Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Wewe unaambiwa TAIFA NI TAKATIFU LA MUNGU na MUNGU huwa yupo pamoja nao siku zote wewe unapeleka MVUA ZA MIDOLI YA DRONES wanavizuia lakini MUNGU ANAKASIRIKA
 
Ninachokumbuka mimi Netanyahu ameapa wote waliohusika na tukio la october 7 ni walking dead.
Unaweza kukuta hata wewe ni msomi. Kama umefika hata form four na kupata walau D mbili basi inashangaza.

Ajali imesababishwa na hali mbaya ya hewa angani ambako eneo hilo lina hali mbaya ya hewa isiyotabirika sasa Netanyahu wako anahusikaje?

Kwamba Netanyahu ndiyo amepeleka hali mbaya ya hewa Iran?

Hii nchi no wonder haiendelei kwasababu ya kuwa na watu wengi waliokatwa vichwa wanatembea na viwiliwili pekee.
 
If President Raisi is not found alive, Vice-President Mohammad Mokhber will take his place, new elections will have to be called within the next 50 days - Iranian media
Hii Wairan wameshaandaliwa kisaikolojia, huyo Rais ni dead body, na anaweza kufa kwa kukosa msaada wa haraka.

Inashangaza mimi maroli yangu nayaona kwenye GPS yanakwenda Rwanda, lakini cha ajabu kinchi kinachojifanya kiko more advance kumbe hata kutrace chopa hawawezi kazi ya kibri tu, shwaini.
 
Back
Top Bottom