Rais Samia, wananchi tuna haki ya kujua kilichomo kwenye ripoti uliyoiunda kuchunguza pesa za BoT

Rais Samia, wananchi tuna haki ya kujua kilichomo kwenye ripoti uliyoiunda kuchunguza pesa za BoT

Yawezekana Mama kaamua tusijue kilichomo ndani labda kinaweza kuwa na madhara makubwa hasa kwa CCM.
 
Ndugu Rais,

Ukifunika ripoti hii unatupa wasiwasi sisi wananchi kuwa unalinda upigaji na ufisadi, na hili litakuandama kisiasa kwa muda mrefu sana.

Ndugu Rais, uchunguzi wa hizi pesa uliuagiza hadharani, wananchi tukishuhudia, tukisikia, na kwa hiyo tuna haki ya kujua je pesa zetu zilo salama, kama zilitumika zilitumika kwa kufuata misingi ya sheria? Maadamu uliiunda uliagiza uchunguzi wa suala hili hadharani, wananchi tunataka kujua yaliyojiri katika hili suala, kinyime cha hapo ni kulindanalindana tu ambako sisi wananchi hatutaki.

Ndugu Rais, hizi pesa ni mali yetu wananchi, ni kodi zetu, kama ni za mkopo basi tutalipa sisi na pengine watoto wetu, kwa hiyo tunaomba hiyo ripoti iwekwe wazi tujue kinachojiri katika hizo pesa.

Ndugu Rais, Uliunda tume ya ushauri juu ya masuala ya korona na ndani ya miezi miwili tu imekupa majibu na imetoa mrejesho wa mapendekezo yake hadharani, Sasa hiki kigugumizi kuhusu ripoti ya PESA zetu cha nini?

Ndugu Rais, tunaomba utupe imani kuwa Unapambana na Ufisadi kwa Vitendo, Unapambana na Ubadhirifu wa pesa ya umma kwa Vitendo na ili uweze kutupa imani hiyo TUNATAKA RIPOTI YA MIAMALA YA FEDHA ZETU KUANZIA Mwezi January hadi March Mwaka huu tuione na tujue kiluchojiri, Kinyume cha hapo sisj tutajua ni Kulindana tu kwenye mambo ya Upigaji.
Tangazo la UCHUNGUZI LILITOLEWA HADHARANI KWANINI RIPOTI IWE SIRI?
 
tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini
Ndugu Rais,

Ukifunika ripoti hii unatupa wasiwasi sisi wananchi kuwa unalinda upigaji na ufisadi, na hili litakuandama kisiasa kwa muda mrefu sana.

Ndugu Rais, uchunguzi wa hizi pesa uliuagiza hadharani, wananchi tukishuhudia, tukisikia, na kwa hiyo tuna haki ya kujua je pesa zetu zilo salama, kama zilitumika zilitumika kwa kufuata misingi ya sheria? Maadamu uliiunda uliagiza uchunguzi wa suala hili hadharani, wananchi tunataka kujua yaliyojiri katika hili suala, kinyime cha hapo ni kulindanalindana tu ambako sisi wananchi hatutaki.

Ndugu Rais, hizi pesa ni mali yetu wananchi, ni kodi zetu, kama ni za mkopo basi tutalipa sisi na pengine watoto wetu, kwa hiyo tunaomba hiyo ripoti iwekwe wazi tujue kinachojiri katika hizo pesa.

Ndugu Rais, Uliunda tume ya ushauri juu ya masuala ya korona na ndani ya miezi miwili tu imekupa majibu na imetoa mrejesho wa mapendekezo yake hadharani, Sasa hiki kigugumizi kuhusu ripoti ya PESA zetu cha nini?

Ndugu Rais, tunaomba utupe imani kuwa Unapambana na Ufisadi kwa Vitendo, Unapambana na Ubadhirifu wa pesa ya umma kwa Vitendo na ili uweze kutupa imani hiyo TUNATAKA RIPOTI YA MIAMALA YA FEDHA ZETU KUANZIA Mwezi January hadi March Mwaka huu tuione na tujue kiluchojiri, Kinyume cha hapo sisj tutajua ni Kulindana tu kwenye mambo ya Upigaji.
 
Ndugu Rais, hizi pesa ni mali yetu wananchi, ni kodi zetu, kama ni za mkopo basi tutalipa sisi na pengine watoto wetu, kwa hiyo tunaomba hiyo ripoti iwekwe wazi tujue kinachojiri katika hizo pesa.
1623999021757.png
 
Yawezekana Mama kaamua tusijue kilichomo ndani labda kinaweza kuwa na madhara makubwa hasa kwa CCM.
Kwa hiyo mama analinda uhuni kwa ajili ya manufaa ya CCM? —Basi atakuwa ni dissapointment akifanya hivyo
 
Ndugu Rais,

Ukifunika ripoti hii unatupa wasiwasi sisi wananchi kuwa unalinda upigaji na ufisadi, na hili litakuandama kisiasa kwa muda mrefu sana.

Ndugu Rais, uchunguzi wa hizi pesa uliuagiza hadharani, wananchi tukishuhudia, tukisikia, na kwa hiyo tuna haki ya kujua je pesa zetu zilo salama, kama zilitumika zilitumika kwa kufuata misingi ya sheria? Maadamu uliiunda uliagiza uchunguzi wa suala hili hadharani, wananchi tunataka kujua yaliyojiri katika hili suala, kinyime cha hapo ni kulindanalindana tu ambako sisi wananchi hatutaki.

Ndugu Rais, hizi pesa ni mali yetu wananchi, ni kodi zetu, kama ni za mkopo basi tutalipa sisi na pengine watoto wetu, kwa hiyo tunaomba hiyo ripoti iwekwe wazi tujue kinachojiri katika hizo pesa.

