Rais Tshisekedi siku zake zinahesabika

🤔🤔🤔
 
Rwandan Genocide - Facts, Response & Trials - HISTORY Rwandan Genocide | HISTORY
Genocide ilianza baada ya ndege ya rais kudunguliwa,alidungua nani?..1994 palikua na watusi laki 8 rwanda,inadaiwa waliuawa watu zaidi ya 1m watusi wengi na wachache wahutu wenye msimamo wastani,kwa facts hapakutakiwa kuwa na watutsi Leo rwanda zaidi ya rpf
 
Hivi ww jamaa unajua ni gharama kiasi gani zina itajika kuendesha vita na nchi yenye eneo kubwa kama kongo?

Hata Tz hana uwezo wa kuhimili gharama za vita dhidi ya nchi kubwa kama kongo sembuse Rwanda?

Kiufupi Rwanda haina ubavu wa kuivamia Congo.
Kama ni eneo sidhani kuwa ni shida sana, Congo ni miaka sasa amejiimarisha nae kiulinzi, hasa mafunzo ya askar wake, naamini hivyo.

Bado congo ana damu ya kupendwa na jirani zake kama Tz, Kenya n.k hii inampa advantage kubwa ya kupewa msaada ktk mapigano yake.
 
kagame ashazeeka hana mbinu tena za kuitesa congo, watoto wake wale ni masharo tu wamekulia maisha ya kishua hawana mbinu za msituni kama za baba yao, so usitegemee tena rwanda kuibuka mshindi
 
Yaaani ukae chini kujadili na jambazi aliekuvamia? Huo ni uxng....
 
Rwanda hana huo ubavu wa kumchokoza DRC! bila nguvu za wazungu matajiri! ......kinacho fanyika hapo Paul Kagame anachochewana kutumiwa km mke Malaya tu,

yaani anapewa pesa na siraha kutoka kwa Matajiri na Mabeberu wa Dunia. mfano; La Medis, Standard charter oil! Merovengian Families! nk.... ili asumbue, na kuleta shida kule DRC!

wkt hayo ya vita yakiendelea wao hao Matajiri wa Dunia wana chota Malighafi za DRC Usiku na Mchana, bila kupiga bismilah wala kunawa, wanatumia midege mikubwa, mikubwa mikubwa inatua Goma,

kila iitwapo leo na kushusha siraha wkt huo huo ina kubeba malighafi za bure za DRC!! chini ya ulinzi wa kagame na Museveni!....Viongozi wooote Africa wanajua hilo!...ila ni waoga.

hakuna mwenye ubavu wakulikemea hilo jambo! km yupo ajaribu aone moto!

Hao hao! wabeba madini ndo walimweka Kagame Madarakani, kwa kutumia hela zao ili baadaye Kagame arudishe fadhira za kutoa Mwanya wao MABEBERU wakaibe Madini DRC!

wooote mnajua kagame hakuwa na ubavu/pesa hata ya kugharamia sungusungu!! au uwezo wa kupata madaraka kirahisi hivo! ka nchi kenyewe kale??

Rwanda/ burundi hakuna Malighafi Mama! za kumtajirisha kagame ivo, zaidi ya ndizi chache na kahawa kiduchu!...Rais wa DRC ngoja nikufungue Macho mbaya wako yuko nje ya Africa ! mfuate huko!

Mpigie kelele huyo, huyu ndugu yako wa damu Kagame Msaliti ndugu yako muache asemwe tuuu na AU mpaka achakae kwa kusemwa!!.....Msaliti = Yuda wa DRC, ni paul Kagame na wasaliti hawanaga aibu!

huwa najiuliza sana hivi kagame sijui ataweka wapi mjisura ule??......mie nawashauri tu viongozi wana siasa hawa vibaraka mkiwaua mnawasaidia sanaaa!! waacheni waishi, wajutie ubaya wao! ni adhabu kubwa sana!

Lkn hao wazungu wana kawaida moja watamtumia weee!....aaaa lkn wakimaliza yao au kukuchokaaa heee!!.....utaomba Dunia ipasuke! mifano ya walio tumiwa Africa hii ya weusi

wooote humu mnaijua ni mingi ila kamata hii michache km vile
1.Savimbi, alisumbua sana Angola kwa miaka miingi huyu walimuua wao kwa kutumia MOSAD AL ABELT! mchana kweupee,

2.Mobutu- alimuua Patrick Lumumba kwa mateso sana tena katumiwa tu! Mawee huyu aibu bana kwanza alifukuzwa nyumbani kwa bwana kuba km mbwa tu, wkt akiumwa, alipunguziwa misaada maksudi, akazurumiwa hela waliyo mdanganya aitunzie huko kwao!

3.Samwel Doe!!! hakuna asiye jua alichofanywa huyu jamaa yaani Raisi aliuawa km kibaka kabisaaa,

4. Idd Amini! huyu hata ahkuwahi kufikiria kuwa atawakimbilia wamuelewe! alijikata kivyake
5.Bokasaank!....sisemi sana makanisema mmbeya nia chuki!
 
Kagame ni tatizo ukanda huu wa EA
Siku akifa, Kagame mtaoana amani itakavo kuwa nzuri ! na watakao muua ni hao hao wanao mpa siraha NA PESA ILI WAVUNE KIFO NI ILI kagame ili asije akatoa siri zao!

Na kagame kwa mfano akiwakatalia kuwapa mwanya wa kwenda DRC, wata muua kwa mapinduzi bandia na kumuweka yule wanaye muona anafaaa!

wajeda wa Rwanda walioko DRC wengi walikataa huo ujinga na kujiunga na jeshi la Drc dhidi ya kagame!...So kagame akawawinda mmoja baada ya mwingine akawaua wooote kwa msaada wa MOSAD! CIA!

So LONG AS DRC kuna madini muziki wake ni mkubwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…