Rais Samia: Wananitukana wakitaka niwajibu, sasa siwajibu..
200.gif

Atajibu tu yakichemka.
 
Tatizo hawezi kujibu ukweli amelemewa 🤣🤣🤣🤣
 
Sasa wewe uliyesema niache ujinga wangu hili ndilo tusi Ndugu yangu.Lakini nakuomba Kaka usiwe mpofu wa fikra kwa kufungwa upande mmoja tu.Kwaupande wako Saikolojia yako inafaa ufanyiwe ushauri nasaha,umeishavurugwa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo imekuwa siku ya moto sana na ngumu sana kwa wanasiasa uchwara wa Nchi hii. Leo Rais wetu mpendwa ameshusha NONDO za hatari sana zilizowakosha watanzania na kuibua shangwe kwa watanzania mbalimbali waliokuwa wakifuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka ikulu.

Ambapo Rais Samia amesema ya kuwa amekuwa akitukanwa sana na watu ambao wanataka awajibu lakini amekataa kuwajibu.na badala yake kuendelea kuchapa kazi kwa kasi katika kujenga uchumi wetu.amesema wapo wengine mara wasema mama huyu hafai mara ooo kafanya hivi kafanya vile .lakini anasema yeye hasikilizi Makelele na badala yake anaangalia kazi iliyo mbele yake ya kuujenga uchumi ambao unaendelea kuimarika na kufanya vyema kila iitwayo leo.

Amesema ila yule atakayekwamisha juhudi zake za kuujenga uchumi wetu na mageuzi yake ya uchumi kwa hakika huyo atamkera sana.

Kwa hakika nipo sahihi kabisa naposema kuwa Rais Samia ni Jemedari hodari ,Ni Chuma cha Reli kwelikweli,Jasiri Muongoza Njia ,ni Mama wa shoka ,shujaa wa Afrika na Mwana mageuzi ya kiuchumi. Mungu atupe nini Zaidi ya zawadi hii ya kipekee kabisa ya kutupatia Rais SAMIA ? tunataka nini watanzania wenzangu? Kwanini tunataka tuje kuanza kujuta baadaye na kububujikwa machozi ya majuto ya kumlilia na kwenda kumpigia Magoti Rais Samia arejee tena madarakani?

Tutapata wapi Mwingine aina ya Rais SAMIA?mama mchapa kazi, mama mwenye huruma,upendo,ukarimu, unyenyekevu na mama mwenye kuwajali Watanzania? Kwanini tunataka kumkatisha tamaa mama huyu MZALENDO wakweli na dhati kwa Taifa letu? Kwanini tunataka kuchezea bahati hii tuliyonayo?Hamuoni hata DUNIA itatushangaa na kutuona hatujitambui? Embu tuendelee kumuunga mkono Rais wetu na kuhakikisha kuwa Tunampeleka na kumrejesha Ikulu kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima hapo Mwakani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Ameandika nn ? Cjasoma
 
Matusi na uongo ndio unaita UKWELI? Kweli wewe unamatatizo makubwa sana.
uwongo ni kile msichokitaka uzuri majibu yapo mtaani mmeshidwa vibaya mno aibu aibu imewafunika mmeanza tumia nguvu na ubabe...tamaa imewaingia nawaambia dhambi ipo upande wenu mauti yapo karibu...
 
Anatukanwa au anaambiwa ukweli, Tatizo la CCM huwa wanapendwa kusifiwa tu kama wewe Unavyosifia hapa. Alafu nasikia kuna ajira nyingine daily unalipwa 50k kuwapamba Watawala.
Akutukanwa sheria ichukue mkondo wake otherwise anaambiwa ukweli ndo maana sheria haiwakuti wenye hatia
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo imekuwa siku ya moto sana na ngumu sana kwa wanasiasa uchwara wa Nchi hii. Leo Rais wetu mpendwa ameshusha NONDO za hatari sana zilizowakosha watanzania na kuibua shangwe kwa watanzania mbalimbali waliokuwa wakifuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka ikulu.

Ambapo Rais Samia amesema ya kuwa amekuwa akitukanwa sana na watu ambao wanataka awajibu lakini amekataa kuwajibu.na badala yake kuendelea kuchapa kazi kwa kasi katika kujenga uchumi wetu.amesema wapo wengine mara wasema mama huyu hafai mara ooo kafanya hivi kafanya vile .lakini anasema yeye hasikilizi Makelele na badala yake anaangalia kazi iliyo mbele yake ya kuujenga uchumi ambao unaendelea kuimarika na kufanya vyema kila iitwayo leo.

Amesema ila yule atakayekwamisha juhudi zake za kuujenga uchumi wetu na mageuzi yake ya uchumi kwa hakika huyo atamkera sana.

