Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikikumbana na urongo mahali hata kama msibani najikuta nachamba tu.Dah unchamba mpaka msibani Bichwa 😅😅
Wanasema hivyoKumbe ni tukio la zamani sana?
Mzee mwinyi kafaKunani tena mabreaking news usiku wote huu?
Njaa mbaya usiombe ikakukuta. UTU wote unaisha🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka nimeona aibu. Huna uchungu hata na msiba wa mzee Mwinyi ? Umemsifiaa samia mwanzo mwisho bila hata kumkumbuka marehemu kwa mazuri yake. Kweli pepo ngumu machawa mna kazi.
Ally promo mpaka misibani?[emoji848][emoji2827]CAM STORE na Comrade Ally Maftah.
Tunatoa pole kwa Familia, Ndugu, Jamaa na Watanzania wote kwa kuondokewa na Kipenzi cha watu Ally Hassan Mwinyi.
Rais awamu ya pili wa Jamuhuli ya muungano wa Tanzania, aliyetangulia mbele za haki 29 Feb 2024.
Tupo pamoja katika siku saba za maombolezo
Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM na Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es SalaamView attachment 2920561
Wapi Makamba Sr.
Ila Mzee katoboa 98 kininja sana,Hakuna mkongojo,Hakuna miwani.
Zilikuwa zimeshaandaliwa. Ni mwendo wa kuziachia tuMsechu na Mpoto najua usiku huu au kesho asubuhi kabla ya saa sita mchana watakuwa tayari wameshatoa nyimbo zao walizo rekodi.
Apumzike panapo stahili.