Watu wanashangaza kweli.
Hii ni ajali kama ajali zingine,Israel hahusiki.
Mnadhani rais wa Iran sawa na wanamgambo wa Lebanon ama makamanda wa Lebanon?
Fikirieni makamanda wa IRGC tu walipouawa Syria Iran alifanya massive strikes je akiguswa kiongozi itakuaje!?
Punguzeni kuropoka.
Hii ni ajali kama ajali zingine,Israel hahusiki.
Mnadhani rais wa Iran sawa na wanamgambo wa Lebanon ama makamanda wa Lebanon?
Fikirieni makamanda wa IRGC tu walipouawa Syria Iran alifanya massive strikes je akiguswa kiongozi itakuaje!?
Punguzeni kuropoka.