Ni MunguBado hakuna update kuhusu kupona au vifo. Pia bado hawajapata eneo ilipotokea ajali.
Mazingira ni magumu sana mvua, ukungu, giza na baridi
View attachment 2994368
View attachment 2994371View attachment 2994372
Kama kweli wana agents mpaka katika cabinet za Iran kwanini walishindwa kutambua shambulio la Iran dhidi ya Israel!?MOSSAD Wana ma-agent mpaka kwenye cabinet ya Iran na Middle na Far East
Utu utoke wapi wakati mtu kitabu chake cha dini ameshaagizwa Wakristo na Mayahudi siyo wenzenu?Dini zinawatoa utu sana!
Humjui myahudi weweIsrael hawezi kusubutu kufanya hayo kwa Iran, hio imetokana na hali ya hewa mbaya au matatizo ya helicopter yenyewe inaonyesha ya zamani sana.
Hilo shambulio lilifanikiwa kiasi gani?Kama kweli wana agents mpaka katika cabinet za Iran kwanini walishindwa kutambua shambulio la Iran dhidi ya Israel!?
Yaani wanamlia timing haswaTshishesedi Ni suala la muda tu. Ajitahidi nae asitumie chopper
Mkuu mbona unapendaga kuongopa!?Wakati Houthi anafunga Bahari na kuzuia Meli zisije Afrika ya Mashariki kwa Amri ya Ayatolah huo ni UTU?!
Wanazuiwa kutengeneza Nuclear Weapons kwasababu watawapa Houthi na Hezbolah halafu Jihaad ya Mashia walijivika Mabomu ya Atomiki wataingia Kenya na Tanzania hala Kasheshe lake sijui litakuwaje?Amani ipi mbona hata kutengeneza silaha anabanwa?
Katizame habari ujue lilifanikiwa kiasi gani.Hilo shambulio lilifanikiwa kiasi gani?
Shambulio huwa halitangazwi kama harusi, shambulio linafanyika kimyakimya wahanga wanacalcute damage tu na casuality.Kama kweli wana agents mpaka katika cabinet za Iran kwanini walishindwa kutambua shambulio la Iran dhidi ya Israel!?
Yani habari kubwa kama hii nayo unaomba source? Kweli nimeanza kuamini kwann darasani kuna wa kwanza na wa mwishoSource
Ingia kwenye Ship Tracking App.Mkuu mbona unapendaga kuongopa!?
Meli zinazokuja Afrika mashariki hazipiti Baab Al mandib embu acha kuongopa.
Baab Al mandib hupita meli ziendazo Ulaya.
Hata mimi nashindwa kuelewa.Sasa walifuata nini tena na helcopter 🤣🤣
Nina maswali matatu.Ingia kwenye Ship Tracking Ap.
Pole sana maalimNaona unaropoka baada ya kushiba makande hapo nyumbani.
Pia waonekana mweupe kwa masuala ya mashariki ya kati,ngojea nikuache nisijipotezee muda.
Akili za madrasa ndo ziliniwezesha kuzunguka baba yako mpaka nikawa baba yako wa kambo mbweha ww.Hizo zinaitwa inside job, kwa akili za Madrasa huwezi kulielewa hilo.
Hata Waziri mkuu wa Israel alishauwawa kwa risasi na kijana wa kiyahudi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daaahWamekumbuka kubeba tende?
Linganisha na tukio la Leo kisha ulete majibuKatizame habari ujue lilifanikiwa kiasi gani.
Hila mashoga wakifa ndio kuna hasara?maana hzo nchi unazozipenda ndio wanaume wanafukunyuana hadharani ndio unaowaombea waishi maisha marefuMwarabu akifa hakuna hasara
Smart Gin