Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
I was there..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I was there..
Kwakweli, kipenzi chetu lala Kwa amani. Moyo wako ni mwema sanaNenda salama mzee Mwinyi. Huna baya
Huyu kala bonus za kutosha, miaka mingi kapata tabu sana. Hata Mungu amesema kuishi miaka hiyo ni taabu.Pole kwa wote waliofikwa na msiba
Hakika siku za mwanadamu si nyingi Ayubu/JOB 14:1-2 ni vyema
tuishi maisha ya kumpendeza MUNGU
Nifungulie moyo wako na unisamehe kama binadamu
Tunabaki na machawa TU[emoji29]Nchi inazazidi kuondokewa na washauri.
Wao ni viongozi wakubwa lazima kuna itifaki inazingatiwa tofauti na wakina siye ambao hatujulikani.Kwanini wanafariki/ tunapewa taarifa usiku? Late Magu tulipewa taarifa usiku, na leo usiku.
Acha wosiaWaislamu hadi raha hawataki mambo mengi.
Natamani nikifa nizikwe mapema kuliko kuchoshwa
Ni mpumbavu...Jamaa chawa hadi kwenye misiba
Wapi hapatakalika?Hapatakalika narudia tena hapatakalika
Barikiwa, wengi hawaelewi.Kulia ama kumlilia mtu hakuhusiani na umri wake, ni ule uchungu wa kuondokewa na marehemu ukikumbuka mema aliyowatendea na pia hamtaonana tena milele na milele!
Mfungulie shemeji yako mme wa dada yako geti wewee anapiga honi.what's going on?
Aliuza Loliondo kwa waarabu, tulilalamika hakusikiliza akaishia kuuliwa mwandishi aliyeshikia bango kuuzwa kwa Loliondo bwana Stan Katabalo.
Soon at the age of 99 years?[emoji15][emoji15]Gone too soon [emoji24][emoji24][emoji24]