Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Samahani niliandika kabla nahata hivyo nimeshabadilisha andiko langu.Ww utaole lwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani niliandika kabla nahata hivyo nimeshabadilisha andiko langu.Ww utaole lwa
Ushaanza bangeKiukweli Demokrasia ya Vyama Vingi ilijengwa na Mzee Mwinyi japo baadae waliomfatia waliichakachua
Hapa Iringa tulipata Mbunge wa NCCR mageuzi Mwalimu wangu Kibasa
Wewe utamkumbuka kwa lipi?
Mungu wa mbinguni mrehemu Mzee Mwinyi
Aliuza Loliondo kwa waarabu, tulilalamika hakusikiliza akaishia kuuliwa mwandishi aliyeshikia bango kuuzwa kwa Loliondo bwana Stan Katabalo.Kiongozi wa watu, anayejali na kuwasikiliza watu Rais Samia
Kuna vyanzo vungi ikiwemo Habr ktoka ikulu na rais Samia suluhu amelihtubia katika vyombo mbalimbali juu ya ktokea kifo hichochanzo cha habari?
You.Who is next
Alikuwa ashajizeekea hakutaka heka heka na vijanaNitamkumbuka kwa kusema Jiwe atawale milele
Innalilah wainnailah Rajiun.View attachment 2920481
Naomba unisamehe mkuu mimi niliandika kabla yakutagazwa kwa taarifa ya kifo.niliandika pale ilipotolewa taarifa kuwa Mh Rais ataongea usiku huu.hata hivyo baada ya taarifa nimerekebisha haraka sana andiko langu na kufuta hilo la awali.Hivi wewe.kichwani huwa una nini??
Acha upumbavu narudia tena acha upumbabu nasema tena acha upumbavu..
Taarifa ya Msiba na ulichoandika vinafanana?????
PUMBAAAAAVU SANA WWEEE KIJANA
WATU TUNA MACHUNGU YA MSIBA UNALETA UPUUUZI PUMBAAAAAAVU SANA
Sio mbaya sana, angekuwa mgalatia wangemzungusha wiki nzima na ushee.Anazikwa tar 2, ni serikali mkuu