Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Tunasema kwa kauli moja kuwa Mama chapa kazi na songa mbele kwa kishindo maana mamillioni ya watanzania wapo nyuma yako na wanakuunga mkono.Mama yetu piga kazi, hachana na mitandao.
Hata JK alitukanwa sana lakini wala hakuangaika nao baadae walichika.