Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Cha ajabu hao unaowaita mashoga wanawahenyesha wasio mashoga makumi ya miaka sasa kwa kifupi wasio mashoga wamenyang'anywa ardhi na unaowaita mashoga😂🤣😆, yasiyo mashoga yanalialia kuomba huruma za dunia nzimai😂🤣😆. Yasiyo mashoga yamejificha yanawatumua watoto na wanawake kuwa ngao na bado wanauwawa na unaowaita mashoga

Usimipakazie Mimi wanasema wenyewe wayahudi kuwa Israel ni Taifa linaloongoza kwa Ushoga ulimwenguni. Soma hapo chini

Unaelewa kuwa Israel bila msaada wa Americs na West yote , hata nusu saa nyingi, inachukuluwa na mgambo tu

 
Ni ajali ya kawaida tu chopa ilifanikiwa kushuka taratibu
Ila nimegundua tukio lolote likitokea iran huwa lina beba attention kwa watu wengi duniani
Mkuu😂😂😂😂 nimecheka sana! Unaongea kama ulikuwepo eneo la tukio!! ‘Eti ilifanikiwa kushuka taratibu😂😂’ Wabongo mtaniua😂😂😂
 
Wanakaribia kumpata

Hii ndio Update few minutes....Aljazeera...

By Ted Regencia
Published On 19 May 202419 May 2024
Click here to share on social media
  • Iran’s President Ebrahim Raisi and Foreign Minister Hossein Amirabdollahian on board the helicopter that suffered a “hard landing” in Iran’s East Azerbaijan province, says Iranian state media.
  • Adverse weather conditions, including heavy fog, are hampering rescue efforts and the helicopter is still missing.
 
Mkuu😂😂😂😂 nimecheka sana! Unaongea kama ulikuwepo eneo la tukio!! ‘Eti ilifanikiwa kushuka taratibu😂😂’ Wabongo mtaniua😂😂😂

Simara: Hao ndio Wabongo.....Yuko Kilombero mashamba ya miwa, lakini aliona ikishuka taratibu..
 
Usimipakazie Mimi wanasema wenyewe wayahudi kuwa Israel ni Taifa linaloongoza kwa Ushoga ulimwenguni. Soma hapo chini

Unaelewa kuwa Israel bila msaada wa Americs na West yote , hata nusu saa nyingi, inachukuluwa na mgambo tu


Na Hamas licha kuwa na msaada wa Iran...matokeo yake ndi haya.......

1716170518060.png
 
Back
Top Bottom