Ndugu Rais, Uliunda tume ya ushauri juu ya masuala ya korona na ndani ya miezi miwili tu imekupa majibu na imetoa mrejesho wa mapendekezo yake hadharani, Sasa hiki kigugumizi kuhusu ripoti ya PESA zetu cha nini?

Ndugu Rais, tunaomba utupe imani kuwa Unapambana na Ufisadi kwa Vitendo, Unapambana na Ubadhirifu wa pesa ya umma kwa Vitendo na ili uweze kutupa imani hiyo TUNATAKA RIPOTI YA MIAMALA YA FEDHA ZETU KUANZIA Mwezi January hadi March Mwaka huu tuione na tujue kiluchojiri, Kinyume cha hapo sisj tutajua ni Kulindana tu kwenye mambo ya Upigaji.
Hawezi ! Kuna SAIDO NTIBANZOKINZA😂😂🤣🤣....anachungulia! anaona MAJI marefu !!🤣🤣🤣🤣

So kumweka bench SAIDO NTIBANZOKINZA ni shidaaaa!!🤸‍♀️🤸‍♀️😂🤣🤣🤣
 
Kwa msingi ule ule wa ukweli na uwazi, ni vema ripoti kama imekamilika ibandikwe kila mtu asome dhahiri shahiri
 
Yapo mambo yanatokea,wahusika pengine wanakiri na kuomba radhi na pengine kurejesha fedha husika shida inakuwepo wapi?
 
Yapo mambo yanatokea,
Kama yapi? Wewe unayajua? Kama unayajua shida iko wapi kutujuza?
wahusika pengine wanakiri na kuomba radhi
Pengine, my foot! Kwa nini alitangaza hadharani? Si uchunguzi nao ungeweza kuendeshwa kimya kimya bila kututangazia hadharani?
na pengine kurejesha fedha husika
Wewe sasa unakuwa mpiga ramli! Kuna shida gani kutupa taarifa? Kumbuka sisi ndio waajiri wake na hela ni zetu. Au umetumwa?
shida inakuwepo wapi?
Kama huoni ilipo shida iko wapi hata ukiambiwa itakuwa kazi bure. Je wahusika ni ndugu zako?
 
Kama yapi? Wewe unayajua? Kama unayajua shida iko wapi kutujuza?

Pengine, my foot! Kwa nini alitangaza hadharani? Si uchunguzi nao ungeweza kuendeshwa kimya kimya bila kututangazia hadharani?

Wewe sasa unakuwa mpiga ramli! Kuna shida gani kutupa taarifa? Kumbuka sisi ndio waajiri wake na hela ni zetu. Au umetumwa?

Kama huoni ilipo shida iko wapi hata ukiambiwa itakuwa kazi bure. Je wahusika ni ndugu zako?
NIMEPIKA RAMLI IMEONYESHA HIVYO...KIOO CHANGU KIKALI SANA QUI QUI QUI (JOKES).
 
Ndugu Rais,

Ukifunika ripoti hii unatupa wasiwasi sisi wananchi kuwa unalinda upigaji na ufisadi, na hili litakuandama kisiasa kwa muda mrefu sana.

Ndugu Rais, uchunguzi wa hizi pesa uliuagiza hadharani, wananchi tukishuhudia, tukisikia, na kwa hiyo tuna haki ya kujua je pesa zetu zilo salama, kama zilitumika zilitumika kwa kufuata misingi ya sheria? Maadamu uliiunda uliagiza uchunguzi wa suala hili hadharani, wananchi tunataka kujua yaliyojiri katika hili suala, kinyime cha hapo ni kulindanalindana tu ambako sisi wananchi hatutaki.

Ndugu Rais, hizi pesa ni mali yetu wananchi, ni kodi zetu, kama ni za mkopo basi tutalipa sisi na pengine watoto wetu, kwa hiyo tunaomba hiyo ripoti iwekwe wazi tujue kinachojiri katika hizo pesa.

Ndugu Rais, Uliunda tume ya ushauri juu ya masuala ya korona na ndani ya miezi miwili tu imekupa majibu na imetoa mrejesho wa mapendekezo yake hadharani, Sasa hiki kigugumizi kuhusu ripoti ya PESA zetu cha nini?

Ndugu Rais, tunaomba utupe imani kuwa Unapambana na Ufisadi kwa Vitendo, Unapambana na Ubadhirifu wa pesa ya umma kwa Vitendo na ili uweze kutupa imani hiyo TUNATAKA RIPOTI YA MIAMALA YA FEDHA ZETU KUANZIA Mwezi January hadi March Mwaka huu tuione na tujue kiluchojiri, Kinyume cha hapo sisj tutajua ni Kulindana tu kwenye mambo ya Upigaji.
Labda hawataki kufukua makaburi

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Wapo wachangiaji watapiga kimya kama vile hawaioni hii mada, wapo watakaojaribu kutuhamisha kwenye mada na wapo watakaotetea wakidai Mh. SSH hulazimiki kuitoa hiyo ripoti hadharani.

Naomba nikutahadharishe Mh Rais kwamba ahadi ni deni. Njia pekee itakayokulindia heshima yako ni moja tu…itoe kwa njia ili ile uliyotumia kutoa agizo la uchunguzi kufanyika na ripoti kutolewa.

Wengine tungependa na tunajitahidi sana kukupa kinachoitwa benefit of doubt kwamba uko imara, huyumbishwi hovyo wala hukurupuki, tafadhali usituangushe…timiza kwa matendo.

Kwenye hili si muda mrefu uzalendo utatushinda.
 
Back
Top Bottom