Ukabila na siasa za kimaeneo ndio jambo zuri kwa muskabali wa ustawi wa wakenya?Kenya katika swala la Ukabila na siasa za kimaeneo, lakini vila kupepesa macho, ndio nchi katika ukandaa wetu yenye demokrasia halisi ya uhuru wa mawazo ya watu, uhuru wa vyombo vya habari na uhuru mpana katika vyombo vyao vya kutoa haki yani MAHAKAMA!
Ukabila na siasa za kimaeneo ndio jambo zuri kwa muskabali wa ustawi wa wakenya?
Huijui Kenya, baki kusifia kitu ambacho ukijui ila jaribu kufanya utafiti juu ya mambo ya Kenya,Tanzania itabaki kuwa bora katika nchi za Afrika mashariki na kwa afrika kiujumla.ijifanya
Kujifanya unajua usiyemjua ni ujinga!Ukabila na siasa za kimaeneo ndio jambo zuri kwa muskabali wa ustawi wa wakenya?
Huijui Kenya, baki kusifia kitu ambacho ukijui ila jaribu kufanya utafiti juu ya mambo ya Kenya,Tanzania itabaki kuwa bora katika nchi za Afrika mashariki na kwa afrika kiujumla.
Dear,Kenyata huyu huyu alimuua Msando😭😭😭😭😭 huyu bwege ni laana tu
Kenya huwa hawavukagi chochote ndiyo maana walipojaribu kuivuka korona, sasa imewarudia tena kwa "car-sea."Walishavuka huko na ndio maana wakiona watu wanataka kwenda huko wanawapa tahadhari!
Siasa sio uadui mpaka kuwindana kama swala amavyowindwa na simba!
Huyo naye tunajua ni mshabiki wa Chadema hivyo ni sawa kuwapokea wenzakeYaani Kenyatta aliposikia matokeo ya Tanzania nadhani alikuwa anacheka mpaka anachanganyikiwa, haamini kuwa bado kuna nchi zinaweza kuendesha chaguzi zao ili kukidhi utashi wa kiongozi aliyeko madarakani. Amejiridhisha pasi na shaka kuwa bado watanzania wengi ni maiti, ila hao wachache waliokimbia mortuary atawapokea.
'Huku akipigiwa makofi na wabunge Rais Kenyatta amesema watapokea watu watakaokimbilia Kenya ili waweze kuishi kwa amani.'
'Amesisitiza kuwa wanasiasa wazee wasiwachokoze wanasiasa vijana badala yake wawalee kwa upendo.'
Soon utasikia mkuu wa PORTLAND akisema ndege za KQ ni marufuku hapa na Mahindi hakuna kuwauzia.
'Yaani Mtu unampa ndege tausi lkn bado haridhiki tu,nasema uongo ndg zangu?
Ukabila na siasa za kimaeneo ndio jambo zuri kwa muskabali wa ustawi wa wakenya?
Huijui Kenya, baki kusifia kitu ambacho ukijui ila jaribu kufanya utafiti juu ya mambo ya Kenya,Tanzania itabaki kuwa bora katika nchi za Afrika mashariki na kwa afrika kiujumla.
Hiyo ni background of pre analysis, mimi nataka either analysis or pre analysis na lazima nifanye majumuisho yafike Ufipa.
Tatizo watanzania wengi wamekosa uzalendo wa nchi yetu. Naagalia watu wengi humu mnakoment kwa mhemko. Alafu mbaya zaidi vijana wengi humu hajawahi vuka Tanzania japo mkae nje ya tanzania angalau mwaka mmoja. Kifupi tanzania ni nchi yetu sote lazima tuilinde na kuitetea.
Cdm ndio waliompa ndege tausi?Huyo naye tunajua ni mshabiki wa Chadema hivyo ni sawa kuwapokea wenzake
Sio watanzania!Kenya mmekomaa kisiasa. Sisi pia inabidi tuingie mtaani ndo viongozi watapata akili. Ila siku itafika tu ambayo wananchi wengi watasema sasa yatosha kuvumilia. Wenyewe wataingia mtaani.
Tafadhali lugha, mimi sio mjinga mjinga, elewa hilo. Hakuna ninacho kitafuta mbali ya furaha, nina viwanda, finacial institutions,lead consultant, adviser and consultant of Betton wood institution ( World Bank, African development Group, European Development bank Group ) na ni muajiri wa wasomi zaidi ya 500. Ni Chairman wa Board kubwa zaidi ya tafu na mmoja ni ya Africa Nzima.Ww unakula ili uishi, na hicho kichwa chako ni frame ya kubebea hayo meno. Tathmini unafanya kuanzia leo kwenda mbele na sio jana, leo na kwenda kesho? Tuchukulie hayo maboresho ndani ya chama yanafanyika kama utakavyo, kisha unaingia kwenye uchaguzi huku refarii na washika vibendera, wanatii amri na maagizo ya mmiliki wa timu unayoshindana nayo.
Kwa ujumla huna ujualo zaidi ya kuweza kuandika hapa jukwaani na kutenga paragraph. Unajiandaa kushindana vipi na mwenzako kisiasa, wakati yeye asilimia 70 ya ushindi wake ni nyenzo za nje ya kisiasa? Ingekuwa ushindi uko based kisiasa hapo ungesema unaangalia mbinu. Ule upuuzi wa juzi unaweza kutokea mbele ya wanaume na kusema kuna cha kujadili?