Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #21
Tunasema kwa kauli moja kuwa Mama chapa kazi na songa mbele kwa kishindo maana mamillioni ya watanzania wapo nyuma yako na wanakuunga mkono.Mama yetu piga kazi, hachana na mitandao.
Hata JK alitukanwa sana lakini wala hakuangaika nao baadae walichika.
Sasa watu kama CHADEMA ukiwaangalia unawaona wapo sawa kichwani mwao?Anadhani ni kwa nini anatukanwa?
.... her eyes
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mpaka sasa CHADEMA wameshachanganyikiwa kwa spana na nyundo kali walizotwangwa nazo hii leo. Huku mitaani ni mpoteano kwa CHADEMA.wananchi wameripuka kwa shangwe na furaha sana .
huu mstari ndiyo unabeba zile rangi zingine za mama yani anawaambia atakaye mkwamisha atakiona cha mtema kuni walahiiAmesema ila yule atakayekwamisha juhudi zake za kuujenga uchumi wetu na mageuzi yake ya uchumi kwa hakika huyo atamkera sana.
Nani kadanganya?Kwani ukiwa mwanasiasa lazima uwe unadangany waziwazi? 😂 😂 😂
Hakuna nchi hata moja hapa duniani ambayo imeendelea kupitia mikopo. Kama unazifahamu nchi za namna hiyo zitaje.Tutalipa na tutaendelea kukopa sana tu kwa ajili ya kujenga uchumi wetu kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo. Tunachoangalia na kuzingatia ni masharti nafuu ya mkopo.
haswaaaa yaani wanazidi kumeguka tuMpaka sasa CHADEMA wameshachanganyikiwa kwa spana na nyundo kali walizotwangwa nazo hii leo. Huku mitaani ni mpoteano kwa CHADEMA.wananchi wameripuka kwa shangwe na furaha sana .
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavuSasa watu kama CHADEMA ukiwaangalia unawaona wapo sawa kichwani mwao?
Kumbe anawazungumzia CHADEMA, okay sawa. Mambo ya Wanasiasa waachiwe wenyewe Wanasiasa.Sasa watu kama CHADEMA ukiwaangalia unawaona wapo sawa kichwani mwao?
Never underestimate the power of fools when they're in a large number, because they can elect one of their own to rule.CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
Kuna video pia.Sijasoma bandiko refu sanaa
Mnakopa halafu watu wanafanya misappropriation ya mikopo halafu unasema mtalipa wakati mzigo unawaangukia wananchi huku viongozi wakificha pesa ughaibuni?Tutalipa na tutaendelea kukopa sana tu kwa ajili ya kujenga uchumi wetu kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo. Tunachoangalia na kuzingatia ni masharti nafuu ya mkopo.
Sema mambumbumbu yamelipuka.Ma it I zimekurupushwaMpaka sasa CHADEMA wameshachanganyikiwa kwa spana na nyundo kali walizotwangwa nazo hii leo. Huku mitaani ni mpoteano kwa CHADEMA.wananchi wameripuka kwa shangwe na furaha sana .