Nilivyoona Zimbabwe, Chad na Sudan zipo ndan ya list afu Tanzania haimo basi nimeona hii list imetengenezwa na wa congo wenyewe πππWa tanzania mbona muna tuzarau sana sisi wa Congo kwanini ? Tuna uwezo kumizidi ata nyinyi wa Tz ki jeshi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2407994View attachment 2407995
Halafu huyo Mzairwaa anasema Jeshi la Kongo linaiwezo kuliko Jeshi letu la JWTZ ππππNilivyoona Zimbabwe, Chad na Sudan zipo ndan ya list afu Tanzania haimo basi nimeona hii list imetengenezwa na wa congo wenyewe πππ
Wahutu walikua wangapi?Including moderate Hutus.
Takwimu zinasema Tutsis and moderate Hutus.Wahutu walikua wangapi?
Waliouawa wengi ni wahutu,wanguawa watusi laki nane basi Leo hii pasingekua na mtusi rwandaTakwimu zinasema Tutsis and moderate Hutus.
Wewe unaandika ugolo hapa,unajua vita vyq ndani vilivyo vigumu?,Boko haram wako wapi?,si wako Nigeria,Jeshi la Nigeria lilishawahi wanaliza Boko haram?,so unataka kusema Jeshi la Nigeria ni dhaifu?Wakuu inakuaje? sasa twende kazi.
Siku mbili tatu hizi kumekuwa na hali ya sintofahamu kati ya serikali ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo na ile ya Rwanda, kila mmoja akimtupia lawama mwenzake na kutishia kuvunjilia mbali uhusiano wao wa kidiplomasia nk.
Kwa upande wa Congo ndio wanaonekana kuwa wamechukia zaidi hadi kupelekea serikali yao kumfukuza nchini kwao balozi wa Rwanda, na pia kumwata balozi wao aliekuwa nchini Rwanda.
Kwa upande wa Rwanda yenyew haioneshi kupanic wala kuchukizwa kivile, inaonekana ime relax ikisubiria kuona kingine kitachojiri kutoka katika serikali ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.
Sasa basi... Rwanda ina uwezo wa kuichakaza na kuisambaratisha Congo kijeshi kwa njia zote, iwe kwa angani, majini au ardhini tena kwa muda mfupi sana.
Congo inaweza kuishinda Rwanda kwa maneno tu, maana wakongomani ni waimba miziki na wachezaji wakubwa, ila linapokuja swala la mapambano ya kijeshi na weupe sana wanashindwa hata na Burundi.
Kwanza toka Congo ilipopata uhuru jeshi lake halikuwahi kushinda vita yoyote ile. Wakati wa Mobutu jeshi la Congo lilichakazwa vibaya na waasi waliokuwa wanaongozwa na hayati Desire Kabila (father) na baadae jeshi hilo limeendelea kuchakazwa na makundi mbali mbali ya waasi wengi wao ni kutoka nchi jirani.
Sasa jiulize ikiwa nchi yenye raia zaidi ya milioni 1 inachakazwa na waasi wasiozidi elfu 5, huku waasi hao wakiwa na silaha za kuunga unga na mazoezi ya msituni yasiokuwa rasmi. Je watakapoingia kwenye vita na nchi yenyewe si ndo yatakuja kutokea yale ya Mobutu na Idi Amini!!
Hivi kweli Tshisekedi anaamini kuwa nchi yake inaweza kuipiga Rwanda au ndo kifo kinamwita, au wazee wa kazi (Kabila's team) wanamshauri ujinga ili akipigwa akikimbia Kabila arudi kuongoza Congo?
Maana katika hali ya kawaida haiwezekani nchi inayoshindwa vita na waasi elfu 3, ijidanganye kuwa inaweza kupambana na nchi yenye wanajeshi zaidi ya laki, wenye ueledi mkubwa wa kivita, silaha za kisasa na wanajeshi wa kutosha.
Katika EAC nzima, nchi ambazo Rwanda inaweza kuhofia kwa namna fulani kupambana nazo ni Tanzania na Kenya tu ambazo majeshi yao yameshafanya mambo makubwa ndani na nje ya mipaka yao Tanzania ikiwa inaongoza kwa kufanikiwa oparation mbali mbali katika nchi za Msumbiji, Zimbabwe, Angola, Namibia, Comoros nk. Ila hizo zingine Rwanda inaziona kama vile ni nchi zinazolindwa na makundi ya sungu sungu tu na sio wanajeshi kamili.
So chonde chonde Tshisekedi watu bado wanakuhitaji uendelee kuwa raisi wao. Usije kuingia kwenye mtego ambao utashindwa kujinasua. Kagame alimhofia Kikwete tu mjeshi mwenzake na anajua watu wa kicheka cheka kama JK maamuzi yao yanakuwaga na athari kubwa kwa wengine. Lakini nyinyi wengine anawaona vikaragosi wake.
