Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #721
Wayahudi wanakwambia kwenye vitabu vyao Yesu anaungua kwenye Mavi HELL, Shabikia ufurahi
View: https://youtu.be/B5Ko1nfO22U
Mmesha ambiwa kuwa ajali imesababishwa na hali mbaya ya hewa ila nyinyi mmekomaa na propaganda zisizo kuwa na kichwa wala miguu.
Kama ajali imetokana na sijui vikwazo mbona huko Marekani kwenyewe ajali za hilikopita ni nyingi na huwa zinatokea kila siku?
Alafu Isitoshe Iran anamiliki Helicopter za kisasa kutoka Urusi ambazo alikabidhiwa tangu mwaka juzi.
Sasa mbona hata hizo drone za kusasa za Nato mpaka sasa hazijaiona hiyo ndege?Iran ina serikali kama ya CCM haipendi kusema ukweli kwenye mambo muhimu hasa Maendeleo
Iran inasifikia ni bingwa wa Tecknologia, ila imebidi Uturuki nchi ya NATO iwape msaada wa Drone za kisasa ambazo Iran huwa inajisifia ni bingwa wa kuziunda
View: https://x.com/AACanli/status/1792322175820591130
Kuna msemo unasema kujidanganya huna matatizo wakati unayo ni ujinga
Kwanni unawachachukia ivo, mana na waislam pia utakuwa unawachukiaMwarabu akifa hakuna hasara
Kwa takwimu za masuala ya kijeshi Iran inamiliki Helicopter zaidi ya 125 bado hatujaweka za kiraia , kwa hiyo hizo zote unataka kuniambia ni kutoka Marekani?Sasa kwa nini wametumia Bell 212 ya miaka ya 70 ya Marekani... Tuonyeshe hiyo ya Russia.....maana taarifa nimeisoma Aljazeera....
US Kuna Mbunge Kafurahia Sana Hili Jambo Sijui KwaniniWatu wanafurahia kifo Cha Raisi Kama walivyofurahi alivyo hukumiwa Sabaya kwenda jela.
Hakuna anayempenda muuaji.
Haturudi nyumaWashia kuswali kwao tofauti na Sunni. Peace be upon our Imam not the prophet.
adriz mjingamimi ielewemitaa Jagina Accumen Mo Malaria 2 inamankusweke
Naona mnajitokeza
AmkufaBREAKING: Iranian official tells Reuters the chances Iran's president survived helicopter crash are 'slim'
Ulipaswa uandike unafiki wa waislamu , ingenoga sana