Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
- Thread starter
-
- #81
🤣Kuita rais nyapara sioni tatizo. Watanzania wengi wana tatizo la nidhamu iliyopitiliza na "lese majeste" ya kujitakia.
Uongozi gunia la chawa. Moja ya mishahara ya uongozi ni kuitwa majina ya kila aina, kwa haki na bila haki.
Tatizo Mtanzania anapopendekeza rais wa Kenya kuwa rais wa Afrika.
Ina maana yeye kashakubali chama chake hakiwezi kupata uongozi wa nchi yake kikaongoza nchi na Afrika.
Hii ni kauli ya mtu asiyejitambua na aliyekata tamaa.
Unashambulia kwa matusi?Mleta mada wewe ni pandikizi chunguza vizuri akili yako itakuwa mazingira uliyokulia ni duni saana ndoo maana unashangaa freedom of speech.mbona ulaya kuna Raisi alipigwa kibao na raia.hivi hii ngozi yetu nyeusi ina laana?? Mbona tunazalauliana kiasi hiki?? Yaani kwa akili yako ndogo unaona mdude hana haki ya kuwashambulia wale wanaominya demokrasia??
🤣Naona nimegonga penyewe, povu kama lote! Kumbe na wewe umo kwenye kundi la mazuzu? Orodha inaongezeka, mdude, lisu, sagai galgano, etc
JokaKuu kutoka msitu wa Amazon 😄..kwanza tuonyeshe sheria inayoelekeza kwamba mtu akimtukana raisi au taasisi ya uraisi apotezwe au auwawe.
..kwa maoni yangu kauli yako ni mbaya kuliko alichoandika Mdude Nyagali.
..kauli yako ni ya kikatili. Pia inaashiria au inatuhumu kwamba " taasisi ya uraisi " hapa Tz haifuati sheria, inapoteza au kuua watu.
..Ni bora tuwe na wakina Mdude elfu moja kuliko kuwa na mtu mmoja mwenye mawazo ya kijima na kikatili kama wewe.
Kwani Samia na M7 walipatikana katika uchaguzi wa kidemokrasia?Rejea kichwa tajwa hapo juu
Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani
Lakini wakuiondoa ni haya mazuzu?? Akiwemo Mdude
Chadema jifunzeni....hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu
Mkanyeni huyu mjinga....kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa...anaweza kupotezwa vibaya sana
View attachment 2329236
Rejea kichwa tajwa hapo juu
Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani. Lakini wakuiondoa ni Akiwemo Mdude?
Chadema jifunzeni. Hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu
Mkanyeni huyu. Kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa, anaweza kupotezwa vibaya sana
View attachment 2329236
mbona yule mwingine alikuwa anaitwa tingatinga mara jiwe na hamkualamika, au mbona yeye mwenyewe alijiita kichaa?Rejea kichwa tajwa hapo juu
Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani. Lakini wakuiondoa ni Akiwemo Mdude?
Chadema jifunzeni. Hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu
Mkanyeni huyu. Kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa, anaweza kupotezwa vibaya sana
View attachment 2329236
Cheo ni dhamana.ukiongoza kwa kufuata Sheria na miongozo na kuheshimu katiba na wananchi utaheshimiwa sana.Lakini hufati Sheria,unadharau wananchii nani atakuheshimu??Mfano unakuta polisi,mahakama au bunge wanavunja sheria alafu wanataka Sisi tusizivunje??Nani atakuheshimu kama wewe haujiheshimu????anaitwa tingatinga mara jiwe na hamkualamika, au mbona yeye mwenyewe alijiita kichaa?
Acheni kumpoteza huyo fala.kwani SSH ni nani tuanzie hapa kwanza, ili tujue Nyampara anaezungumziwa hapo ni nan...
😅 Apotee mara ngapi... Nyie hangaikeni nae...Acheni kumpoteza huyo fala.
Leta uthibitisho yakinifu.vinginevyo ni chuki zako tu unajaribu kuzieneza hapa bila kujua kila mtu ana akili na macho yakuona.Waabheja sana infinity, Ubarikiwe
Bora ccm iendelee, hawa wakiingia sijui kama hawataigawa hii nchi jamani, hiki chama kimejaa ukanda, ukabila, udini. Ni heri ccm twendeleenayo.
Hicho chama ni heri tukakishika sisi wa kanda ya ziwa, kwanza tupo wengi, na pia ni wavumilivu.
Tuyaweke wewe na nanani?.unaongea utafikiri una ata cha maana nchi hii.Eti bwashee, tuiondoe ccm madarakani halafu tunayaweka mazuzu kama kina mdude, lisu, nk? Basi hii itakuwa nchi ya mazuzu tupu!
Wewe ni chawa tu huna ata jipya.Ata kupiga mtu kibao huwezi unakuja kubwabwaja hapa.Haka kajinga wangekasaga na kuja kuokotwa kwenye viroba huko..
Ujue hata kwenye biblia kuna wafalme waliagizwa na Mungu kuua watu wasio na maslahi na Nchi..
Ni Afya kupoteza Mtu mmja kama huyo kwa faida ya wengi..
Eti hao ndio viongozi wa chadomo wanataka kuchaguliwa.
Upinzani wa aina hii haufai.