Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Sanctions za ndege na vifaa vyake
 
Iran sasa imeelewa kuwa Israel yupo kazini. Yajayo........
 
kuna wairani pia hapa tanzagiza chanzo cha mateso yote na umaskini, D.Trump atawatandika akiingia ikulu januari 20 2025 inshallah, awatandike waiarani wa tanzagiza pia inshallah …
 
Hata Tz E1 akiwa anaruka wanazima transponder, ukitaka uamini siku ndege inapaa jaribu track 5HONE au 5HTCB hutaiona bali utaiona ikishatua

Hauwezi kuzima transponder... Ni kwamba hawajazi manifest ili kuzuia tailing... Huwezi jua anakwenda wapi point to point. Ndio hiyo utaona ukiondoka ila hutajua inakwenda wapi.. Na utaona ikitua bila kujua ilipotokea...

Transponder ni kwa ajili ya usalama wao na ndege... Ikitokea coffin mode wanajua pa kuanza kufanya searching and rescue operations. Kama kwenye hiyo chopa walizima transponder bhas maana yake hawakutaka wafikiwe au wajulikane walipo... So ni jambo jingine hilo
 
Nina maswali matatu.
Unaijua baab al mandib ilipo!?
Una ushahidi wa meli zilizokatazwa kuja East Africa!?
Unajua meli zilizoshambuliwa zilikua zina bendera ya nchi gan!?
MAERSK na Container liners nyingi zimeshambuliwa hadi zimebadili njia sasa hivi Wahouthi wanashambulia tu hadi Meli ya Kichina ilikula Kombora.

Wahouthi asilimia 100% wanakula Mirungi wakishalewa wanalianzisha.
 
MAERSK na Conteiner liners nyingi zimeshambuliwa hadi zimebadili njia sasa hivi Wahouthi wanashambulia tu hadi Meli ya Kichina ilikula Kombora.

Wahouthi asilimia 100% wanakula Mirungi wakishalewa wanalianzisha.
Umeulizwa hizo meli zilikua na bendera ya wapi na zilikua zinaelekea wapi!?
Bado hujajibu hili swali.
Pia maswali mawili hujajibu.
Maersk zinazoelekea India na Israel ndizo zilisitisha safari ya kupita BAAB AL MANDIB.
Ila Afrika mashariki kila siku meli zinakuja na kupakua mizigo,je hizo zinapita PACIFIC OCEAN!?
 
Au ukute wana wa yakobo wamelipa kisasi kutokana na ile delivery package ya 300 missiles kutoka uajemi kwa mfalme dario
 
Kwahiyo fleet ya Rais ni vilaza kujua kwamba hali ya hewa ni mbaya kwa helicopter hivyo waghairi safari kwa anga.

Ama basi Raisi ni muoga wa kusafiri kwa barabara, ama ni ubishi tu. Kobe Bryant afe kwa helicopter kisa ukungu alafu na Rais mzima afe kisa ukungu wakati ana team ya wataalamu wanaweza chukua option nyingine ya usafiri.
 
Weka source ya habari yako.
 
Mbwa sio haramu bali baadhi ya sehemu zake ni najisi hasa mdomoni hivyo unatakiwa kuwa makini nazo .
Siyo kweli, QUR'AN imehalalisha kula nyama za wanyama waliokamatwa na wanyama mliowafunza kuwinda,mbwa atakamataje mnyama bila kuhusisha mdomo na pua yake!?..hayo mengine ni uzushi nje ya Quran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…