Kwa hakika nipo sahihi kabisa naposema kuwa Rais Samia ni Jemedari hodari ,Ni Chuma cha Reli kwelikweli,Jasiri Muongoza Njia ,ni Mama wa shoka ,shujaa wa Afrika na Mwana mageuzi ya kiuchumi. Mungu atupe nini Zaidi ya zawadi hii ya kipekee kabisa ya kutupatia Rais SAMIA ? tunataka nini watanzania wenzangu? Kwanini tunataka tuje kuanza kujuta baadaye na kububujikwa machozi ya majuto ya kumlilia na kwenda kumpigia Magoti Rais Samia arejee tena madarakani?

Tutapata wapi Mwingine aina ya Rais SAMIA?mama mchapa kazi, mama mwenye huruma,upendo,ukarimu, unyenyekevu na mama mwenye kuwajali Watanzania? Kwanini tunataka kumkatisha tamaa mama huyu MZALENDO wakweli na dhati kwa Taifa letu? Kwanini tunataka kuchezea bahati hii tuliyonayo?Hamuoni hata DUNIA itatushangaa na kutuona hatujitambui? Embu tuendelee kumuunga mkono Rais wetu na kuhakikisha kuwa Tunampeleka na kumrejesha Ikulu kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima hapo Mwakani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Jambo muhimu na la maana zaidi ni kuongeza bidii zaidi mama, tunaokusaidia, wana ccm, wananchi na waTanzania wanakuelewa vizuri sana katika jitihada zako, wanakubaliana na mipango mikakati ya serikali yako sikivu na kwakweli wanafurahia matunda na matokeo ya mipango ya serikali yako.....

Mungu akubariki sana kiongozi wetu madhubuti na kipenzi cha waTanzabia Dr.Samia Suluhu Hassan :BASED: :BASED:
 
Je angeitwa chura kabla ajajiita mwenyewe ingekuwaje?
 
Jambo muhimu na la maana zaidi ni kuongeza bidii zaidi mama, tunaokusaidia, wana ccm, wananchi na waTanzania wanakuelewa vizuri sana katika jitihada zako, wanakubaliana na mipango mikakati ya serikali yako sikivu na kwakweli wanafurahia matunda na matokeo ya mipango ya serikali yako.....

Mungu akubariki sana kiongozi wetu madhubuti na kipenzi cha waTanzabia Dr.Samia Suluhu Hassan :BASED: :BASED:
CHADEMA wamepoteana baada ya kurushiwa makombora Mazito Mazito.kishindo chake tu kimewasamabratisha kabisa huku mitaani. Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo imekuwa siku ya moto sana na ngumu sana kwa wanasiasa uchwara wa Nchi hii. Leo Rais wetu mpendwa ameshusha NONDO za hatari sana zilizowakosha watanzania na kuibua shangwe kwa watanzania mbalimbali waliokuwa wakifuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka ikulu.

Ambapo Rais Samia amesema ya kuwa amekuwa akitukanwa sana na watu ambao wanataka awajibu lakini amekataa kuwajibu.na badala yake kuendelea kuchapa kazi kwa kasi katika kujenga uchumi wetu.amesema wapo wengine mara wasema mama huyu hafai mara ooo kafanya hivi kafanya vile .lakini anasema yeye hasikilizi Makelele na badala yake anaangalia kazi iliyo mbele yake ya kuujenga uchumi ambao unaendelea kuimarika na kufanya vyema kila iitwayo leo.

Amesema ila yule atakayekwamisha juhudi zake za kuujenga uchumi wetu na mageuzi yake ya uchumi kwa hakika huyo atamkera sana.

Kwa hakika nipo sahihi kabisa naposema kuwa Rais Samia ni Jemedari hodari ,Ni Chuma cha Reli kwelikweli,Jasiri Muongoza Njia ,ni Mama wa shoka ,shujaa wa Afrika na Mwana mageuzi ya kiuchumi. Mungu atupe nini Zaidi ya zawadi hii ya kipekee kabisa ya kutupatia Rais SAMIA ? tunataka nini watanzania wenzangu? Kwanini tunataka tuje kuanza kujuta baadaye na kububujikwa machozi ya majuto ya kumlilia na kwenda kumpigia Magoti Rais Samia arejee tena madarakani?

Tutapata wapi Mwingine aina ya Rais SAMIA?mama mchapa kazi, mama mwenye huruma,upendo,ukarimu, unyenyekevu na mama mwenye kuwajali Watanzania? Kwanini tunataka kumkatisha tamaa mama huyu MZALENDO wakweli na dhati kwa Taifa letu? Kwanini tunataka kuchezea bahati hii tuliyonayo?Hamuoni hata DUNIA itatushangaa na kutuona hatujitambui? Embu tuendelee kumuunga mkono Rais wetu na kuhakikisha kuwa Tunampeleka na kumrejesha Ikulu kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima hapo Mwakani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Machozi yawabubujika watanzania!
 
Wanaomtukana RAIS walaaniwe. Ila wanaosema ukweli Kwa mstakabali wa taifa wabarikiwe wataiponya nchi. Nia yetu ni kugawana keki ya taifa. Siyo wanaosema wanalamba asali (Jamani si tunalamba asali? Makamba voice). Mtu ale Kwa urefu wa kamba yake (Somebody voice) hapo no no no
 
Back
Top Bottom