Tena kwa Congo ndo kabisa hawezi kutuma jeshi lake kupoteza muda wao. Sana sana ataajiri vijana kutoka katika makampuni mbali mbali ya ulinzi waje kumaliza kazi.
Pichani juu ni jeshi la Rwanda na picha ya chini ni jeshi la Congo.
Siku njema kwa wasomaji na wachangiaji wote. Asanteni.
Kwahiyo unataka kusema Serikali ya Kihutu imewaua Wahutu ili kuwamaliza Wahutu kwenye Mauaji ya Kimbari ya Wahutu?π€ͺWaliouawa wengi ni wahutu
Rpf walidungua ndege ya rais,means walikuwepo Kigali,baada ya hapo kilichofuata baada ya hapo ni vurugu,na wenye silaha hawakuwa raia wahutu Bali waasi watusi,namba zinaongea ukweliKwahiyo unataka kusema Serikali ya Kihutu imewaua Wahutu ili kuwamaliza Wahutu kwenye Mauaji ya Kimbari ya Wahutu?π€ͺ
Mnaandaa magaidi au siyoHapa Ikwiriri sisi tupo bize na MADRASA,mambo ya Congo hatunaga habari nazo
Wende uka Google alafu ulete liste apa tuoneNilivyoona Zimbabwe, Chad na Sudan zipo ndan ya list afu Tanzania haimo basi nimeona hii list imetengenezwa na wa congo wenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba source yakoRpf walidungua ndege ya rais,means walikuwepo Kigali,baada ya hapo kilichofuata baada ya hapo ni vurugu,na wenye silaha hawakuwa raia wahutu Bali waasi watusi,namba zinaongea ukweli
Afu eti jeshi lenye uwezo (Congo) likitaka kupigana na M23 linakuja kwanza kuomba msaada wa kijeshi kwa jeshi lisilokuwa na uwezo M23.Halafu huyo Mzairwaa anasema Jeshi la Kongo linaiwezo kuliko Jeshi letu la JWTZ ππππ
Sasa hao hao M23 wanaosababisha vita ya ndani iwe ngumu, ndio watakaotumiwa kuwaangamiza wacheza chamukware mama pesa mbongo.Wewe unaandika ugolo hapa,unajua vita vyq ndani vilivyo vigumu?,Boko haram wako wapi?,si wako Nigeria,Jeshi la Nigeria lilishawahi wanaliza Boko haram?,so unataka kusema Jeshi la Nigeria ni dhaifu?
Hapa umeongea ukweli. Ushindi wowote wa Congo kwenye vita utatokana na msaada wa jeshi la Tanzania. Ila wakienda wenyew kina papa lubunga na style yao ya bolingo, wallah watachanwa chanwa vibaya sana mpaka dunia ishangae.DEMOKRASIA KONGO TEGEMEZI LAKE KUBWA NI TZA..
Majeshi ya Kenya na Uganda hayawezi kuvuka mpaka wa Rwanda kwa sababu hayakwenda kule kupigana na nchi ya Rwanda. Bali kuyakimbiza makundi ya waasi yaliopo Congo.Waende tu, na pia M23 wakikimbilia Rwanda inabidi Majeshi ya Kenya na Uganda yawafuate huko huko kwa baba yao anaewatuma..., vinginevyo ni kusukuma ukuta hewa
Tena napenda Jeshi letu lisitangazwe tangazwe kwenye Internate ili Maadui watuUnderastimate ili tuweze kutoa dozi kwa ufasaha.Afu eti jeshi lenye uwezo (Congo) likitaka kupigana na M23 linakuja kwanza kuomba msaada wa kijeshi kwa jeshi lisilokuwa na uwezo M23.
Vijana wa dalii kimoko wanachekesha sana ππππ
Watanzania tunaamini msemo usemao 'mtegemea cha ndugu hufa masikini'.Na Tz tegemeo letu kubwa ni SA, hapo sasa
Tatizo la ndugu zetu wakongo ukiwaambia ukweli wanaona unawatukana.Mlimpa ulinzi na kuwa royal kwa yule dictator na mwizi aliyewaibia, kuwatia umaskini na kuwaua kwa miaka zaidi ya 30, hata kama hampendi Kagame lakini mumshukuru maana ndio aliwaondolea yule dictator, na akili zenu zilivyo fupi badala ya kujenga nchi yenu mkaenda kujiunga na wale wapumbavu wa FDLR na kuanza kuua banyamulenge ambao ni wacongo wenzenu, jengeni nchi yenu na kaeni chini na M23 na factions zote muelewane, kusingizia Kagame matatizo yenu kila siku haiwasaidii na mnajua kabisa Rwanda interest yao ni wale wauaji waliokimbilia Congo mnaowapa hifadhi, ndege za wazungu zinabeba mamilioni ya madini kila siku kutoka Congo lakini wanasiasa wenu wamewadanganya kuimba Kagame na nyie mnakubali, amkeni wapuuzi nyie