Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Mission Completed.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wa Israel kazini. Wakisema mshike ukuta lazima mshike tuHapa MOSSAD wamefanya yao ,Israel ni taifa la Mungu
USSR
😂😂😂😂Nilijua tu wayahudi wa Namtumbo mtaropoka.Hapa MOSSAD wamefanya yao ,Israel ni taifa la Mungu
USSR
Kwa Iran mwenye nguvu ni Ayatoulah , Raisi wa nchi Hana madaraka Wala amri yoyoteHapa MOSSAD wamefanya yao ,Israel ni taifa la Mungu
USSR
Upo sahihiBinadamu yeyote anapo kufa huwa ina maanisha kuwa hana tena faida ndani ya dunia ndo maana mungu huwa anamuondoa ,hata ww siku faida ya uwepo wako ikiisha utaondolewa kama wengine walivyo ondolewa.
Naona kwenye Uzi wa Ukraine umechapa rapa baada ya kipondo Cha vidume vya Russia
Unadhani Israel ni wajinga! Kisasi hicho! Hamas sasa wanaloImethibitishwa kuwa raisi wa Irani alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali.
Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya hewa.
Wengine waliokuwa kwenye helicopter hiyo ni pamoja na Governor wa East Azarbaijan, Ayatollah Al-Hashem waziri wa mambo ya nje ya Iran Hossein Amir-Abdollahian.