Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #101
Watanzania hatuhitaji kuona Rais wetu akitukanwa.Wanaomtukana RAIS walaaniwe. Ila wanaosema ukweli Kwa mstakabali wa taifa wabarikiwe wataiponya nchi. Nia yetu ni kugawana keki ya taifa. Siyo wanaosema wanalamba asali (Jamani si tunalamba asali? Makamba voice). Mtu ale Kwa urefu wa kamba yake (Somebody voice) hapo no no no
Kama anawajali watanzania mbona soko la Buhongwa likapelekwa dampo ambako hakuna wateja ?Ndugu zangu Watanzania,
Leo imekuwa siku ya moto sana na ngumu sana kwa wanasiasa uchwara wa Nchi hii. Leo Rais wetu mpendwa ameshusha NONDO za hatari sana zilizowakosha watanzania na kuibua shangwe kwa watanzania mbalimbali waliokuwa wakifuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka ikulu.
Ambapo Rais Samia amesema ya kuwa amekuwa akitukanwa sana na watu ambao wanataka awajibu lakini amekataa kuwajibu.na badala yake kuendelea kuchapa kazi kwa kasi katika kujenga uchumi wetu.amesema wapo wengine mara wasema mama huyu hafai mara ooo kafanya hivi kafanya vile .lakini anasema yeye hasikilizi Makelele na badala yake anaangalia kazi iliyo mbele yake ya kuujenga uchumi ambao unaendelea kuimarika na kufanya vyema kila iitwayo leo.
Amesema ila yule atakayekwamisha juhudi zake za kuujenga uchumi wetu na mageuzi yake ya uchumi kwa hakika huyo atamkera sana.
Kwa hakika nipo sahihi kabisa naposema kuwa Rais Samia ni Jemedari hodari ,Ni Chuma cha Reli kwelikweli,Jasiri Muongoza Njia ,ni Mama wa shoka ,shujaa wa Afrika na Mwana mageuzi ya kiuchumi. Mungu atupe nini Zaidi ya zawadi hii ya kipekee kabisa ya kutupatia Rais SAMIA ? tunataka nini watanzania wenzangu? Kwanini tunataka tuje kuanza kujuta baadaye na kububujikwa machozi ya majuto ya kumlilia na kwenda kumpigia Magoti Rais Samia arejee tena madarakani?
Tutapata wapi Mwingine aina ya Rais SAMIA?mama mchapa kazi, mama mwenye huruma,upendo,ukarimu, unyenyekevu na mama mwenye kuwajali Watanzania? Kwanini tunataka kumkatisha tamaa mama huyu MZALENDO wakweli na dhati kwa Taifa letu? Kwanini tunataka kuchezea bahati hii tuliyonayo?Hamuoni hata DUNIA itatushangaa na kutuona hatujitambui? Embu tuendelee kumuunga mkono Rais wetu na kuhakikisha kuwa Tunampeleka na kumrejesha Ikulu kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima hapo Mwakani.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tunajivunia maendeleo makubwa yaliyoletwa na Rais wetu mpendwa.Aisee, hivi mna kipi bora cha kujivunia na huyo?
Njaa mbaya sana.
Nani amelipeleka Dampo? Sasa jambo kama hilo dogo unaanzia wapi kumtupia lawama Mheshimiwa Raisi?Kama anawajali watanzania mbona soko la Buhongwa likapelekwa dampo ambako hakuna wateja ?
Kwahyo ukiteuliwa utakataa?Mimi sitafuti uteuzi bali nampigania Rais Wangu Mama Samia Suluhu Hasssan kwa moyo wangu wote.
Naendelea kupewa faraja na kutiwa nguvu na ephen wangu muda wote.
So nani nimtupie?Nani amelipeleka Dampo? Sasa jambo kama hilo dogo unaanzia wapi kumtupia lawama Mheshimiwa Raisi?
Kwani huko uliko hakuna viongozi?So nani nimtupie?
Kwani hao viongozi wako chini ya nani ?Kwani huko uliko hakuna viongozi?
Nitakubali haraka sana na kwenda kuapishwa nikisindikizwa na ephen huku tukibubujikwa na Machozi ya furaha na kusaidiana kufutana Machozi.Kwahyo ukiteuliwa utakataa?
Hilo soko lenu lipo chini ya nani? Nani aliyewahamisha eneo mlilokuwepo awali? Nachoelewa ni kuwa masoko mengi sana yapo chini ya halmashauri.Kwani hao viongozi wako chini ya nani ?
Atapiga mwingi kama ataacha safari za mara kwa mara na fedha hizo zipelekwe kwenye miradi na kama miradi ikikamilika kama ipasavyo kwa muda stahikikumbe mama karudi
nlikua sina habari
anaupiga mwingi
Poa imeisha hio kosa langu kutofanya utafiti husika ila bado nitakuwa pale pale tu maana rais alipo kuja mwanza si alitakiwa ajibu kero kama hiiHilo soko lenu lipo chini ya nani? Nani aliyewahamisha eneo mlilokuwepo awali? Nachoelewa ni kuwa masoko mengi sana yapo chini ya halmashauri.
😂 sasa mbona unasema sio kwa nia ya teuzi?Nitakubali haraka sana na kwenda kuapishwa nikisindikizwa na ephen huku tukibubujikwa na Machozi ya furaha na kusaidiana kufutana Machozi.
Wapinzani kamwe hamuwezi kumpotezea Muda Rais wetu kujibu vihabari vyenu vya kizushi na uongo.Tayari keshawajibu hapo. Na ujumbe wao umemfikia
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais ,yaani wewe ni mgeni humu jukwaani halafu umekuja na ulimbukeni na ujinga wako humu.chief hengaya, mama abdul, bi tozo a.k.a chura, ni shida!
Wapinzani kamwe hamuwezi kumpotezea Muda Rais wetu kujibu vihabari vyenu vya kizushi na uongo.
Kila siku anabadilisha makatibu wa itikadi na uenezi!!Angesema kwanza kama ana uwezo wa kujibu