe kwa njia ili ile uliyotumia kutoa agizo la uchunguzi kufanyika na ripoti kutolewa.
Wengine tungependa na tunajitahidi sana kukupa kinachoitwa benefit of doubt kwamba uko imara, huyumbishwi hovyo wala hukurupuki, tafadhali usituangushe…timiza kwa matendo.
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au majamaa yameirudisha kimya kimya na kuombana msamaha kimya kimya?