TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Gavana umesema Uongo. Roho Mtakatifu/Roho wa Mungu katajwa sehemu nyingi. Agano Jipya takribani mara 90.
Mwanzo 1:2 Roho wa Mungu aliatamia giza lililo kuwa juu ya maji yaliyo ifunika nchi kuonesha kile kikichoatamiwa kilikuwa kitakatifu. Alimuingia Mariamu Mama wa Bwana Yesu kuonesha mimba ile na kilichoko tumboni mwake ni Kitakatifu.

Sauli Mfalme wa kwanza wa Israel baada ya Taifa hilo kuongozwa na Waamuzi alingiwa na Roho Mtalatifu akacheza kama manabii aliokutana nao wakati anatoka kupakwa mafuta akirudi nyumbani kwa baba yake kutoka kuwatafuta punda waliopotea kutimiza mpango wa Mungu juu ya Sauli. Hii inaonesha Manabii wa kweli wa Mungu acha akina balamu walikuwa wamejazwa Roho w a Mungu.

Kusema kweli ukitafakali Hannah mama wa kuhani Samweli naye alijawa na Roho Mtakatifu. Kama utaunganisha maneno yale yaliosemwa siku ya Pentekosti kwamba wamelewa mvinyo mpya asubuhi. Eli alimtuhumu Hannah kuwa kalewa asubuhi asijue kuwa alijawa Roho wa Mungu na aliye muongoza kufanya maombi kwa kuugulia 1Samweli 1 na Matendo 2. Kimsingi hii mistari uliyo inukuu ya Yohana ilitimilizwa hapo Matendo 2.

Mkristo aliye mkubali Bwana Yesu, Akatubu dhambi zake aka Batizwa na kuwekewa mikono na Mtumishi wa kweli wa Mungu jua fika ana Roho wa Mungu ndani yake.

Ni kuulize Gavana huyo Mtume ambaye shetani na mawakala wake hudanganya wafuasi wa imani hiyo kwa kutumia nukuu za Mistari ya Biblia kuhusu Roho Mtakatifu. Je alikuwa ndiye àliye kuwa akiatamia juu ya maji wakati wa uumbaji? Je ndiye aliye atamia mimba ya Bwana Yesu tumboni mwa Mariamu mamaye Yesu? Jibu ni rahisi hapana. Ndio uone shetani alivyo baba wa uongo na hata mawakala wake walivyo waongo na wapotoshaji wa Neno la Mungu/Biblia. Wamewadanganya wengi kwa mamilioni ha kakika wameishia na wataendelea kuishia motoni kama Neema na Rehema za Mungu hazitafungua akili zao na kuamua kufuata njia sahihi na kuachana na hii njia ya uongo.

Kinachotokea kufanya kutokuona kujidhihirisha kwa huyo Roho wa Mungu ni dhambi za baadhi ya wa Kristu. Ukitenda dhambi unamuhuzunisha Roho wa Mungu hivyo hawezi kujidhihirisha nackuonesha nguvu na uweza wake.

Hili la Biblia kuwa ziko matoleo mengi nilikuambia huko nyuma wale wasiku ya Pentekosti walipojawa Roho Mtakatifu walishuhudia matendo ya Mungu kwa lugha za mataifa yote ya Dunia. Usitegemee Biblia ya kufanana Nenobkwa Neno angalia maudhui ya mstari husika.

Kumbumbuka hili shetani ni baba wa uongo wote. Hivyo hivyo mawskala wake huko mitandaoni unako nukuu haya maandishi yako. Jeepushi na uwakala wa shetani maana hatima yako itakuwa lile tanuri liwakalo moto milele yote/jehanamu.


mimi ni mwongo , kama unavyosema ,

Hivi unaweza kuniambia Bwana Yesu alimtaja Roho Mtakatifu kwa jina gani kwa KIGIRIKI ?? ambayo ndiyo lugha ya asili iliyoandikwa agano jipya
 
mimi ni mwongo , kama unavyosema ,

Hivi unaweza kuniambia Bwana Yesu alimtaja Roho Mtakatifu kwa jina gani kwa KIGIRIKI ?? ambayo ndiyo lugha ya asili iliyoandikwa agano jipya

Lugha za asili za Biblia Agano Jipya inclusive. Hebrew, Aramaic and Koine Greek. Shetani ni Baba wa uongo wote hivyo vivyo mawakala wake.
 
Hivyo ndiyo ilivyoandikwa Roho mtakatifu kwa kigiriki?

Usichukulie vitu jumla jumla. Koine Greek.

Na kukumbusha tena Bwana Yesu aka Mungu pamoja nasi wanadamu. Aliye zaliwa na Bikira Mariaum akaja kuishi nasi alisema hivi. Ili uone ufalme wa mbinguni utaratibu ni huu.

Umkubali kwa kusikia Neno lake (Uwe na Imani kwake) then Utubu dhambi zako then Ubatizwe kwa maji na kwa Roho Mtakatifu. Hamna njia mbadala ya huu utaratibu.
 
Usichukulie vitu jumla jumla. Koine Greek.

Na kukumbusha tena Bwana Yesu aka Mungu pamoja nasi wanadamu. Aliye zaliwa na Bikira Mariaum akaja kuishi nasi alisma hivi. Ili uone ufalme wa mbinguni utaratibu ni huu.

Umkubali kwa kusikia Neno lake (Uwe na Imani kwake) then Utubu dhambi zako then Ubatizwe kwa maji na kwa Roho Mtakatifu. Hamna njia mbadala ya huu utaratibu.
Tumekusikia, sasa tuambie roho mtakatifu alivyoandikwa kwenye biblia ya kigiriki
 
Tumekusikia, sasa tuambie roho mtakatifu alivyoandikwa kwenye biblia ya kigiriki
Pneuma=Paraclete=Advocate= Holy Spirit=Holy Ghost=Spirit of God=Roho wa Mungu=Roho Mtakatifu=Roho wa Bwana Yesu/Kristo= Roho wa Uzima.
 
Pneuma=Paraclete=Advocate= Holy Spirit=Holy Ghost=Spirit of God=Roho wa Mungu=Roho Mtakatifu=Roho wa Bwana Yesu/Kristo= Roho wa Uzima.
Mbona umechanganyikiwa? Au chote ni kigiriki hicho?

Niwekee roho mtakatifu kama ilivyoandikwa kwenye biblia ya kigiriki
 
Anae diskasiwa hapa ni Aliekuwa RAIS wa nchi ifike mahali JamiiForums muwe na heshima na mjue nini mnafanya.

Fungeni comment watu wasiweze changia tena huu uzi waliochangia wanatosha,mwisho ni kutafutia watu BAN bure huu uzi hauna haja ya kuchangiwa tena umeshaisha muda wake,zingatieni hilo.

Muwe na Heshima walau kidogo tumieni hekima ktk mambo yenu sio kila kitu mpaka muambiwe au mfundishwe kuna namna tu vingine mnajiongeza.

Moderator
Maxence Melo
Asha D Abinallah
 
Kwa hivyo chote ni kigiriki?

Roho mtakatifu kwa kigiriki anaitwaje?
Wacha kujitia wazimu
Ptoverbs 26:5
Give a silly answer to a silly question, and the one who asked it will realize that he's not as clever as he thinks.

Anaitwa Gavana.
 
Ptoverbs 26:5
Give a silly answer to a silly question, and the one who asked it will realize that he's not as clever as he thinks.

Anaitwa Gavana.
Hivyo ndivyo anavyoitwa Roho Mtakatifu kwa Ki greek???
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom