Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni Myahudi Kama wakristo mnavyodanganya kuwa mliacha uislamu
Vitabu vya wayahudi vimeandika Yesu yuko Hell anaungua kwenye Mavi Yanayochemka, wewe washabikie tu.Mkuki kwa nguruwe....hawakukosea wahenga!
Vitabu vya wayahudi vimeandika Yesu yuko Hell anaungua kwenye Mavi Yanayochemka, wewe washabikie tu.
View: https://youtu.be/B5Ko1nfO22U
Wayahudi wanakwambia Yesu anaungua Hell kwenye Mavi yanayochemka , Endelea kushabikia
View: https://youtu.be/B5Ko1nfO22U
Ww hiyo unayo ihita nchi yako ulimwengu uliumbwa ukaikuta?Mwenye akili lini kulikuwepo Taifa la Palestina?
Hii pia ni narratives....Unmachekesha kweli...Huyu kakulia huko....sio wewe wa Mtogele
View: https://youtu.be/pjOEJumoABg
Msaada wa Iran wa kuzuiwa , Hao wayahudi na wawaachie free Kama anavyofanya Marekani na West waingize Silaha aone?
Mmesha ambiwa kuwa ajali imesababishwa na hali mbaya ya hewa ila nyinyi mmekomaa na propaganda zisizo kuwa na kichwa wala miguu.Vikwazo vya kiuchumi ni vibaya sana imagine inawezaka helicopter ilikosa proper spear part and maintenance kutoka kwa manufacturer jambo ambalo yumkini limepekekea jambo kama hili kutokea,ingawa ni kichanga changa karata zangu na nikiunganisha doti na nikikumbuka kauli moja ya mkuu wa majeshi ya Israel aliyoitoa Mara baada ya Iran kurusha Yale mabobu ndani ya Israel kwamba ,they will hit Iran at their right time and right place, I'm skeptical on that.