Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Hizo zinaitwa inside job, kwa akili za Madrasa huwezi kulielewa hilo.

Hata Waziri mkuu wa Israel alishauwawa kwa risasi na kijana wa kiyahudi.
Akili za madrasa ndo ziliniwezesha kuzunguka baba yako mpaka nikawa baba yako wa kambo mbweha ww.

Sasa kama viongozi hao walisha uliwa na wahuni wa mitaani pamoja na ulinzi mkali walio nao unashangaa nini rais wa Iran kufa kwa ajali?

Yaani pamoja na kujifanya mjuaji unashindwa kujua kuwa hali ya hewa huwa ina badilika kila baada ya muda mchache,hiyo si elimu inayo fundishwa secondary?
 
Back
Top Bottom