Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Pumzika Mzee wetu msalimie Julius mwambie Manya"au yamezidi kututafuna ila dawa ya kuyatimuwa imekaribia...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndie anae fuata hata yeye tieni tieni maji...😭😭😭Yule mzee hili neno kitamuandama sana
Wekapo basi kwenye hii comment namba yako simu.Naomba unisamehe na wote mnisamehe sanaa .niliandika kabla yakutagazwa kwa kifo cha mzee wetu.ndio maana nimerudi kurekebisha haraka sana baada ya kupata taarifa za huzuni kwa Taifa letu juu ya msiba wa mzee wetu.naomba mnisamehe sana
Naomba unisamehe sana ndugu yangu.mimi nilikuwa nimeandika kabla ya kutolewa kwa taarifa hiyo.ndio maana nimerudi nikarekebisha haraka sana baada ya taarifa ya kifo cha mzee wetuWw unatumia nini kufikiria?
You're a lost cause imbecileNaomba unisamehe sana maana niliandika kabla ya kutangazwa kwa kifo cha mzee wetu.hata hivyo nimeshabadilisha haraka sana.
Ndie anae fuata hata yeye tieni tieni maji...😭😭😭Kuna bwana aliwahi kusema wazuri hawafi .
[emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo leo ndo wamekubaliana mzee wetu akazikwe unguja??
Usihangaikie nae Lucas,Hivi wewe una matatizo ya akili?
Wamepiga hesabu vibaya. Bora wangesubiri keshoDuu aisee hesabu imekaa vibaya anyway Rest easy Mzee Mwinyi!
Ndio. Mgogoro ulikuwa mkubwa sanaKwa hiyo leo ndo wamekubaliana mzee wetu akazikwe unguja??
Ndie anae fuata hata yeye tieni tieni maji...😭😭😭Mzee makamba amefuta Ike kauli yake au bado inasimama?
Sameheaneni tuko msibani.Aliyekurupuka ni wewe zwazwa.Kwanini usingoje unaleta upumbavu kwenye msiba.Punguani wahedi.
Wametangaza mazishi yatafanyikia Unguja?Kwa hiyo leo ndo wamekubaliana mzee wetu akazikwe unguja??
Anazikwa wapi?Mkuu unapenda Shari Hadi misibani[emoji2]
NdioWametangaza mazishi yatafanyikia Unguja?