Rais wa miaka 10 wa watu milioni 60, siku yake kubwa kuliko zote maishani ilikuwa kukutana na Michael Jackson na Rihanna!

Rais wa miaka 10 wa watu milioni 60, siku yake kubwa kuliko zote maishani ilikuwa kukutana na Michael Jackson na Rihanna!

Halafu wao ndio wanaongoza kuwaita Waislam wadini.

Halafu cha ajabu uzi wenyewe hauhusiani kabisa na Uislam. Mtu anakuja kuutuhumu Uislam. Yaani kumbe hawa watu kwao mtu akiwa Muislam tu ni tatizo.

Islamophobia is real.
Udini udini ni Ujinga ujinga !! Kila mtu ana dini yake na wengine hawana dini kabisa !! Ubaguzi ni Ushetani !!
 
Afadhali yake he yule mwingine ambayo siku yake asiyoweza kuisahau ni siku aliyomuua Ben
 



Mzee, hujatutendea haki, hujarudisha heshima tuliyokupa.

The biggest day of your life haiwezi kuwa siku uliyokutana na Rihanna na Michael Jackson... Jamani!

Kwa miaka kumi ukiingia bafuni Mikocheni sisi tunaanza kusimamishwa Kiwalani kujiandaa kukupisha unaenda Airport, ukija msibani na harusini tunasimamisha kusali, kulia, kula, kuongea, mpaka we ukasaini kitabu ukakae chini, umestaafu unatumia jumba la serikali bure, petroli bure, vocha ya simu bure, mlinzi bure, mpishi, karani, dereva, shamba boy, and so forth and so forth and so forth.... Kijana wako na mke wako tumewapa ubunge na uwaziri si kwa lolote la kiuongozi walilofanya kabla ya hapo bali kwa heshima yako wewe.....


Lakini the greatest day of your life ni kukutana na Rihanna!

Hukumbuki hata siku moja uliyolala na amani kwa kupata majawabu ya tatizo moja la Mtanzania? Tanzania tuna shida milioni 60, kila mtu ana msongo, jana umetangazwa mgao wa umeme D'Salaam, kwa hiyo hata kwa Mo Dewji nako wamelala na mikelele ya genereta. Walobaki milioni 59 wamelala na mlo mmoja. Hukumbuki hata siku ulioapishwa Rais wetu? Basi ungevunga kwa kutaja siku uliyomuoa Salma, manake nae kakufumbia macho kwa makandokando kibao! Unampaisha Rihanna and your wife is sitting right next to you!


Halafu huna noma unasema ulikutana na Michael Jackson hotelini Spain ukiwa Waziri wa Madini. Hoteli pendwa ya Michael Jackson akiwa Spain ilikuwa ni WESTIN PALACE MADRID, jina lake lingine ni "the icon of luxury!"

Waziri na Rais wa nchi ambayo wasafiri tunasimamishwa vichakani "kuchimba dawa" kwa saab hatuna rest areas zenye vyoo njiani, unatumia viji tozo vyetu kukodi hoteli anayofikia Michael Jackson! Jamani! Na sijui kampuni gani la Spain ulilileta lije kutupiga makinikia..... Msalie Mtume!

Waafrika, nani atatuokoa????



View attachment 2381816

NI KWELI NDIPO TULIPOFIKIA, AKILI YAKO IKIWA INAWAZA FITINA MDA WOTE UNATEGEMEA NINI? YEYE ALIJIKITA KUMZUIA LOWASSA
 
Shida ni Uislamu, tatizo liko hapo, Uislamu haufundushi earning a leaving through hard work, mfumo unaojenga Dunia ni christian, shida iko hapo, hawajui kufanya kazi kwa bidii kujenga nchi, wanajua raha na kutumia, basi, hawajui kwamba nchi inajengwa kwa jasho na siyo blah blah na starehe.

Kwani kuna Viongozi wengi wametokea Pwani ambao ni Christian na wamekwenda Christian Schools wamepata mafunzo ya Christinianity wako vizuri sana tu, hivyo kutoka Pwani siyo tatizo, tatizo ni malezi na Madrasa!
Mkuu, lakini akina Alhaj Aliko Dangote, Nassef Sawiris, Albdulsamad Rabiu, nk mbona wapo vizuri kwenye mkwanja na ni wa Imani hiyo?
 
Unachanganya Western na Christian. Hakuna kitu kama Western Christian Philosophy. Nchi kutilia mkazo lugha za kiingereza na za kifaransa kama wanavyofanya China haina maana kuwa wanaiga Christian values. Wao value zao ziko based zaidi kwenye philosophy ya Confucius kuliko value za magharibi. In fact, wao wanaona value za magharibi zitawapoteza.

Spain ilitawaliwa kwa miaka 800 na waarabu. Kwa sababu hiyo utamaduni wao lugha, chakula n.k. mpaka zilikuwa influenced sana na waarabu.
Waarabu ndio waligundua mfumo wa decimal, algebra na waliendeleza sana trigonometry. Bila wao hizi hesabu tunazojifunza zisingekuwa hivyo. Waarabu ndio waliwafundisha wazungu matumizi ya sabuni n.k.

Tamaduni zote zilifaidika kutoka nyingine. Hata sisi waafrika tuliwainfluence wazungu katika art, muziki n.k. Na sasa hivi wanatambua kuwa tulikuwa tuna ujuzi zaidi kuhusu masuala ya mazingira, mimea asili kuliko walivyodhani.

Unazijua morals za viongozi wa magharibi kama Trump ( ambae ni muongo na kuna kila dalili kuwa ni mbakaji), Boris Johnson( muongo, mvivu n.k.) , Bezos ( mbinafsi wa kutupwa)? Au vikundi vya kikristu kama KKK ?

Udini ni kitu kiovu na hakistahili kuingizwa katika majadiliano kama haya. Mkosoe Kikwete kama unataka lakini usitumie mapungufu yake kupaka matope dini yake.

Amandla....

Siyo kweli, Capitalism and free market economic system imeanzishwa na Western Christianity, na Capitalism inayo ongoza Dunia ya leo ni mzao wa Christianity (western).

Yes Christianity iko tofauti pia, kuna Eastern Orthodox Christianity ambayo iko Eastern Europe wana hata Christmas yao na New Year ni tofauti, wanasherehekea Christmas Januari na New Year pia Januari na karibia Eastern Europe yote mpaka Urusi ni Orthodox.

Western Christianiaty ndiyo iliyotamalaki na ndiyo inayoongoza Dunia ya leo hata hii Calenda inaitwa Gregorian Calender ni Western unafikiri kwa nini Dunia nzima inasherehekea New Year December 31/1 January? Kwa nini Waislamu kama Kikwete anasema ana miaka 72 kwa kutumia kalenda gani? Kwa maana Kalenda ya Kiislamu ni nyingine hivyo hata Waislamu wansherehekea Birthday kwa kufwata Western Christianity System kwa maana Uislamu una kalenda yake na leo Kiislam ni mwaka 1444 na siyo 2022 kama anaosherehekea Kikwete &Co.

Hata China wana Kalenda na New Year yao lkn wote wanafwata western calender yaani mwaka 2022, …
 
Mkuu, lakini akina Alhaj Aliko Dangote, Nassef Sawiris, Albdulsamad Rabiu, nk mbona wapo vizuri kwenye mkwanja na ni wa Imani hiyo?

Siku zote kuna exceptions, kuna watu ambao huwa wanachomoza regardless of the sitauation ndo maana unaweza kukuta Shule mbovu hakuna walimu madarasa yamejaa hakuna vitabu lkn kuna Watoto (baadhi) wanatoboa ragardless of the circumstances na wanafika mbali mpaka wegine wanakuwa PhD holders baadaye lkn wengi wao waliopitia hizo shule hawakufika popote kwa maana System au mazingira hayakuwa rafiki kwao.

Jiulize kwa nini Zanzibar au Komoro siyo kama Mauritius au Seychelles kiuchumi? Kinachotofautisha Seychelles/ Mauritius vs Zanzibar/ Comoro/ Lamu ni kipi ?
 
Kwa kweli !!
Huwa siwaelewi watu wanaosema eti Kikwete ni mtoto wa mjini. Ujanja wake ni wa kujifunza, siyo natural kwa hiyo ushamba umejificha tu nyuma.

Mleta mada uko sahihi kabisa, umekuwa kwenye uongozi wa nchi kwa zaidi ya miaka 30, jambo unalokumbuka na kujivunia ni kukutana na Michael Jackson na huyu huyu Rihanna? Na unashangaa unapokutana nao kuwa wako soft-spoken?

Kama si ushamba ni nini huo?

Na viongozi wa namna hii wamejaa Serikalini.
Kwa kweli ni maajabu lakini ndio ukweli wenyewe bado tutapata tabu sana !!
 



Mzee, hujatutendea haki, hujarudisha heshima tuliyokupa.

The biggest day of your life haiwezi kuwa siku uliyokutana na Rihanna na Michael Jackson... Jamani!

Kwa miaka kumi ukiingia bafuni Mikocheni sisi tunaanza kusimamishwa Kiwalani kujiandaa kukupisha unaenda Airport, ukija msibani na harusini tunasimamisha kusali, kulia, kula, kuongea, mpaka we ukasaini kitabu ukakae chini, umestaafu unatumia jumba la serikali bure, petroli bure, vocha ya simu bure, mlinzi bure, mpishi, karani, dereva, shamba boy, and so forth and so forth and so forth.... Kijana wako na mke wako tumewapa ubunge na uwaziri si kwa lolote la kiuongozi walilofanya kabla ya hapo bali kwa heshima yako wewe.....


Lakini the greatest day of your life ni kukutana na Rihanna!

Hukumbuki hata siku moja uliyolala na amani kwa kupata majawabu ya tatizo moja la Mtanzania? Tanzania tuna shida milioni 60, kila mtu ana msongo, jana umetangazwa mgao wa umeme D'Salaam, kwa hiyo hata kwa Mo Dewji nako wamelala na mikelele ya genereta. Walobaki milioni 59 wamelala na mlo mmoja. Hukumbuki hata siku ulioapishwa Rais wetu? Basi ungevunga kwa kutaja siku uliyomuoa Salma, manake nae kakufumbia macho kwa makandokando kibao! Unampaisha Rihanna and your wife is sitting right next to you!


Halafu huna noma unasema ulikutana na Michael Jackson hotelini Spain ukiwa Waziri wa Madini. Hoteli pendwa ya Michael Jackson akiwa Spain ilikuwa ni WESTIN PALACE MADRID, jina lake lingine ni "the icon of luxury!"

Waziri na Rais wa nchi ambayo wasafiri tunasimamishwa vichakani "kuchimba dawa" kwa saab hatuna rest areas zenye vyoo njiani, unatumia viji tozo vyetu kukodi hoteli anayofikia Michael Jackson! Jamani! Na sijui kampuni gani la Spain ulilileta lije kutupiga makinikia..... Msalie Mtume!

Waafrika, nani atatuokoa????



View attachment 2381816
Sasa mtu asiseme ukweli ? Katika yote hilo analikumbuka zaidi na vile lilivyokuwa kuanzia bata lake na makando kando yake kibao wakati huo. Kuapishwa sio kitu kabisa kwa mwana ccm amabaye amepewa kugombea maana tayari anakuwa raisi.
 
Nadhani nimda mwafaka watuambie na gharama za kutangaxa hii birthday na ctoods fm nani analipa, au ufadhiri wa nani..! Na argenda kuu ni nini..! Kama ni urai wa mtt wa mramba asali basi watakuwa wamedanganywa na utafiti wao.
 
Back
Top Bottom