Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

😄 Hakuweza kumuona Yahya Sinwar akatengeneze mawingu kwenye border ya Iran na Azerbaijan, labda mawingu ya kishoga 😄
Alimwacha aingie ili awamalize Hamas

Waliokufa hao elfu moja walitolewa kafara ili Israel ili apate justification aue maelfu ya wapalestina aendeshe genocide na kuhakikisha Hamas wanapotea

Wangewezaje ku justify vita ya kuua vi Hamas na vimke vyao na vitoto vyao ambavyo ndio wanavirithisha kuwa vigaidi vya kesho

Waliacha mlango wazi wapate sababu ya kuendesha genocide Gaza

Wale waisrael wamekufa na kutekwa na Hamas wametumika kama kafara au chambo Cha kuipa Israel sababu ya kuendesha genocide ya wapalestina Gaza
 
BREAKING

The big news will come out in few minutes, as a rescue team approaches the scene of the accident - IRIB
 
Alimwacha aingie ili awamalize Hamas

Waliokufa hao elfu moja walitolewa kafara ili Israel ili apate justification aue maelfu ya wapalestina aendeshe genocide na kuhakikisha Hamas wanapotea

Wangewezaje ku justify vita ya kuua vi Hamas na vimke vyao na vitoto vyao ambavyo ndio wanavirithisha kuwa vigaidi vya kesho

Waliacha mlango wazi wapate sababu ya kuendesha genocide Gaza

Wale wamekufa na kutekwa wametumika kama kafara au chambo
"Enyi mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa marafiki na wasaidizi. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na yeyote miongoni mwenu anayejiunga nao basi yeye ni miongoni mwao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu wenye kudhulumu."
 
Hutasikia Mossad, wala Aman kitengo cha utambuzi / military intelligence au Shin Bet usalama wa ndani wa Israel wakisema lolote lililotojea leo katika msafara wa helicopter 3 zilizokuwa

Hata wachokozwe vipi si Bibi Netanyau wala hizo idara tatu muhimu za usalama Israel zikitia neno. Ni siri kubwa isiyotakiwa kufahamika na yoyote idarani wala wanasiasa waliotoa idhini, operesheni itabaki katika makabrasha yaliyofungiwa kwa fungua pacha, kufuli na Code kwa miaka kibao kwa ajili ya kuficha taarifa hizo muhimu kwa usalama wa Israel.

Hata Iran ikingamua kuna mkono wa nje unahusika nao watajifanya ni ajali kwa kuwa michezo hii ya kijasusi haihitaji hasira wala mihemuko bali kujifunza wapi wamejikwaa au kufanikiwa, kimya kimya bila kupuga kelele huku ukijikakamua kuwa siyo mkono wa maadui bali kazi ya Mungu huku wanaugulia maumivu na kuwajibishana kwa siri
Unavoipamba Mossad. Washindwe kuzuia Wayahudi 1400 kuuwawa October 7 wafanikiwe kuwaua rais wa Iran na waziri wake. Huu ujinga mnaupataga wapi?
 
Yaani Israel washindwe kuzuia mamia ya makombora na drones ndani ya ardhi yao tena baada ya kupewa onyo kwamba watashambuliwa na wakaimarisha ulinzi wa anga nchi tano lakini mzigo ukatua Israel na kupiga target zote halafu eti waweze kufanya assassination ya Rais wa nchi tena Iran?

Big No. Hiyo ni ajali kama ajali zingine za ndege ambazo zimetokea hata mataifa makubwa zaidi ya Iran.
Mkuu, vita iache kama ilivyo
 
Israeli iliogopa kujibu mashambulizi ya iran huo ndo ukweli. Hayo mengine mnayo tuletea hapa ni stori za kahawa
Haya Mayahudi feki ya jamiiforums ni mapunguani kabisa.

Helkopta imepata ajali kwasababu ya hali mbaya ya hewa ambayo ilisababisha rubani afosi kutua lakini kuna wajinga watakwambia ni Mayahudi yamehusika.

Sasa unajiuliza Mayahudi ndiyo yamepeleka hali mbaya ya hewa Iran? Aise kuna watu utadhani wamekatwa vichwa hawafikirii sawasawa.
 
Enyi mlioamini uongo Mizimu ya Africa inasema imekula kwenu...
"Enyi mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa marafiki na wasaidizi. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na yeyote miongoni mwenu anayejiunga nao basi yeye ni miongoni mwao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu wenye kudhulumu."
 
Iranian TV now airs “emotional” footage of President Raisi.

The weather conditions at the crash site are so bad that 3 of Iranian rescuers are also missing now.
 
"Enyi mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa marafiki na wasaidizi. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na yeyote miongoni mwenu anayejiunga nao basi yeye ni miongoni mwao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu wenye kudhulumu."
Haya maneno yametoka kichwani kwako au kwenye hadisi za mtume?
 
Mossad hii iliyo fail kuzuia Oktober 7 au Mossad ipi
Mkuu kuna watu hasa mayahudi ya haya ya jamiiforums yamekatwa vichwa maana hayana uwezo wa kuwa Independent thinking.

Ajali imetokea kwasababu ya hali mbaya ya hewa ambayo ilisababisha rubani kutoona vizuri lakini wanakwambia Israel amehusika.

Ni msiba mkubwa kuwa na watu wasio na uwezo wa kufikiri wenyewe bali wamelishwa yamini na kuaminishwa propaganda za mayahudi.

Yaani Mayahudi yaliyoshindwa kuzuia mashambulizi ya Hamas Oktoba 7 ndiyo wawe na uwezo wa kusababisha ajali ya Rais wa Iran?

Mayahudi haya haya yaliyoshushiwa mvua ya drones na makombora na Iran tena baada ya kutaarifiwa kwamba watashambuliwa nabwakashindwa kuzuia makombora licha ya kuimarisha ulinzi wa anga zaidi ya mataifa matano lakini mzigo ukatua kwenye target.
 
Back
Top Bottom