Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Iran ina serikali kama ya CCM haipendi kusema ukweli kwenye mambo muhimu hasa Maendeleo

Iran inasifikia ni bingwa wa Tecknologia, ila imebidi Uturuki nchi ya NATO iwape msaada wa Drone za kisasa ambazo Iran huwa inajisifia ni bingwa wa kuziunda


View: https://x.com/AACanli/status/1792322175820591130
Kuna msemo unasema kujidanganya huna matatizo wakati unayo ni ujinga
 
Achakufa huyo kaka, na mkizubaa hata mwili wenu wa kuzika hamuupati - maana haki ya hewa ni mbaya sana waokoaji wanagwaya kufika eneo la tukio.
Itakuwa Kama Ndege Ya Malaysia Boeing Iliyopotea Hadi Kesho
 
wanausalama walaumiwe, walikubalije rais kupita eneo ambalo si salama tena kwa choper la kizamani.
 
Ataingia Kwenye Mfumo Ingawa Itachukua Muda Ila Mabeberu Wanajua Fitna Hata Ikiwa Miaka 100 Hilo Halina Ubishi Ukitazama Yule Major General Kassim Sulleiman Wa Iran Naye Ilikuwa Kama Hawapo Alipojaa Hapo Hapo. Wao Wanakesha Usiku/Mchana Ipo Siku Ukijisahau Hapo Umekwisha
Yule nao atajaa tu kwenye Nyavu.
 
Lakini si huwa tunaambiwa iran ipo vizuri sana kiteknolojia sasa imekuwaje tena.....

Teknolojia za kutengezeza Drones kwenda masafa ya maelfu hizo wanazo! Lakini drones za kupiga picha kwenye ukungu hizo hawana! Nguvu yote na akili zao ni kuondoa "Mazayuni Chini ya uso wa dunia! Taifa lina exist kwa nia moja tu ! Extermination of Jews! Death to Jews, death to great satan! Huko kwingine watupu!
 
Kama kuna mkono wa Mossad wajiandae kupigwa makombora laki moja

Kimsboy: Na Teknolojia yote unatumia Helkopta ya Bell (toka Marekani) ya miaka 70.....Ni akili kweli! Akilini za jamaa zako ni chuki dhidi ya Mazayuni........Angalia Mossad walichokifanya Gaza....Tunasubiri Rafah.......Hayo Makombara hata Jordan iliyandungua....Unafiki wa Waarabu......unashangaza.

 
wanausalama walaumiwe, walikubalije rais kupita eneo ambalo si salama tena kwa choper la kizamani.

Chopper ya zamani....toka kwa hasimu yao Mkubwa.....Marekani......akili za hawa Jamaa ni shida!

The Bell 212 (also known as the Bell Two-Twelve) is a two-blade, medium helicopter that first flew in 1968. Originally manufactured by Bell Helicopter in Fort Worth, Texas, United States, production was moved to Mirabel, Quebec, Canada in 1988, along with all Bell commercial helicopter production after that plant opened in 1986.[2][3]

The 212 was marketed to civilian operators and has up to a 15-seat capacity, with one pilot and fourteen passengers. In cargo-carrying configuration the 212 has an internal capacity of 220 ft3 (6.23 m3). An external load of up to 5,000 lb (2,268 kg) can be carried.
 

Wanatumia Bel212 ya Mwaka 1968 kwa Rais.....Kweli hawana akili...

The Bell 212 (also known as the Bell Two-Twelve) is a two-blade, medium helicopter that first flew in 1968. Originally manufactured by Bell Helicopter in Fort Worth, Texas, United States, production was moved to Mirabel, Quebec, Canada in 1988, along with all Bell commercial helicopter production after that plant opened in 1986.[2][3]

The 212 was marketed to civilian operators and has up to a 15-seat capacity, with one pilot and fourteen passengers. In cargo-carrying configuration the 212 has an internal capacity of 220 ft3 (6.23 m3). An external load of up to 5,000 lb (2,268 kg) can be carried.
 
Hapana mkuu, habari ni mbaya huyu mzee amekata moto kwenye hii ajali.

Tusubiri confirmation kutoka kwenye vyombo vya habari vya kuaminika.

Too sad.

Katambulia mbele za Haki......Alipokuwa Sri Lanka.....alisema Israel lazima ifikishwe mbele za haki.....Sasa inawezekana yeye katangulia mbele ya haki! Mazayuni yanaweza kubadili hata hali ya hewa!

 

View: https://youtu.be/j9KU4l568JQ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…