Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Wataalamu wameshafanya yao, haiwezekani ukaishambulia Israel kukaponyoka.

Na kawaida vyombo vyote vikubwa idara ya usalama wa taifa kurugenzi ya ndani na kurugenzi ya mambo ya nje huwa hawakubali wala kukataa kama wao wanahusika.

Nia ni kuwaweka adui katika sintofahamu kwani vyombo hivyo vya kijasusi vikukubali kuhusika huwa unampa adui wapi wajitafakari hawakuwa makini
Israeli iliogopa kujibu mashambulizi ya iran huo ndo ukweli. Hayo mengine mnayo tuletea hapa ni stori za kahawa
 
- A Mi-171 helicopter carrying Iranian President Raisi and Foreign Minister Abdolahian made an emergency "hard landing" in Iran’s East Azerbaijan province due to heavy fog.

The helicopter landed about 600 km from Tehran, accompanied by 2 others that landed safely.

Iranian Fars News Agency reported :
- at the moment, there is no contact with any of the people who were on board the helicopter that was carrying Iranian President Raisi.

Rescuers in Iran are trying to reach a helicopter involved in “an incident” while traveling with an entourage including President Ebrahim Raisi.

Footage Iran regime state media showing a team of rescuers traveling to locate the aircraft crash site carrying Raisi and his delegation.

IRNA News Agency wrote that "relief teams have already arrived at the accident site for Raisi's helicopter."
#MOD NAOMBA REKEBISHA HEADING.
 

Attachments

  • FB_IMG_17161334818301408.jpg
    FB_IMG_17161334818301408.jpg
    175.8 KB · Views: 2
Muhammed Reza alikua Shah wa mwisho kabla ya kufanyika mapinduzi 1978.
Unamzungumzia Muhammed Reza yupi??
Nazungumzia viongozi kama rais,waziri n.k n.k.
Pia umeona kwa wanajeshi tu kuuliwa hapo ubalozini Syria Iran imefanya shambulio kubwa Israel ambalo mataifa zaidi ya matatu yamesaidia kulizima.
Sasa pata picha aguswe kiongozi
mkubwa wa serikali pimia majibu yatakuaje,kama wanajeshi tu wanalipiwa kisasi.
Hawa wavaa misalaba akili zao kama msalaba, wamedanganywa kweli eti Israel taifa la Mungu, sijui wameitoa wapi hio hata bibilia ya Paulo haikusema Israel ni nchi ilikuwa inamuongelea Yakobo. Israel simeundwa na muingereza 1948 😄

Vichaa wasio jitambua shida sana sa wanataka kuikuza aisrael eti ndio kangusha hio helicopter
 
A
Imethibitishwa kuwa raisi wa Irani alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali.

Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya hewa.

Wengine waliokuwa kwenye helicopter hiyo ni pamoja na Governor wa East Azarbaijan, Ayatollah Al-Hashem waziri wa mambo ya nje ya Iran Hossein Amir-Abdollahian.
UNACHOKOZA ISRAEL UNATEGEMEA NINI🤣
 
Sawa naomba iwe ni kweli Israel kafanya vile ndio utaifahamu Iran
Muache huyo kashiba makande kwa shemeji yake.
Miaka yote Israel inafanya assassination Iran kwa wanasayansi na baadhi ya IRGC kamanda ila amewahi kusikia kuna hata kiongozi wa kawaida kauliwa??
Yani anashindwa kutotautisha kati ya viongozi wa serikali na makamanda na wanasayansi.
Israel inajua ikiua mtu mkubwa Iran haitasalia salama.
Kama wanajeshi tu pale Syria Iran imelipiza kisasi kikubwa vile je wakiua kiongozi Iran itafanya nini??
Usibishane na wanaoshiba makande mkuu,Israel wao wanaelewa uzito wa visasi vya Iran.
 
Imethibitishwa kuwa raisi wa Irani alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali.

Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya hewa.

Wengine waliokuwa kwenye helicopter hiyo ni pamoja na Governor wa East Azarbaijan, Ayatollah Al-Hashem waziri wa mambo ya nje ya Iran Hossein Amir-Abdollahian.
Teknolojia Sasa hivi ziko juu sana wabobezi waweza tengeneza mvua kama Ile ya Lowasa aliyetaka wa Thailand watengeneze Tanzania na ma nchi yakiyoendelea kivita kutengeneza Hali ya hewa mbaya ni kitu kidogo sana

Iran wamechokoza nyuki Wacha wawaume.Unarusha kweli makombora Israel kuwa waweza pigana naye haya Sasa .Hali ya hewa mbaya hiyo watafute hiyo helicopter

Inshallah kama huyo Raisi na wenzie watakuwa hai
 
Imethibitishwa kuwa raisi wa Irani alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali.

Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya hewa.

Wengine waliokuwa kwenye helicopter hiyo ni pamoja na Governor wa East Azarbaijan, Ayatollah Al-Hashem waziri wa mambo ya nje ya Iran Hossein Amir-Abdollahian.
Kwa hiyo yeye hajapata ajari?
 
Kuna wapuuzi wanasema eti hakukuwa na hali ya hewa mbaya.
Akati hali ya hewa ya ukungu.
Embu tizameni hii video.
 
Teknolojia Sasa hivi ziko juu sana wabobezi waweza tengeneza mvua kama Ile ya Lowasa aliyetaka wa Thailand watengeneze Tanzania na ma nchi yakiyoendelea kivita kutengeneza Hali ya hewa mbaya ni kitu kidogo sana

Iran wamechokoza nyuki Wacha wawaume.Unarusha kweli makombora Israel kuwa waweza pigana naye haya Sasa .Hali ya hewa mbaya hiyo watafute hiyo helicopter

Inshallah kama huyo Raisi na wenzie watakuwa hai
😄 Hakuweza kumuona Yahya Sinwar akatengeneze mawingu kwenye border ya Iran na Azerbaijan, labda mawingu ya kishoga 😄
 
Back
Top Bottom