Rais umewasikiliza wanaotaka katiba mpya! Je, sisi tusiotaka katiba mpya utatusikiliza lini? Tuna hoja!

Rais umewasikiliza wanaotaka katiba mpya! Je, sisi tusiotaka katiba mpya utatusikiliza lini? Tuna hoja!

Katiba mpya ni madai ya CDM vyama vingine wanafuata mkumbo ili siku mtu akitaka kwenda CDM apokelewa sababu katiba iliyopo haina ubaya kama unaosemwa kikubwa vyama pinzani wanaona kupata nafasi zingine ubunge ushakuwa kazi sana kutokana na kuwa na ushawishi mdogo kwa wananchi fikiria kama Mwenyekiti wa CDM amekosa jimbo sasa wanachofanya ni kutanua wigo wa kupata nafasi zingine kama u DC u kuu wa mkoa, ukurugenzi na nafasi ya katibu tawala pia wanataka nafasi ya u waziri kwamba Mh. Asiteue hao watu wapigiwe kura sasa wananchi tutakuwa tunafanya shughuli gani kila siku ni uchaguzi. Madai ya katiba mpya ni tamaa za madaraka za wapinzani wanaona CCM kama wanafaidi kumbe hata wakipigiwa kura kwenye hizo nafasi bado watakosa tu mfano mdogo tu kama udiwani ndani ya kata tu mnashindwa kushawishi wananchi ndio mtaweza wilaya au mkoa mnacheza nyie. Wananchi hawana shida na katiba iliyopo kama marekebisho ni madogo madogo sana tusisemee watu maneno ambayo hawajasema kama mnataka ukuu wa mkoa na wilaya nendeni mkaombe sio kushinikiza Serikali iliyopo madarakani mambo yenu binafsi.
Mjinga mwingine huyu hapa. Mabadiliko madogo sawa ila kubadili kabisa ni tatizo? Wapi pameandikwa lazima Katiba mpya itamke kuwa Wakuu wa Wilaya, Mikoa wawepo achilia huo hayo mawazo yako ya kipumbavu kuwa watapigiwa kura? Kuna muda tumieni akili zenu sio matope.
 
Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya .. wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii .. nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii ... Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini ? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya !! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini ? Hatutaki kabisa katiba mpya !! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake! Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu !! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu ..asanteni
..

Idadi yenu vs wanaotaka katiba mpya ikoje
 
Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya .. wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii .. nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii ... Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini ? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya !! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini ? Hatutaki kabisa katiba mpya !! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake! Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu !! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu ..asanteni
..
Mi niko na wewe. Sijaona shida ya katiba iliyopo zaidi ya shida ya wananchi wenyewe. Ni kupitia Katiba hii mimi wa Nakapanya naweza kwenda Ngara na kuoa, na kupewa Shamba bure na kulima na kufanya maisha na mtoto wangu akaamua kwenda kuishi chakechake peacefully. Nadhani kama nchi tatizo letu sio katiba bali malezi kuanzia ngazi ya familia, unless niambiwe katiba mpya itasaidiaje kuwafanya wahadzabe wasiishi naporini.
 
Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya .. wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii .. nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii ... Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini ? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya !! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini ? Hatutaki kabisa katiba mpya !! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake! Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu !! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu ..asanteni
..
Watu wa hovyo hawataisha katika nchi hii! Mtoa mada mwenyewe ni zao la hii katiba mbovu si ajabu yuko hivi! Kinachotokea Kenya ni uhuru wa kidemokrasia! Huku kwetu kila kitu ni kwa ridhaa ya Rais hata kufanya mikutano ya hadhara mpaka rais aamue!
 
Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya .. wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii .. nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii ... Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini ? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya !! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini ? Hatutaki kabisa katiba mpya !! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake! Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu !! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu ..asanteni
..
Hoja Yako ni nzuri

Naona unakhofia katiba mpya ikija utaukosa huo ideas,uDC au uRC
 
Watu wa hovyo hawataisha katika nchi hii! Mtoa mada mwenyewe ni zao la hii katiba mbovu si ajabu yuko hivi! Kinachotokea Kenya ni uhuru wa kidemokrasia! Huku kwetu kila kitu ni kwa ridhaa ya Rais hata kufanya mikutano ya hadhara mpaka rais aamue!
Afadhali umeliona hilo. Majitu yote ni mavi! katiba ndiyo inayompa Samia Umungu mtu, linasahau kuwa akiamua leo kuwa kesho ufe, linakufa. Kenye siyo kirahisi hivyo! Utashitakiwa. Majitu ya hovyo kabisa. Liko hapa na fake ID kwa vile linaogopa Umungu mtu wa Samia, vinginevyo unabwatuka hoja zako bila matusi na jina lako halisi and you are safe. Tunataka katiba ya hivyo!
 
Duh...!. Mkuu Mganguzi , kwanza nikupongeze kwa bandiko hili na kuheshimu uhuru wa maoni na uhuru wa kijieleza, yaani freedom of expression and freedom of speech.

Dunia ilipoumbwa, hakuna aliyejua dunia ni duara, watu wote kwa kutokujua kwao wakajua umbo la dunia ni umbo bapa.

Galileo Galilee alipogundua telescope na kuliona umbo la dunia kupitia kivuli cha kwenye mwezi, alipotangaza kuwa dunia ni duara, Galileo Galilee aliuwawa kwa kosa la kumkufuru Mungu kwa kitendo chake cha kusema dunia ni duara!.

