DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Sawa mkuu haina tatizo..Naomba unisamehe mkuu mimi niliandika kabla yakutagazwa kwa taarifa ya kifo.niliandika pale ilipotolewa taarifa kuwa Mh Rais ataongea usiku huu.hata hivyo baada ya taarifa nimerekebisha haraka sana andiko langu na kufuta hilo la awali.
Yaani huyo Director kesho.inabidi asiwe na kzi
Samahani na naomba unisamehe maana niliandika kabla ya kutangazwa kwa kifo cha mzee wetu na hata hivyo nimesharekebisha haraka sanaDuh! Kazi kwelikweli
Mzee chizi sn yuleMzee makamba amefuta Ike kauli yake au bado inasimama?
Acha zako mzee ana Miaka 99 mzee kasoro Moja ifike karne mzeeGone too soon 😭😭😭
Pumbavu wewe Mshenzi wewe na mwanga jamii forums sio kanisani mbwa wewe nyoko usitake nikuporomoshee matusi ya nguoni mbwa weweSawa nashukuru kwa matusi yako na wala sina baya na wewe zaidi ya kukusamehe tu. Maana siamini kama kuna kosa nililokukosea zaidi ya kwamba una chuki binafsi na mimi.maana mtu akiomba msamaha kwa jambo alilofanya kwa bahati mbaya na wewe ukatoa matusi kiasi hicho inaonyesha una chuki binafsi na mimi.
Nimeona hii ilikuwa inarushwa moja kwa moja. Atakuwa kuna mtu karekodi wakati iko liveYaani huyo Director kesho.inabidi asiwe na kzi
Naomba unisamehe bure kabisa.niliandika kabla ya kutangazwa kwa kifo cha mzee wetu, hata hivyo nimesharekebisha haraka sana.naomba mnisamehe sana katika hiloHili bango lako lina uhusiano gani na kifo cha mzee Mwinyi?
Yuko Kama Babu yangu,Nilimwahi muuliza mzee wangu " umekuwepo tangu enzi za uhuru Hadi Sasa 2020,Nani umemkubali Sana Sera zake,uongozi wake?? Bila kupepesa macho Wala kuuma maneno akasema MZEE RUKSA ...RIP Mzee ruksa
Acha uchawa uliokubuhuuKiongozi wa watu, anayejali na kuwasikiliza watu Rais Samia
Kwa nini??Hapatakalika narudia tena hapatakalika
Hatar sn mkuu[emoji29]hadi kufika mwezi wa 6 matuta ya viazi vitamu yatakua mengi kidogo, pasi zinapigwa fupi fupi