Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Madrasa zimekuwa ni production za ujinga.Unaweza kukuta hata wewe ni msomi. Kama umefika hata form four na kupata walau D mbili basi inashangaza.
Ajali imesababishwa na hali mbaya ya hewa angani ambako eneo hilo lina hali mbaya ya hewa isiyotabirika sasa Netanyahu wako anahusikaje?
Kwamba Netanyahu ndiyo amepeleka hali mbaya ya hewa Iran?
Hii nchi no wonder haiendelei kwasababu ya kuwa na watu wengi waliokatwa vichwa wanatembea na viwiliwili pekee.
Watu tupo tunafuatilia live news kutoka vyombo mbalimbali vya kimataifa wanaonesha eneo jirani na ajali inaposemekana kutokea hali ni mbaya mno huwezi kuona hata mita kadhaa mbele.Ninachokumbuka mimi Netanyahu ameapa wote waliohusika na tukio la october 7 ni walking dead.
wameshafiikia huku?If President Raisi is not found alive, Vice-President Mohammad Mokhber will take his place, new elections will have to be called within the next 50 days - Iranian media
Madrasa ndiyo nini mkuu? Msaada tutani tafadhali.Madrasa zimekuwa ni production za ujinga.
Nipo kwenye aviation industry naelewa ninachokizungumza sasa sijui Madrasa ni nini na inahusika vipi na kuzalisha wataalamu wa masuala ya anga.Madrasa zimekuwa ni production za ujinga.
Projection ya weather inajurika, hata sisi kina mbonde huku matakoni mwa dunia tuliandaliwa na kimbunga Hidaya, iweje Taifa linalojinasibu ni super power wasijuwe swala la weather forecast?Watu tupo tunafuatilia live news kutoka vyombo mbalimbali vya kimataifa wanaonesha eneo jirani na ajali inaposemekana kutokea hali ni mbaya mno huwezi kuona hata mita kadhaa mbele.
Sasa hapo utamhusisha mtu kwamba amesababisha ajali? Mkuu jaribu japo mara moja moja kuwa independent thinking person inasaidia ku criticize mambo na kuepuka kuendeshwa na mihemko ama mahaba niuwe.
Pole Raisi President.Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali.
Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya hewa.
Wengine waliokuwa kwenye helicopter hiyo ni pamoja na Governor wa East Azarbaijan, Ayatollah Al-Hashem na waziri wa mambo ya nje ya Iran Hossein Amir-Abdollahian.
Una PPL? na una masaa mangapi ya angani?Nipo kwenye aviation industry naelewa ninachokizungumza sasa sijui Madrasa ni nini na inahusika vipi na kuzalisha wataalamu wa masuala ya anga.
Hivi ni kweli umeshindwa kutofautisha namna weather condition inaweza kutofautiana?Projection ya weather inajurika, hata sisi kina mbonde huku matakoni mwa dunia tuliandaliwa na kimbunga Hidaya, iweje Taifa linalojinasibu ni super power wasijuwe swala la weather forecast?
Hawa ni wafadhili wa ugaidi, exis of evil.Kwani kakukosea nini huyo bwana Raisi?
Hayo siwezi kuweka wazi humu maana sijahitajika kutoa elimu hii.Una PPL? na una masaa mangapi ya angani?
Ni sahihi hata mimi limenifikirisha sana. Inakuwaje kiongozi mkubwa wa nchi anaenda ziara kwenye eneo lenye Ukungu na baridi kali bila kuwa na uhakika wa usalama wake?Projection ya weather inajurika, hata sisi kina mbonde huku matakoni mwa dunia tuliandaliwa na kimbunga Hidaya, iweje Taifa linalojinasibu ni super power wasijuwe swala la weather forecast?