Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ndio namaanisha wale wote waliozaliwa mwaka alioingia madarakani 1985 mpk anamaliza 1995...kwahyo hapo ww ujitafute sasa..utakua na ww upo humo..maisha yalikua mazuri..hakuna magonjwa magonjwa..tulicheza kama watoto kwa ushirikiano mtaa kwa mtaa..mzazi wa mwingine alikua mzazi kwa mtoto yoyote...hivyo yaniiEbu fafanua vizuri...nimezaliwa pia enzi za mwinyi kati ya 90-93🤣🤣🤣