Inamaana hata tiss haijui!? Basi mleta taarifa Kama ni taarifa za kweli apewe kitengo hapo eagle house!!Ntakuwa wa mwisho kuamini serikali haijui
Profile picture yako 🤣🤣🤣Ntakuwa wa mwisho kuamini serikali haijui
Mchina wa mboga mboga alikuwa anasingiziwa tuu..Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.
Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ni kutokana na Ukame uliosababisha kina cha Maji ya Mto Ruvu kupungua Kina chake.
Mheshimiwa Rais Samia kuna Mteule wako Mmoja huko Mkoa wa Pwani ana Shamba Kubwa halina Mfano na Mabwawa Sita ya Kufuga Samaki aina ya Sato na Sangara ambapo nae ameyachepusha Maji ya Mto Ruvu na kutusababishia sasa akina GENTAMYCINE tutoke na Ndoo zetu Tegeta hadi Mbagala Kuu kutafuta hii Precious Liquid ( Water ) ili tusinuke hovyo 'Vikwapa' na 'Vizalisha Binadamu' vyetu vya Kutukuka.
Wadadisi Sie hatudanganyiki hovyo.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume, adriz, Bila bila, Daudi Mchambuzi etc.
Sio kuhujumiwa sidhani kama akina JK wameanza Leo ufugaji wa samaki huko..Mama anahujumiwa sana
Anahujumiwa vipi wakati Yeye ndiye aliyeruhusu watu wale kwa urefu wa kamba zao?Mama anahujumiwa sana
Aweso ni bogus kabisaaaaAisee hili suala kubwa sana huu izi usipuuziwe ufaanyie kazi aweso njoo uku fuatilia huu ujumbe
Politics as usual
Kwahiyo Makala alitumwa akafunike funike mambo yaishe?
Ukiona GENTAMYCINE The Great nakuja na Taarifa au Angalizo kama hivi nakushauri au nakuomba niamini au niamini tena kwa 100%.Aisee hili suala kubwa sana huu izi usipuuziwe ufaanyie kazi aweso njoo uku fuatilia huu ujumbe
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!Kijana leta ushahidi hapa kwenye hizi tuhuma
Sasa mama samia atafanyaje wakati hao ni mentor wake??Ukiona GENTAMYCINE The Great nakuja na Taarifa au Angalizo kama hivi nakushauri au nakuomba niamini au niamini tena kwa 100%.
Na kwa Kukusaidia tu Mkuu usidhani kuwa hata huyu Waziri husika Uliyemtaja hapa hajui hili ila ukweli ni kwamba nae pia ameshakuwa "fixed ' na hana la Kufanya au Kuwafanya kwani Mmoja wa Wachepushaji hayo Maji ni Mtu fulani Mstaafu mwenye Ushawishi mkubwa wa Kimaamuzi kwa aliyemteua Yeye kuwa hapo na katika 'Docket' yake hiyo.
Kwa sababu yeye anarembua tu badala ya kula vichwa na kuwafungulia kesi za uhujumu uchumi...Mama anahujumiwa sana
Na hapa ndiyo maana GENTAMYCINE namkumbuka na nilimpenda sana Hayati Rais Dkt. Magufuli kwani aliheshimu mni Taarifa Nyeti za Wasaidizi wake na alikuwa hana Msalia Mtume kwa Wapumbavu na Wapuuzi wachache ambao wanaleta Usumbufu na Kero kwa 90% ya Watanzania.Haya anayajua na file alishapewa kitambo. The problem of making a firm decission concerning the issue is eating her inside. Mama punguza yale majibu yako ya mkato na kukatisha tamaa pale unapopewa maelezo na kushauriwa na wanakamati wako.
Huyo Mpuuzi ananichukulia Poa sana GENTAMYCINE hivyo nakushauri tu Mkuu wangu kuwa achana nae na asikupotezee muda.Kweli
Iamini na Niamini kwa 100% tafadhali.Kama ni kweli basi kuna watu hawana huruma kabisa na maisha ya mamillion ya wenzao kwa maslahi madogo sana