TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.


mimi ni mwongo , kama unavyosema ,

Hivi unaweza kuniambia Bwana Yesu alimtaja Roho Mtakatifu kwa jina gani kwa KIGIRIKI ?? ambayo ndiyo lugha ya asili iliyoandikwa agano jipya
 
mimi ni mwongo , kama unavyosema ,

Hivi unaweza kuniambia Bwana Yesu alimtaja Roho Mtakatifu kwa jina gani kwa KIGIRIKI ?? ambayo ndiyo lugha ya asili iliyoandikwa agano jipya

Lugha za asili za Biblia Agano Jipya inclusive. Hebrew, Aramaic and Koine Greek. Shetani ni Baba wa uongo wote hivyo vivyo mawakala wake.
 
Hivyo ndiyo ilivyoandikwa Roho mtakatifu kwa kigiriki?

Usichukulie vitu jumla jumla. Koine Greek.

Na kukumbusha tena Bwana Yesu aka Mungu pamoja nasi wanadamu. Aliye zaliwa na Bikira Mariaum akaja kuishi nasi alisema hivi. Ili uone ufalme wa mbinguni utaratibu ni huu.

Umkubali kwa kusikia Neno lake (Uwe na Imani kwake) then Utubu dhambi zako then Ubatizwe kwa maji na kwa Roho Mtakatifu. Hamna njia mbadala ya huu utaratibu.
 
Tumekusikia, sasa tuambie roho mtakatifu alivyoandikwa kwenye biblia ya kigiriki
 
Tumekusikia, sasa tuambie roho mtakatifu alivyoandikwa kwenye biblia ya kigiriki
Pneuma=Paraclete=Advocate= Holy Spirit=Holy Ghost=Spirit of God=Roho wa Mungu=Roho Mtakatifu=Roho wa Bwana Yesu/Kristo= Roho wa Uzima.
 
Pneuma=Paraclete=Advocate= Holy Spirit=Holy Ghost=Spirit of God=Roho wa Mungu=Roho Mtakatifu=Roho wa Bwana Yesu/Kristo= Roho wa Uzima.
Mbona umechanganyikiwa? Au chote ni kigiriki hicho?

Niwekee roho mtakatifu kama ilivyoandikwa kwenye biblia ya kigiriki
 
Anae diskasiwa hapa ni Aliekuwa RAIS wa nchi ifike mahali JamiiForums muwe na heshima na mjue nini mnafanya.

Fungeni comment watu wasiweze changia tena huu uzi waliochangia wanatosha,mwisho ni kutafutia watu BAN bure huu uzi hauna haja ya kuchangiwa tena umeshaisha muda wake,zingatieni hilo.

Muwe na Heshima walau kidogo tumieni hekima ktk mambo yenu sio kila kitu mpaka muambiwe au mfundishwe kuna namna tu vingine mnajiongeza.

Moderator
Maxence Melo
Asha D Abinallah
 
Kwa hivyo chote ni kigiriki?

Roho mtakatifu kwa kigiriki anaitwaje?
Wacha kujitia wazimu
Ptoverbs 26:5
Give a silly answer to a silly question, and the one who asked it will realize that he's not as clever as he thinks.

Anaitwa Gavana.
 
Ptoverbs 26:5
Give a silly answer to a silly question, and the one who asked it will realize that he's not as clever as he thinks.

Anaitwa Gavana.
Hivyo ndivyo anavyoitwa Roho Mtakatifu kwa Ki greek???
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…