Hiyo ni kweli kama ushindani huo ungefanyika kisiasa na sio kutumia vyombo vya dola. Ni sawa na Tyson ajisifie kuwa ni bonge la bondia kwa kumn'gata Evander Hollyfield! Na unathubutu kabisa kujisifia mbele ya wanaume kuwa umeshinda, halafu huwa unajiita msomi! Huwa sishangai Wazungu wakituita manyani, maana hakuna tofauti kati ya msomi na ambaye hajasoma.
Wachangiaji Utopolo kama we were wakati huu hatakiwi. Sasa hivi tunazungumzia tukio ambalo lipo mbele yetu na lazima tukabiliane nalo. Suala la kuonewa halina maana tena, kama kuonewa tumekwisha kuonewa.
Kutoka hapa kwenda mbele kunatakiwa vichwa vya kweli tupate njia sahihi ya nini cha kufanya sawia.
Unalalamika ili iweje ? na kutendwa umekwisha tendwa. Kama chama hakuna tena Chadema katika political elective posts, Uongozi hafifu sana, party strength kwa electorate kipo chini pia.
USIPOTEZE MUDA KUFIKIRIA YAJAYO, KWANZA SASA HIVI UNAFANYA NINI NDIO KESHO INAKUJA.
1) JE, NI AJALI? JEE AJALI ILIPANGWA?
2) TULIJITAYARISHA VIPI NA HII AJALI?
3) TUNA UWEZO WA KUHIMILI AJALI NYINGINE IKITOKEA MUDA MFUPI UJAO?
4) CHAMA KINA RESOURCES ZA KUFANYA MABADILIKO AU MAREKEBISHO YA GHAFLA YA SERA ?
5) WANACHAMA WANAMCHANGO GANI LEO KAMA KUTAKUWA NA MAAMUZI MAZITO?
6) JE, tumefanya uchambuzi wa uchaguzi uliopita na reviews zote
7) JE, tume study consequential benefit au loss ya election hii 2020.