Rais wa Nchi anaitwa Nyapara! CHADEMA ni vyema muwadhibiti hawa vijana wenu akiwemo Mdude

🤣
 
Unashambulia kwa matusi?
 
JokaKuu kutoka msitu wa Amazon 😄
 
Kwani Samia na M7 walipatikana katika uchaguzi wa kidemokrasia?
 
mbona yule mwingine alikuwa anaitwa tingatinga mara jiwe na hamkualamika, au mbona yeye mwenyewe alijiita kichaa?
 
anaitwa tingatinga mara jiwe na hamkualamika, au mbona yeye mwenyewe alijiita kichaa?
Cheo ni dhamana.ukiongoza kwa kufuata Sheria na miongozo na kuheshimu katiba na wananchi utaheshimiwa sana.Lakini hufati Sheria,unadharau wananchii nani atakuheshimu??Mfano unakuta polisi,mahakama au bunge wanavunja sheria alafu wanataka Sisi tusizivunje??Nani atakuheshimu kama wewe haujiheshimu????
 
Kiongozi anayefanya siasa na chama chake akikata wengine wasifanye aitwaje? Hata hivyo kamstahi sana
 
kwani SSH ni nani tuanzie hapa kwanza, ili tujue Nyampara anaezungumziwa hapo ni nan...
 
Leta uthibitisho yakinifu.vinginevyo ni chuki zako tu unajaribu kuzieneza hapa bila kujua kila mtu ana akili na macho yakuona.
 
Chadema kama chama kina mambo ya msingi yakushughulikia.mambo ya ustaarabu wa mtu au mihemko ya mtu ilo ni jukumu la familia yake.kama kuna kosa kafanya sheria za nchi ziko wazi.
 
Eti bwashee, tuiondoe ccm madarakani halafu tunayaweka mazuzu kama kina mdude, lisu, nk? Basi hii itakuwa nchi ya mazuzu tupu!
Tuyaweke wewe na nanani?.unaongea utafikiri una ata cha maana nchi hii.
 
Wewe ni chawa tu huna ata jipya.Ata kupiga mtu kibao huwezi unakuja kubwabwaja hapa.
 
Naomba kwa ufahamisho tu neno nyapara lina maana gani.
Isije ikawa hata mtoa mada hajui neno hilo ni mdudu gani.
Karibuni magwiji wa Kiswahili
 
Huyu mpumbavu sijui hata anachopinga km anajua,
Kila leo mnaomskiliza mna kazi sana.
Wamrudishe kule kammic mumewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…