Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Acha sote tujifanye kana kwamba ndio tumejua leo!.
Ujinga 🚮🚮 ,Ukiwa na akili timamu unaweza shabikia namba tasa? 1,3,5? Walau Mkapa tuu alijitahidi japo alikuwa papa wa Ufisadi.Na namba 4 na 6 Kimahesabu huwa ni namba nzuri ila huacha Athari baadae ambazo namba 1,3 na 5 huweza Kutatua na kuweka mambo sawa.
THE BEEKEEPER hapatakalika wapi huko na kwa sababu IPI?Hapatakalika narudia tena hapatakalika
Hawajamtendea haki kwenda kumzika unguja wakati kwao ni hapo mkuranga.Nina mambo Matatu.
1. Mwinyi RIP
2. Naona Awamu ya Sita itakuwa ya mwisho Kuwa na wastaafu..
3. Naombea Mazishi Yafanyike Mkuranga Pwani. Wiki iliyopita niliona barabara inachongwa. Je Akizikwa Pwani Atakuwa ameua Muungano?
Mchana wanakua wanafanya maandalizi ya matangazo.Kwanini wanafariki/ tunapewa taarifa usiku? Late Magu tulipewa taarifa usiku, na leo usiku.
Wasisahau kuzingatia wasia wake juu ya namna ya kumuhifadhiView attachment 2920520
Rais mstaafu wa awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amefariki leo, Februari 29, 2024 saa 11:30 Jioni katika hospitali ya Mzena, Dar es Salaam alipokuwa anapatiwa matibabu ya ugonjwa wa Saratani ya Mapafu.
Tangu Novemba 2023, alikuwa anapatiwa matibabu huko London, Uingereza na baadaye kurejeshwa nchini kuendelea na Matibabu katika hospitali ya Mzena hadi leo ambapo amepatwa na mauti.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza siku 7 za maombolezo ambapo kuanzia Machi 1, 2024, bendera zitapepea nusu mlingoti.
Atazikwa Machi 2, 2024 Unguja, Zanzibar.
View attachment 2920484
Taarifa za kuugua kwake, soma: Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi alazwa kwa maradhi ya kifua
kwamba Mwinyi ndio aliwaingiza bungeni?Chadema mlipata Wabunge 6 wakiwemo Ndesamburo, Dr Slaa nk
Sidhani kama amenikosea.Pokea msamaha basi wa lucas
Ashaomba msamaha
Ova
Sio jambo la kuwa na akili kubwa kuelewa, 4 na 6 wote vichwa maji tuuWenye Akili ndogo bado hawajajua maana halisi ya hii mada...
1,3 na 5 MUNGU awakumbuke Huko waliko
Shujaa Magufuli unamkumbuka 2020 😂😂😂kwamba Mwinyi ndio aliwaingiza bungeni?