Ukiwa hujaonja embe dodo ukiambiwa tunda tamu kuliko yote ni pera utaamini mpaka utakapoonja embe dodo ndio utagundua kumbe tunda tamu ni embe dodo.

Ukionja zabibu unagundua ni zabibu, ukionja nanasi unagundua ni nanasi, ukionja tende unagundua ni tende, ukionja asali ndipo utagundua asali ndio funga kazi ya utamu!.

Wewe ni mmoja wa Watanzania wasiojua katiba wala Umuhimu wa katiba mpya, hivyo wameridhika sana na hii katiba pera iliyopo, bila kuonjeshwa katiba embe, katiba nanasi, katiba tende na katiba asali, kamwe hauwezi kujua Umuhimu wa katiba mpya.

Hili la Watanzania kutujua katiba, hata Rais Samia amelisema

Hivyo watu kama akina sisi tuliobahatika kajiuwezo ka kusoma sheria na kuijua katiba, tumejitolea kuwaelimisha wengine Umuhimu wa katiba mpya kwanza kwa kuwaelimisha Watanzania wenzetu elimu ya katiba ili waifahamu katiba.

Angalia bandiko hili elimishi kuhusu kuijua katiba ni la lini na limechangiwa na watu wangapi ili kupata picha ya Watanzania wanavyotaka kuijua katiba Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio ila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani?
Just imagine mtu unajitolea kuelimisha umma kuhusu katiba halafu responses ndio hii!, utaendelea kweli?.

Hivyo watu kama nyinyi mnapojitokeza kusema hamuhitaji katiba mpya, hatuwashangai bali tunawahurumia!.

Laiti ungelijua tungekuwa na katiba bora, Tanzania tungekuwa wapi, ndipo ungeweza kujua tofauti ya utamu wa pera na asali!.

Kama una muda karibu pande hizi
P

Umeandika vizuri
Ila Galileo hakuuwawa Bali alikufa Kwa ugonjwa
 

Attachments

  • Screenshot_20230326-085617.png
    Screenshot_20230326-085617.png
    41 KB · Views: 1
Sio lazima tuwe na fikra Moja mtu anae waza tofauti na wewe sio mpumbavu .. mpumbavu ni yule anaedhani ni yeye TU ndie mwenye maoni sawa
Bora uwe na fikra tofauti za maana kwa ajili ya kujenga sio kama hizi zako za kijinga.
 
Nafaidika na utulivu uliopo na sijaona nitakachopata kwa katiba nyingine
Unadhani utaishi milele?.Nchi itaendelea kuwepo ata baada ya wewe kufa.unawaza utulivu wa leo unasahau ya kesho ambapo utakua haupo na watakaokua wanateseka ni wajukuu zako.
 
Katiba Ina mambo mengi Sana, tuache ubishi. Wewe unawaza siasa, lakini Kuna uchumi, maadili, muundo wa serikali, ushirikiano wa kimataifa, haki za binadamu, mahakama, bunge, Kodi, ulinzi na usalama nk. Usiwaze negative kila saa.
Nchi za kiafrika ujinga ni urithi wetu.Ndo kama hivyo jitu zima bado halijui umuhimu wa katiba bora.linafikiria usawa wa pua inapoishia.
 
Katiba mpya ni madai ya CDM vyama vingine wanafuata mkumbo ili siku mtu akitaka kwenda CDM apokelewa sababu katiba iliyopo haina ubaya kama unaosemwa kikubwa vyama pinzani wanaona kupata nafasi zingine ubunge ushakuwa kazi sana kutokana na kuwa na ushawishi mdogo kwa wananchi fikiria kama Mwenyekiti wa CDM amekosa jimbo sasa wanachofanya ni kutanua wigo wa kupata nafasi zingine kama u DC u kuu wa mkoa, ukurugenzi na nafasi ya katibu tawala pia wanataka nafasi ya u waziri kwamba Mh. Asiteue hao watu wapigiwe kura sasa wananchi tutakuwa tunafanya shughuli gani kila siku ni uchaguzi. Madai ya katiba mpya ni tamaa za madaraka za wapinzani wanaona CCM kama wanafaidi kumbe hata wakipigiwa kura kwenye hizo nafasi bado watakosa tu mfano mdogo tu kama udiwani ndani ya kata tu mnashindwa kushawishi wananchi ndio mtaweza wilaya au mkoa mnacheza nyie. Wananchi hawana shida na katiba iliyopo kama marekebisho ni madogo madogo sana tusisemee watu maneno ambayo hawajasema kama mnataka ukuu wa mkoa na wilaya nendeni mkaombe sio kushinikiza Serikali iliyopo madarakani mambo yenu binafsi.
Usiwasemee wananchi hivi wewe huoni Kama muundo tu wa serikali ni mkubwa mno na pesa nyingi zinapotea bila sababu ya msingi Kila kitu ni kuanzisha mikoa
 
Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya .. wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii .. nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii ... Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini ? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya !! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini ? Hatutaki kabisa katiba mpya !! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake! Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu !! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu ..asanteni
..

Wazo lako ni sawa na wakulima wanataka kuwekewa mfumo wa Kunywesha mashamba yao wanakataa kwa kusema wasikilizwe kwani Mvua ya Mungu inatosha...
Ninachotaka kusema ni kuwa, rudi darasani au fanya utafiti kujua kwa nini watu wanataka katiba mpya; ukishapata hojazao; utanielewa ninachokisema!
 
Back
Top Bottom