wazanaki JF-Expert Member Joined Mar 20, 2020 Posts 1,092 Reaction score 808 Jun 19, 2021 #41 jmushi1 said: Hata zikirudishwa kwa siri, kama ni siri unadhani zitarudi zilipokuwepo hapo awali? Kwasababu ni siri, hakuna atakayeuliza. Ndiyo maana ninaamini wanaweza wakawa wamegawana. Click to expand... Hata wasiposema na ikabaki siri. Wananchi mtafanya nn? 0 hakuna mtachofanya zaidi ya mayowe
jmushi1 said: Hata zikirudishwa kwa siri, kama ni siri unadhani zitarudi zilipokuwepo hapo awali? Kwasababu ni siri, hakuna atakayeuliza. Ndiyo maana ninaamini wanaweza wakawa wamegawana. Click to expand... Hata wasiposema na ikabaki siri. Wananchi mtafanya nn? 0 hakuna mtachofanya zaidi ya mayowe
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jun 19, 2021 #42 Yaliyomo yanatisha na kusikitisha... Pesa zilikua zinachotwa kuliko hata zile za singa singa wa IPTL...
Yaliyomo yanatisha na kusikitisha... Pesa zilikua zinachotwa kuliko hata zile za singa singa wa IPTL...