Rais Samia: Watu 13 wamefariki kwenye jengo lililoporomoka Kariakoo. Serikali kugharamia matibabu ya majeruhi na kuhakikisha waliofariki wanasitiriwa

Tumepoteza watanzania wengi.
Tunalia
Wafiwa hawafarijiki
Vilio vimeenea kila upande.
Tafarijiane wenyewe kwa wenyewe.
Mungu awafariji.
Poleni sana.
 
DO NOT TRUST THESE GOVERNMENT SOURCED INFORMATION
 
Je, hakuna hatua za kisheria na kinidhamu? Ni kina nani waliohusika na usimamizi na uthibitishaji wa kazi iliyokuwa ikiendelea?
Holela Holela itatucosti sana ! 😳
Tuache hii mambo ya Business as usual !
Mnaokabidhiwa kazi mufanye kazi kweli kweli !
Acheni hii mambo ya Holela Holela 😱🤦🏽‍♂
 
Hizo tume hazina maana wanakula pesa bureeee hakuna watafanya...
Wenye kajengo ni makada na wanaogopa kuharibu mzunguko pesa kkoo...
 
😳🙄😱 !
 
Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025, ni muhimu kufikiri kwa makini kuhusu uongozi wetu na jinsi unavyoshughulikia masuala ya msingi yanayoathiri maisha ya wananchi. Ni jambo la kushangaza na kukatisha tamaa kuona Rais wetu akielekea kwenye mikutano ya kimataifa, wakati nyumbani kuna maafa makubwa yanayohitaji uongozi wake wa karibu. Kutojishughulisha na masuala haya ni uthibitisho wa kutokujali hisia na mahitaji ya watu waliomchagua.

Kama ilivyo kawaida katika nchi nyingi, viongozi wanapokumbana na matatizo makubwa, kama vifo vya raia zaidi ya 13, inatarajiwa kuwa watachukua hatua za haraka na kuonyesha mshikamano na jamii. Lakini badala yake, tunaona Rais akifanya mipango ya safari ambazo hazina umuhimu wa dharura. Ni kweli kwamba wakati mwingine wanaweza kukabiliwa na majukumu mengine, lakini je, kweli kuna jambo lolote muhimu zaidi kuliko maisha ya watu? Hii ni dhahiri ya kutojua na kukosa uelewa wa hali halisi ya wananchi.

Kila kifo ni hadithi ya maisha, na kila mmoja wa waliokufa alikuwa na familia, marafiki, na jamii ambayo inakabiliwa na maumivu na huzuni. Hivyo, ni jukumu la Rais kuonyesha uongozi wa kweli, kutojificha nyuma ya kisingizio cha majukumu mengine. Kuwa muungwana hakumaanishi tu kusema maneno ya faraja; inahitaji vitendo vinavyothibitisha kwamba unajali na unaguswa na hali halisi ya raia.

Wakati tunaposema "huyu ni mtu wa watu," tunatarajia kuona mabadiliko katika matendo yake, na sio maneno matupu. Ni rahisi kwa viongozi kusema wanaweza kuja kwa wananchi wakati wa kampeni, lakini je, wanajali kweli? Tunaona kwamba wengi wao wanatumia lugha nzuri ili kupata kura, lakini wanaposhika madaraka, wanajitenga na matatizo ya wananchi. Tunashuhudia viongozi wakifanya ahadi ambazo hazitekelezwi, na hatimaye wanarudi kwa raia wakati wa kampeni nyingine, wakitumia maneno kama "mama atosha" kama kivuli cha ukweli wa hali halisi.

Ni muhimu pia kutambua kwamba Rais anapaswa kuwa na washauri wazuri, lakini ni wazi kwamba katika baadhi ya matukio, amekosa ushauri mzuri. Kuwa na washauri wazuri ni muhimu, lakini pia ni jukumu lake mwenyewe kutafakari na kuona ni nini kinachotokea katika jamii. Kufanyika kwa maafa, kama vile vifo vya watu 13, ni dalili tosha ya kwamba kuna haja ya maamuzi ya haraka na ya busara. Kutangaza maombolezo ya kitaifa si tu ni ishara ya kuheshimu waliokufa, bali pia ni njia ya kuonyesha kwamba serikali inajali na inatambua maumivu ya raia wake.

Kwa hivyo, tunahitaji kujiuliza: Je, Rais huyu anatoshea kuendelea kuwa kiongozi wetu? Je, tunahitaji mtu ambaye anaweza kujiweka mbali na matatizo ya raia? Tunahitaji kiongozi ambaye anaweza kuungana na wananchi, ambaye anajali na kuonyesha uongozi wa kweli katika nyakati za shida. Wakati wa uchaguzi wa 2025, ni muhimu kwa wapiga kura kufikiri kwa makini na kufanya maamuzi ambayo yataweza kubadilisha hali hii ya uongozi.

Kwa kumalizia, ni wazi kwamba ni wakati wa kutafakari maisha na vipaumbele vyetu kama taifa. Tunahitaji kiongozi ambaye atajali hisia za wananchi, ambaye atajitolea kwa watu na ambaye ataonyesha uongozi kwa vitendo, si maneno tu. Hii ni nafasi yetu ya kuamua mustakabali wa taifa letu, na ni muhimu kuhakikisha kwamba tunachagua viongozi wanaoleta mabadiliko ya kweli na endelevu.
 
Taarifa inasomwa ikitokea wapi wangu!!
Hili ni tatizo kubwa !
Vifaa vya uokozi, 🤣🤣🤣🤣🤣.
Hapa hakuna Rai..
hapo ni dar karibu na ikulu, je ikitokea huku Mwanza,Arusha,Mbeya, 😳
 

Attachments

  • 5880760-c61cb7caa9e2ca2ff375b1dbd0b70979.mp4
    5.7 MB
Tatizo una akili ndogo ya kuelewa ujumbe.

Najaribu kukwambia hao walioenda hapo wakati hawana Msaada ni sawa na wewe kudai Samia akatishe ziara ambako anaweza kufanya mambo mengi ya uwezo wake kama mtawala arudi Nchini kuja Kukaa na kuongea kama wewe na hao wa kwenye picha.

Mwisho usiwe mpumbavu,Samia akisafiri Urais wake haujasafiri pia,Bado anaendelea na jukumu lake la kuhimiza na kusaidia Uokoaji Kwa uwezeshajo.

Wewe badala ya kuokoa uko jf unaweza, pumbavu zako
 
Kwa Sasa tuwe na tahadhari kubwa tukienda kariakoo.Majengo mengi yanajengwa mapya kiholela pasipokuzingatia usalama na serikali haichukui hatua yeyote.Hivi vifo vilivyotokea havikustahili kabisa kama serikali ingekuwa inatimiza wajibu wake katika ujenzi.
 
Tukubaliane tu kwa pamoja hii nchi kwa sasa inajiendea tu yenyewe kama gari bovu lisilo na dereva
 
Hivi ile sera ya maafa ndio inaelekeza hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…