TANZIA Rais wa awamu ya pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia
View attachment 2920520
Rais mstaafu wa awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amefariki leo, Februari 29, 2024 saa 11:30 Jioni katika hospitali ya Mzena, Dar es Salaam alipokuwa anapatiwa matibabu ya ugonjwa wa Saratani ya Mapafu.

Tangu Novemba 2023, alikuwa anapatiwa matibabu huko London, Uingereza na baadaye kurejeshwa nchini kuendelea na Matibabu katika hospitali ya Mzena hadi leo ambapo amepatwa na mauti.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza siku 7 za maombolezo ambapo kuanzia Machi 1, 2024, bendera zitapepea nusu mlingoti.

Atazikwa Machi 2, 2024 Unguja, Zanzibar.

View attachment 2920484

Taarifa za kuugua kwake, soma: Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi alazwa kwa maradhi ya kifua
Sijawahi kumuona Mwinyi uso Kwa uso Wala kuishi awamu yake sawa na Mwalimu so namtakia mapumziko mema
 
Waislamu hadi raha hawataki mambo mengi.
Natamani nikifa nizikwe mapema kuliko kuchoshwa

sababu uislamu umeanzia jangwani jua kali hakuna friji wala barafu ndiyo ilikuwa ni lazima wazike siku hiyo hiyo, vinginevyo fikiria maiti kwenye >50 degrees Celsius na wadudu wote, hamna jinsi lkn leo hii hata wao wale matajiri huko uarabuni hawaziki haraka haraka sababu kuna sehemu ya kuhifadhia wala pia hawakamuani mavi kama waislamu maskini wa tanzagiza …
 
Mkuu mbona unaandika mambo yasiohusiana na thread

Uzi unaongelea msiba wa Rais Mstaafu Mwinyi,Wewe unaongelea habari za Samia

Are u mentally ok?

Kuna wakati kama huna cha kuongea ni heri ukanywa maji na kulala
Uchawa huwa ni stage za mwisho kuwa shoga yaan hili jamaa sijui nani amwambie mama hapendi unafiki wske
 
View attachment 2920520
Rais mstaafu wa awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amefariki leo, Februari 29, 2024 saa 11:30 Jioni katika hospitali ya Mzena, Dar es Salaam alipokuwa anapatiwa matibabu ya ugonjwa wa Saratani ya Mapafu.

Tangu Novemba 2023, alikuwa anapatiwa matibabu huko London, Uingereza na baadaye kurejeshwa nchini kuendelea na Matibabu katika hospitali ya Mzena hadi leo ambapo amepatwa na mauti.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza siku 7 za maombolezo ambapo kuanzia Machi 1, 2024, bendera zitapepea nusu mlingoti.

Atazikwa Machi 2, 2024 Unguja, Zanzibar.

View attachment 2920484

Taarifa za kuugua kwake, soma: Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi alazwa kwa maradhi ya kifua
Kuna maswali mtu unataka kuuliza, lakini unaamua kukaa kimya. Sijui kama kuna mtu ana ka clip ka Mzee Makamba kale ka kuhusu "Watu Wazuri! RIP Mzee wetu!!!
 
Nani anacontrol Channel ya WhatsApp ya Bi Mkubwa....
Screenshot_20240229-210111.jpg
 
Mzee yule alkua fiti sn,
mwaka juz nmepiga nae marathon[emoji4]
Mkuu pia genes, genetics hereditary. Kuna watu wameumbwa na Gene's nzuri hususan hawa watu wa pwani.

Wengine duniani kama Sir Alex fergusson ana 82 yuko fit, Trump anaelekea 80 yuko fit licha ya kubughia junk foods na coke. Kina David attenborough mtangazaji maarufu wa nature BBC ana 100+ yuko vizuri.

Gene, mazoezi na eating healthy ukizicombine mbona jiti unafika tu.
 
View attachment 2920520
Rais mstaafu wa awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amefariki leo, Februari 29, 2024 saa 11:30 Jioni katika hospitali ya Mzena, Dar es Salaam alipokuwa anapatiwa matibabu ya ugonjwa wa Saratani ya Mapafu.

Tangu Novemba 2023, alikuwa anapatiwa matibabu huko London, Uingereza na baadaye kurejeshwa nchini kuendelea na Matibabu katika hospitali ya Mzena hadi leo ambapo amepatwa na mauti.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza siku 7 za maombolezo ambapo kuanzia Machi 1, 2024, bendera zitapepea nusu mlingoti.

Atazikwa Machi 2, 2024 Unguja, Zanzibar.

View attachment 2920484

Taarifa za kuugua kwake, soma: Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi alazwa kwa maradhi ya kifua
Apumzike kwa Amani Mpendwa wetu Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi. Amen
 
Back
Top Bottom