cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,799
- 2,237
Hii ajali inafuatiliwa sana na marekani, Israel na other Western. Kitisho kipo nje ya Iran siyo ndani.
Assume amekufa, ni kitisho kipi kwa Iran! Think as grown up! Akiwa hai maybe ndio tishio! System ya Iran hata mrithi anajulikana, sasa ni tishio lipi hilo! ?