Hivi wewe.kichwani huwa una nini??
Acha upumbavu narudia tena acha upumbabu nasema tena acha upumbavu..

Taarifa ya Msiba na ulichoandika vinafanana?????

PUMBAAAAAVU SANA WWEEE KIJANA
WATU TUNA MACHUNGU YA MSIBA UNALETA UPUUUZI PUMBAAAAAAVU SANA
Naomba unisamehe mkuu mimi niliandika kabla yakutagazwa kwa taarifa ya kifo.niliandika pale ilipotolewa taarifa kuwa Mh Rais ataongea usiku huu.hata hivyo baada ya taarifa nimerekebisha haraka sana andiko langu na kufuta hilo la awali.
 
Kitambo Sana,hope muafaka wapi azikwe ushamalizika.....R.I.P Mzee wa Ruksa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…