Rais Samia, wananchi tuna haki ya kujua kilichomo kwenye ripoti uliyoiunda kuchunguza pesa za BoT

Rais Samia, wananchi tuna haki ya kujua kilichomo kwenye ripoti uliyoiunda kuchunguza pesa za BoT

Hata zikirudishwa kwa siri, kama ni siri unadhani zitarudi zilipokuwepo hapo awali? Kwasababu ni siri, hakuna atakayeuliza. Ndiyo maana ninaamini wanaweza wakawa wamegawana.
Hata wasiposema na ikabaki siri. Wananchi mtafanya nn? 0 hakuna mtachofanya zaidi ya mayowe
 
Yaliyomo yanatisha na kusikitisha...

Pesa zilikua zinachotwa kuliko hata zile za singa singa wa IPTL...
 
Back
Top Bottom